Diddy anaogopa kuoa au kugawana mali? Ameachana na mpenzi wake tena

Diddy anaogopa kuoa au kugawana mali? Ameachana na mpenzi wake tena

BARD AI

JF-Expert Member
Joined
Jul 24, 2018
Posts
3,591
Reaction score
8,826
IMG_2324.jpg

Rapa na Mfanyabiashara maarufu Sean Jean Combs a.k.a Puff Daddy, Diddy au Brother Love ametemana na mpenzi wake Young Miami aliyedumu nae kwa takriban miaka 2 tu.

Diddy amekuwa na kawaida ya kudate mabinti wadogo kiumri kwake lakini hakuna aliyewahi kufika nae hatua ya Ndoa. Amewahi pia kudate na Mastaa kama Cassie, Jeniffer Lopez, Cameron Diaz, Lori Harvey, Misa Hylton, Kim Porter, Sarah Chapman na wengine wengi.
 
Si sahihi maana wenzetu wanafungia ndoa nchi ambayo inawafaa katika maisha yao. Mfano nchi moja huko uaarabuni, ukioa kila mmoja anatafuta vyake na mkitengana hakuna kugawana mali. Wengi wanafungia ndoa huko ili kukwepa kuibiana kiujanja

Ndoa inakuwa transfered kila nchi utakayoenda.

Mfano muislam wa uarabuni ama Tanzania anaruhusiwa kuoa wake wanne kihalali na ndoa zao zinatambulika kisheria.

Ila muislam mwenye wake wanne akihamia kuishi marekani. Ndoa itakayotambulika ni moja tu. Hivyo ataombwa achague mmoja katika hao wake wanne nani atakuwa mke wake. Watatu wanaobaki sheria za marekani hazitawatambua kama wake zake.

Akigoma kufanya hivyo. Anashtakiwa kwa kuvunja sheria za marekani za ndoa ya mke mmoja
 
Ndoa inakuwa transfered kila nchi utakayoenda.

Mfano muislam wa uarabuni ama Tanzania anaruhusiwa kuoa wake wanne kihalali na ndoa zao zinatambulika kisheria.

Ila muislam mwenye wake wanne akihamia kuishi marekani. Ndoa itakayotambulika ni moja tu. Hivyo ataombwa achague mmoja katika hao wake wanne nani atakuwa mke wake. Watatu wanaobaki sheria za marekani hazitawatambua kama wake zake.

Akigoma kufanya hivyo. Anashtakiwa kwa kuvunja sheria za marekani za ndoa ya mke mmoja
Cheti cha ndoa ndicho muhimu. Maana mkitalikiana mngawana mali according to the country's law ya mlipofungia ndoa. Ndoa ni mkataba, hivyo haijalishi mahakama inayoamua ni ya wapi. Ndo maana ukitaka kufunga ndoa siku hizi lazima uchague nchi inayoendana na matakwa yako. Hili nimelifahamu wakati kijana wangu anataka kufunga ndoa
 
Ndoa inakuwa transfered kila nchi utakayoenda.

Mfano muislam wa uarabuni ama Tanzania anaruhusiwa kuoa wake wanne kihalali na ndoa zao zinatambulika kisheria.

Ila muislam mwenye wake wanne akihamia kuishi marekani. Ndoa itakayotambulika ni moja tu. Hivyo ataombwa achague mmoja katika hao wake wanne nani atakuwa mke wake. Watatu wanaobaki sheria za marekani hazitawatambua kama wake zake.

Akigoma kufanya hivyo. Anashtakiwa kwa kuvunja sheria za marekani za ndoa ya mke mmoja
Yes iko hivyo kama ulivyosema.
Kuna nchi pia ziko tofauti kwa raia wake. Raia wa Saudia kibali cha ndoa lazima iitoe mamlaka ya Saudia kinyume na hapo ukioa bila kibali chao cha ndoa yule hatambuliki kama mwenza wako nchini Saudia. Ndio maana Kashog aliuawa kwenye ubalozi akiwa ameenda kutafuta kibali hicho.
 
Cheti cha ndoa ndicho muhimu. Maana mkitalikiana mngawana mali according to the country's law ya mlipofungia ndoa. Ndoa ni mkataba, hivyo haijalishi mahakama inayoamua ni ya wapi. Ndo maana ukitaka kufunga ndoa siku hizi lazima uchague nchi inayoendana na matakwa yako. Hili nimelifahamu wakati kijana wangu anataka kufunga ndoa
Sheria umesomea wapi?

