Dida Shaibu, paka urimbo mwanaume anase, usimvute kwa uzi wa buibui

Dida Shaibu, paka urimbo mwanaume anase, usimvute kwa uzi wa buibui

Bora sasa umetaja na wambea wezako. Wanawake wa Dar vs Wanaume wa Dar
 
Haya hayaaaaaa
Nimerudi sasa.
Wewe Dida wewe shabiki mwenzangu wa Yanga,enzi hizo 2011/12 tulikuwa tunakutana sana Magomeni hadi uwanja wa Taifa.....
Nilikuwa nakuchora tu bibi wewe!

Habari zako nilikuwa napewa na wale madalali wa magari pale Magomeni Mapipa Shibam na Chipolopolo.
Wamekunawa karibia ya wote...looooh!

Nilikuwa na hamu ya kukuchamba sana,nikawa nakosa nafasi.
Haya bibi wewe,nyota hiyo uliyo nayo nyota gani?
Ya kutongoza wanao wa kuwazaa mwenyewe?
Halafu unawabembelezea kavu kisha unawahonga magari.

Utongozwe kwa sura gani iliyokujaa kama kiboko?
Unawapata hao marioo tu.
Tena shukuru Mungu na hizo pesa za sembe unazonunulia mkorogo na kuhongea,la sivyo ungeolewa na Dildo.
Hakuna mwanaume ambaye hata angekutazama mara mbili.

Unajitia Dada wa mjini wakati hata makeup hujui kupaka.
Wanja kama mwanamwali wa kimakonde!
Kuvaa unajitahidi lakini kigodoro nacho kinakusaidia.

Sasa wewe si hodari wa kuchamba na huyo Kikongwe mwenzio mvuta sigara Bi. Hindu,leo ni zamu yako.
Acha hashuo bibi wewe,kama una nyota tuoneshe bwana wa maana tena akutongoze yeye,sio ujitongozeshe na kujiolesha kama kawaida yako.
Wasalaam
Nifah
Asante Nifaaaaaa naomba uchukue fanta bariiddddiiiiii ile kubwa nakuja kulipa. Weraaaa weraaaa Nifah umempatia kweli
 
Magomeni ya Bagamoyo shoga, kwa Babu Issa, naona alivyoona mganga wake anaitwa Issa, nae akajiapiza kutafuta bwana mwenye jina hilo.
Unakijua chuo cha Marian, cha ufundi?
Nyuma yake ndo chimbo la babu Issa.
Bagamoyo nzima wanamjua.

Mie naenda sana kwa babu Issa,ila kwa mambo yangu, nataka kupandishwa cheo, maana hamkawii kunigeuzia kibao nikachambwa mimi......hahahah
Haaa haaa haaaa Da Jane umetishaaa. Nimekupendaje sasa.
 
Da jen, shikamoo kubwa, hivi haya maneno ya kuchamba unatoa kwenye kamusi gani??
 
Haya hayaaaaaa
Nimerudi sasa.
Wewe Dida wewe shabiki mwenzangu wa Yanga,enzi hizo 2011/12 tulikuwa tunakutana sana Magomeni hadi uwanja wa Taifa.....
Nilikuwa nakuchora tu bibi wewe!

Habari zako nilikuwa napewa na wale madalali wa magari pale Magomeni Mapipa Shibam na Chipolopolo.
Wamekunawa karibia ya wote...looooh!
Halafu siri zako wanazimwaga njenje....

Nilikuwa na hamu ya kukuchamba sana,nikawa nakosa nafasi.
Haya bibi wewe,nyota hiyo uliyo nayo nyota gani?
Ya kutongoza wanao wa kuwazaa mwenyewe?
Halafu unawabembelezea kavu kisha unawahonga magari.

Utongozwe kwa sura gani iliyokujaa kama kiboko?
Unawapata hao marioo tu.
Tena shukuru Mungu na hizo pesa za sembe unazonunulia mkorogo na kuhongea,la sivyo ungeolewa na Dildo.
Hakuna mwanaume ambaye hata angekutazama mara mbili.

Unajitia Dada wa mjini wakati hata makeup hujui kupaka.
Wanja kama mwanamwali wa kimakonde!
Kuvaa unajitahidi lakini kigodoro nacho kinakusaidia.

Sasa wewe si hodari wa kuchamba na huyo Kikongwe mwenzio mvuta sigara Bi. Hindu,leo ni zamu yako.
Acha hashuo bibi wewe,kama una nyota tuoneshe bwana wa maana tena akutongoze yeye,sio ujitongozeshe na kujiolesha kama kawaida yako.
Wasalaam
Nifah
Hahahaha nifah weeeeee,loh unataka mwenzio afe pressure? Ila mchambe shoga angu muosha huoshwa yeye si anajifanya mzee wa kuchamba kila siku anachamba wenzie.
 
We ndo aisha nin mbona umeandka kutoka moyon au ndugu yake huu mchambo si wa kawaida
 
Hahahahaaaa huyu bibie nilikuwa na hamu nae sana.
Anichambe ananijuaaaa?
Heheheheee huko Insta nimemfollow kama zombie namchora tu.
Sijawahi kulike wala kucomment.
Na achambe bwana,nishamtapika mie.
Hahaaa Nifah umemchamba mi nilisha mu unfollow kisa cha kujua ujini kashikashi wake nilitagakaa kumchamba nikaona ataniblock. I love jf huku unajimwaga tu
 
hahaha.....uso mwekunduu afu hata haeleweki sipati picha ** utakuaje..ila hawa mamarioo wana roho ngumu haswa si kidg..hapo ni kapaniki hatari mbaya hajui anachambwa na nani basi ndio anazidi kifura teh teh anashindwa hata amtag nani...nimeamini raha ya kichambo uchambwe na watu usiowajua[emoji136] [emoji136] [emoji136]
Kumbe huwa wanapitia jf eeh hahaaaaa dida kazidi huyu na anaendaga kwa waganga morogoro huyo tudawa twamsaidia
 
Mange asipokuwa kichaa mwaka huh kafubaa hat are hyo marekani bora hata madongo kuinama
hahaha kama mange alipo ni marekani basi mi sitaki kwenda jamaniiii kila anapokanyaga ni nyufa tu vipi marekani huko ni tsunami tu mda wote au[emoji15] [emoji15]
 
hahaha kama mange alipo ni marekani basi mi sitaki kwenda jamaniiii kila anapokanyaga ni nyufa tu vipi marekani huko ni tsunami tu mda wote au[emoji15] [emoji15]
Hapana aisee yani sio kwa kuchoka huko yani amekua ka wale wa sudani walioko vitani nilimhurumia na vichambo vya kichwa panzi vina mtouch mno hafu yuko depressed bora kubaki madongo kuinama ule hata miogo sio chips za kuhesabiwa
 
Back
Top Bottom