Haahhaha.....we KWEZISHO nawe.Aksante. Inaonekana uko anga nyingine katika hii fani. Uko juu sana katika kuzijibu na kuzichambua kwa makini hoja zinazowasilishwa. Hongera saana, sisi wengine ni wanagenzi wako.
Mhhhhhh saiditawani bhana.....Insta nipo.DaJane hivi Instagram upo kule? Unatumia jina gani? Nataka nianze kukufuatilia. Upo vzr. Leo ndiyo nimeamini.
Nikukimbie wewe usioeleweka umesimama au umekaa?njoo nikuchambe bibi mpaka uzimie maana unakimbia humu
Hahahha......asofundwa huyo boss wenu mchambia steelwire.jambo limekwishavuma kulizuia huwez simba usonguruma,sifa yako uchokonozi
kwenda mwana wa kwenda mja laana usojua hata kujisafisha
kama una puma bhas kapumulie chooni nzi wakuungia mdomoni
haukufundwa bali ulichpopekwa bibi karudie koziiiiiiiiii
Huyo anaejibu hoja zake nyepesi saana na hazina umakini. Amekuwa akirudiarudia maneno yaleyale, Mkuu hii fani ina wenyewe na ina raha zake. Huyo DaJane ni mahiri sana na anajua kupangilia mashambulizi. Hapo ndo utajua raha ya kuwa mswahili.Wadhamini njooni ligi imepamba moto huku
Yetu macho mkuu, ila mpaka sasa Dajane anaongoza 3 bilaHuyo anaejibu hoja zake nyepesi saana na hazina umakini. Amekuwa akirudiarudia maneno yaleyale, Mkuu hii fani ina wenyewe na ina raha zake. Huyo DaJane ni mahiri sana na anajua kupangilia mashambulizi. Hapo ndo utajua raha ya kuwa mswahili.
DaJane hatareee...umetisha duuuhh..sijawahi ona mapigo kama hayaHahahha......asofundwa huyo boss wenu mchambia steelwire.
Asejua kutongozwa, mwanamke stara na utulie posa iletwe nyumbani.
Posa ya kujitakia ina huuuu?
Yeye ndo atoe mahari, yeye ndo ajivishe pete la bati.
Yeye huyo huyo ndo atengeneze nyumba ya wakwe!!
Heheeheheheiyaaaaa.....chezea ndoa ya kujitakia wewe.
Hana nyimbo wala tungo.
Amebaki kama ndama wa kafara, asubiri kugeukia kibra achinjwe.
Wanaume wote mjini kamaliza.
Uchi wake ushakuwa kapu, ushakuwa jamvi ka wageni.
Ushaota sugu na magaga, kwanini asipige miluzi kuita wanaume?
Hahahahha.....huna Ba wala Be....utabaki uso umekuumuka kama boss wako mnuka papa.
Mwanamke hulka bibi.
Mwanamke staha.
Mwanamke kutulizana.
Kama kweli anajiamini kwanini hamuweki hadharani tumuone?
Amuweke basi....kama alikuwa na ubavu wa kuiba kwanini kupita nae hadharani aogope?
Hahaha.....chezea usungo wewe.
Msungo asieyeusokotela unyago.
Msungo kigego....msungo kisonoko.
Hahahaha......nacheka kwa dharau.
Chuntama usiye na kiama.
Juso limekuparama kama umeona mwanga.
Tulizeni vipapa wewe na msungo mwenzako.
Ya nini kujiweka roho juu juu kama nyama buchani?
Hahahaha......wapi Issa, mchaga wa kwanza kuogelea bwawani kwa papa la Dida.
Papa pana kama uwanja wa mieleka.
Mxyiuuuuuuuuuu......
Hata hujanikera bado
Hahahh.....chezea DaJane mie, mtoto wa Mwananyamala kwa Manjunju.Huyo anaejibu hoja zake nyepesi saana na hazina umakini. Amekuwa akirudiarudia maneno yaleyale, Mkuu hii fani ina wenyewe na ina raha zake. Huyo DaJane ni mahiri sana na anajua kupangilia mashambulizi. Hapo ndo utajua raha ya kuwa mswahili.
Aaaah sana. Huyo mwingine ajipange la sivyo atakimbia mwenyewe!Yetu macho mkuu, ila mpaka sasa Dajane anaongoza 3 bila
Hahaaa huyu pambetyuu anaonekana ni mwepesi mno..hamuwezi Da Jane kabisa..ni level za juu sanaHuyo anaejibu hoja zake nyepesi saana na hazina umakini. Amekuwa akirudiarudia maneno yaleyale, Mkuu hii fani ina wenyewe na ina raha zake. Huyo DaJane ni mahiri sana na anajua kupangilia mashambulizi. Hapo ndo utajua raha ya kuwa mswahili.
Inaonekana anajifunza hii fani!Hahaaa huyu pambetyuu anaonekana ni mwepesi mno..hamuwezi Da Jane kabisa..ni level za juu sana
Yetu macho mkuu, ila mpaka sasa Dajane anaongoza 3 bila
heheheheeeeeeee to you bibiiiiiii
naona imekuuuumaaaa sana kuhusu dida kupendwa kama vepeee kunywa sumu bib ww hata ulete waganga lori zima hapa ndo penyewe utaishia kuhara humu jf
kapendwa bibi mwenzio ana,zake nahri sasa wew mdudu wa sikio mbona utadudu mwaka huu