Ndo hata ufungie china, ukihamia Tanzania kwa uhamisho wa kudumu, permanent transfer ndoa yako inahamishiwa Tanzania na unaongozwa na sheria za Tanzania sio za China.

Ukioa Marekani, siku unahamia Tanzania jumla jumla sheria zitakazoamua na kulinda ndoa yako sio za Marekani, ni za Tanzania.
 
Ndoa inakuwa transfered kila nchi utakayoenda.

Mfano muislam wa uarabuni ama Tanzania anaruhusiwa kuoa wake wanne kihalali na ndoa zao zinatambulika kisheria.

Ila muislam mwenye wake wanne akihamia kuishi marekani. Ndoa itakayotambulika ni moja tu. Hivyo ataombwa achague mmoja katika hao wake wanne nani atakuwa mke wake. Watatu wanaobaki sheria za marekani hazitawatambua kama wake zake.

Akigoma kufanya hivyo. Anashtakiwa kwa kuvunja sheria za marekani za ndoa ya mke mmoja
Marekebisho kidogo mkuu.

Hata Tanzania, muislamu alieoa wake wanne, sheria inamtambua mmoja tu na sio 4. Hao wengine 3 kwa sheria za Tanzania wanajulikana kama michepuko tu. Hawana haki zozote kisheria na wala hawatambuliki popote.

Wake 4 wanatambulika kwa sheria za kiislamu na sio sheria za nchi. Ikitokea mgogoro wa kisheria labda ama kifamilia hao 3 wataenda kwenye mabaraza ya kiislamu kwa maamuzi ila sio mahakama za kisheria.

Mfano, mzee umevuta, ukaacha wake 4. Yule wa ndoa anaetambulika kwenye cheti cha ndoa akiamua kukataa kutambua hao 3 akaenda mahakama za kiraia wale hawapati hata 100 ila akiamua kufuata sheria za kiislamu basi wataenda kwa mabaraza ya kiislamu na watagawiana mali kwa muongozo wa kiislamu.
 
Sheria umesomea wapi?

Ndo hata ufungie china, ukihamia Tanzania kwa uhamisho wa kudumu, permanent transfer ndoa yako inahamishiwa Tanzania na unaongozwa na sheria za Tanzania sio za China.

Ukioa Marekani, siku unahamia Tanzania jumla jumla sheria zitakazoamua na kulinda ndoa yako sio za Marekani, ni za Tanzania.
Mimi siyo Mwanasheria, nikuulize swali dogo tu! Kwanini unataja uhamisho wa kudumu! Katika hoja yangu nimeeleza kuhusu residence ya wanandoa? Au wewe ni kati ya marafiki wa Joannah (waha) au unajadili kitu hujui
 
Marekebisho kidogo mkuu.

Hata Tanzania, muislamu alieoa wake wanne, sheria inamtambua mmoja tu na sio 4. Hao wengine 3 kwa sheria za Tanzania wanajulikana kama michepuko tu. Hawana haki zozote kisheria na wala hawatambuliki popote.

Wake 4 wanatambulika kwa sheria za kiislamu na sio sheria za nchi. Ikitokea mgogoro wa kisheria labda ama kifamilia hao 3 wataenda kwenye mabaraza ya kiislamu kwa maamuzi ila sio mahakama za kisheria.

Mfano, mzee umevuta, ukaacha wake 4. Yule wa ndoa anaetambulika kwenye cheti cha ndoa akiamua kukataa kutambua hao 3 akaenda mahakama za kiraia wale hawapati hata 100 ila akiamua kufuata sheria za kiislamu basi wataenda kwa mabaraza ya kiislamu na watagawiana mali kwa muongozo wa kiislamu.
Ebu fafanua hapa maana naona unachanganya mfano wote wanne wana vyeti je ni upi mmoja anayetambulika?
 
Mimi siyo Mwanasheria, nikuulize swali dogo tu! Kwanini unataja uhamisho wa kudumu! Katika hoja yangu nimeeleza kuhusu residence ya wanandoa? Au wewe ni kati ya marafiki wa Joannah (waha) au unajadili kitu hujui
Kweli ile old saying kwamba little learning is very hazardous ni kweli.

