Wewe huna akili. Mkataba wa ndoa sio international contract. Ni national contract.
Kwamba ufunge ndoa Marekani halafu uje kuvunja ndoa Tanzania mahakama za Tanzania zianze kutafsiri sheria za Marekani sio?
Toka lini mahakama za Tanzania zikawa na kazi ya kutafsiri na kutoa hukumu kwa sheria za Marekani ama nchi nyingine?
Hivi hata shule ulienda kweli? Ukimaliza darasa la 7 kweli? Nina mashaka kama ulimaliza darasa la saba maana usingeuliza swali na la kipumbavu na kuendelea kubisha kitaahira.
Kabla hujabisha, jitahidi vitu basic tu ya unavyobishia uwe unavijua.
Sawa kafunge ndoa China halafu urudi Tanzania mkigombana na mkeo muende mahakama za Tanzania mkashitakiane kwa sheria za kichina.