jambo limekwishavuma kulizuia huwez simba usonguruma,sifa yako uchokonozi
kwenda mwana wa kwenda mja laana usojua hata kujisafisha
kama una puma bhas kapumulie chooni nzi wakuungia mdomoni
haukufundwa bali ulichpopekwa bibi karudie koziiiiiiiiii
Hahahha......asofundwa huyo boss wenu mchambia steelwire.
Asejua kutongozwa, mwanamke stara na utulie posa iletwe nyumbani.
Posa ya kujitakia ina huuuu?
Yeye ndo atoe mahari, yeye ndo ajivishe pete la bati.
Yeye huyo huyo ndo atengeneze nyumba ya wakwe!!
Heheeheheheiyaaaaa.....chezea ndoa ya kujitakia wewe.
Hana nyimbo wala tungo.
Amebaki kama ndama wa kafara, asubiri kugeukia kibra achinjwe.
Wanaume wote mjini kamaliza.
Uchi wake ushakuwa kapu, ushakuwa jamvi ka wageni.
Ushaota sugu na magaga, kwanini asipige miluzi kuita wanaume?
Hahahahha.....huna Ba wala Be....utabaki uso umekuumuka kama boss wako mnuka papa.
Mwanamke hulka bibi.
Mwanamke staha.
Mwanamke kutulizana.
Kama kweli anajiamini kwanini hamuweki hadharani tumuone?
Amuweke basi....kama alikuwa na ubavu wa kuiba kwanini kupita nae hadharani aogope?
Hahaha.....chezea usungo wewe.
Msungo asieyeusokotela unyago.
Msungo kigego....msungo kisonoko.
Hahahaha......nacheka kwa dharau.
Chuntama usiye na kiama.
Juso limekuparama kama umeona mwanga.
Tulizeni vipapa wewe na msungo mwenzako.
Ya nini kujiweka roho juu juu kama nyama buchani?
Hahahaha......wapi Issa, mchaga wa kwanza kuogelea bwawani kwa papa la Dida.
Papa pana kama uwanja wa mieleka.
Mxyiuuuuuuuuuu......
Hata hujanikera bado