Basi nikubaliane na wewe, hujahamia jumla. Sasa umefunga ndoa Marekani halafu ukaja Tanzania, je wewe ni mtanzania ama mmarekani.

Kama ni mtanzania maana yake permanent residency(nationality) yako iko Tanzania hivyo sheria zitakazo govern ndoa yako ni za Tanzania bila kujali umefungia wapi ndoa. Maana Marekani ulifunga ndoa tu kama mtalii, temporary resident ama mtalii tu.

Kama wewe ni mmarekani na umefungia ndoa Tanzania, manaa yake wewe ni temporary resident ama mtalii, uko kwa muda tu kisha utarudi nchi yako hivyo sheria zitakazoongoza ndoa yako ni za mahala unapoishi kwa kudumu.

Kama umefunga ndoa nchi flani ambayo wewe sio mwananchi wake, yaani mtalii uko kwa muda na ndoa yako ikavunjika kabla hujaondoka kurudi kwenu, yaani muda wako wa kuishi nchi hiyo haujaisha basi sheria zitakazo govern ndoa yako ni za hiyo nchi ambayo uko mtalii.

Usichokielewa wewe ni kwamba laws governing ndoa lazima ziendane na permanent residency. Hilo halikwepeki. Kwa akili yako ni kwamba unataka ufunge ndoa ya kitalii halafu upewe permanent residency status na umeshaondoka kwenda kwenu.

Kwa msingi huo swali lako hata kama hukua umetaja uhamisho wa kudumu bado majibu yake ndio hayo. Kwa maana nyingine ni kwamba umeuliza swali la kijinga lisilo na msingi ila umejibiwa kitaalam.
 
Kweli ile old saying kwamba little learning is very hazardous ni kweli.

Basi nikubaliane na wewe, hujahamia jumla. Sasa umefunga ndoa Marekani halafu ukaja Tanzania, je wewe ni mtanzania ama mmarekani.

Kama ni mtanzania maana yake permanent residency(nationality) yako iko Tanzania hivyo sheria zitakazo govern ndoa yako ni za Tanzania bila kujali umefungia wapi ndoa. Maana Marekani ulifunga ndoa tu kama mtalii, temporary resident ama mtalii tu.

Kama wewe ni mmarekani na umefungia ndoa Tanzania, manaa yake wewe ni temporary resident ama mtalii, uko kwa muda tu kisha utarudi nchi yako hivyo sheria zitakazoongoza ndoa yako ni za mahala unapoishi kwa kudumu.

Kama umefunga ndoa nchi flani ambayo wewe sio mwananchi wake, yaani mtalii uko kwa muda na ndoa yako ikavunjika kabla hujaondoka kurudi kwenu, yaani muda wako wa kuishi nchi hiyo haujaisha basi sheria zitakazo govern ndoa yako ni za hiyo nchi ambayo uko mtalii.

Usichokielewa wewe ni kwamba laws governing ndoa lazima ziendane na permanent residency. Hilo halikwepeki. Kwa akili yako ni kwamba unataka ufunge ndoa ya kitalii halafu upewe permanent residency status na umeshaondoka kwenda kwenu.

Kwa msingi huo swali lako hata kama hukua umetaja uhamisho wa kudumu bado majibu yake ndio hayo. Kwa maana nyingine ni kwamba umeuliza swali la kijinga lisilo na msingi ila umejibiwa kitaalam.
Naona wewe ni mtu wa kubisha tu. Inaonesha hujui ulisemalo. Ndoa ni mkataba na mkataba unafuata sheria uliposaini huo mkataba unless umeuhamisha si usual residency!!!!!! Anabisha kiha tu
 
Ndoa inakuwa transfered kila nchi utakayoenda.

Mfano muislam wa uarabuni ama Tanzania anaruhusiwa kuoa wake wanne kihalali na ndoa zao zinatambulika kisheria.

Ila muislam mwenye wake wanne akihamia kuishi marekani. Ndoa itakayotambulika ni moja tu. Hivyo ataombwa achague mmoja katika hao wake wanne nani atakuwa mke wake. Watatu wanaobaki sheria za marekani hazitawatambua kama wake zake.

Akigoma kufanya hivyo. Anashtakiwa kwa kuvunja sheria za marekani za ndoa ya mke mmoja
Sio kweli mkuu,
Marekani haiingilii Uhuru wa Dini.
Otherwise yeye mwnyw akafunge ndoa ya kiserikali

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom