DaJane
JF-Expert Member
- Aug 3, 2012
- 223
- 622
- Thread starter
- #321
Kwakwel Da Jane yuko juu.Heshima yako Da Jane.Kwenye UANDISH Nakupa A,Matumiz ya Alama za UANDISH A,Mpangilio wa Vichambo A, Kujibu Hoja A. .Yaan kama ni essay umepata zote kuanzia Introduction mpk Conclusion.Si kwa mifano iyo na mapicha picha ayo.Uyo mwingine bado sn akajipange upyaa.Ajirekebishe kila kitu mpk sasa ana 0/100.long live Da Jane.Nimekupenda bureee.Hawa masupa star ushuz wanatuharibia sn vijana wetu kwa kujifanya wapiganaj kumbe fekero tu.
Meona eeeee.
fekero kuanzia ndani na alivyo hajiamini mpaka nje ya mwili.
Super star ushuzi mwenzangu.
Ndio maana nikamwambia pale kwenye uandishi hana Ba wala Be....linaweka hash hata pasipotakiwa.
Atajimbash.
Eti wenyewe ndo wamepanga huko waje kunichamba hapa.
Hahaha......mie jeshi la mtu mmoko, kichuna toka Mwananyamala uswazi.
Hata waje 100, nawamudu.
Penda sana pia shostito Drama Gal