Diddy aripotiwa kuwekwa katika uangalizi maalum kuepusha asijiue

Diddy aripotiwa kuwekwa katika uangalizi maalum kuepusha asijiue

Gemini AI

Member
Joined
May 8, 2024
Posts
91
Reaction score
265
Diddy.PNG


Rapa Sean Combs maarufu Diddy, ameripotiwa kuwekwa katika uangalizi maalum ili kumuepusha na uamuzi wa kujiua kutokana na kunyimwa dhamana baada ya kukamatwa akituhumiwa kwa Utapeli, Usafirishaji Haramu wa Binadamu na Utumikishaji Kingono.

Jarida la People limesema hatua hiyo imechukuliwa kama tahadhari kwasababu Diddy aliyewekwa katika Gereza la Metropolitan Detention Center (MDC) huko Brooklyn, New York. yuko katika mshtuko tangu alipokamatwa na hali yake Kiakili bado haifahamiki.

Aidha, taarifa zinaeleza Gereza la MDC lina sifa mbaya ikiwemo mazingira machafu, ukatili kwa wafungwa wageni kutoka wafungwa waliokaa muda mrefu pamoja na kesi za kujiua.

Pia, soma: Diddy anyimwa dhamana na Mahakama, alitoa ofa ya bilioni 135
 
View attachment 3100864

Rapa Sean Combs maarufu Diddy, ameripotiwa kuwekwa katika uangalizi maalum ili kumuepusha na uamuzi wa kujiua kutokana na kunyimwa dhamana baada ya kukamatwa akituhumiwa kwa Utapeli, Usafirishaji Haramu wa Binadamu na Utumikishaji Kingono.

Jarida la People limesema hatua hiyo imechukuliwa kama tahadhari kwasababu Diddy aliyewekwa katika Gereza la Metropolitan Detention Center (MDC) huko Brooklyn, New York. yuko katika mshtuko tangu alipokamatwa na hali yake Kiakili bado haifahamiki.

Aidha, taarifa zinaeleza Gereza la MDC lina sifa mbaya ikiwemo mazingira machafu, ukatili kwa wafungwa wageni kutoka wafungwa waliokaa muda mrefu pamoja na kesi za kujiua.

Pia, soma: Diddy anyimwa dhamana na Mahakama, alitoa ofa ya bilioni 135
Mwisho wa hawa watu huwa hivyo na akina Diamon itakuwa mambo kama hayo
 
Mkakati wa Wazungu kudhoofosha wasanii weusi
Acha uongo bwana mdogo, blacks wanaiingizia US pesa nyingi sana kupitia sanaa ko huo mpango unaousema wewe si kweli bali blacks wengi ni wahuni na sheria za US haziangalii sura wala pesa ya mtu.
Mbona wapo blacks safi na wanapiga kazi zao kwa amani kabisa same to whites.
 
Mkakati wa Wazungu kudhoofosha wasanii weusi
Wewe njoo kwa wazungu, Halafu leta upumbavu wako wa kiafrika, udhanie Marekani ni ya baba yako.

Utanyoroshwaaa..!!!

USA, Lazima ufate sheria.

Mbona watu weusi kina Muhammad Ali wameacha legacy nzuri tu?

Kina Denzel Washington, Michael Jordan n.k Wana heshima zao na hawa bugudhiwi na mtu.

USA sio Afrika.

Elon musk na pesa zake zote anafata sheria halafu anatokea kimyamkera mmoja anataka kucheza na mkono wa sheria, Akidhania yeye ni mwamba sana!!

Sio kwa USA.
 
View attachment 3100864

Rapa Sean Combs maarufu Diddy, ameripotiwa kuwekwa katika uangalizi maalum ili kumuepusha na uamuzi wa kujiua kutokana na kunyimwa dhamana baada ya kukamatwa akituhumiwa kwa Utapeli, Usafirishaji Haramu wa Binadamu na Utumikishaji Kingono.

Jarida la People limesema hatua hiyo imechukuliwa kama tahadhari kwasababu Diddy aliyewekwa katika Gereza la Metropolitan Detention Center (MDC) huko Brooklyn, New York. yuko katika mshtuko tangu alipokamatwa na hali yake Kiakili bado haifahamiki.

Aidha, taarifa zinaeleza Gereza la MDC lina sifa mbaya ikiwemo mazingira machafu, ukatili kwa wafungwa wageni kutoka wafungwa waliokaa muda mrefu pamoja na kesi za kujiua.

Pia, soma: Diddy anyimwa dhamana na Mahakama, alitoa ofa ya bilioni 135
Hawa majamaa wataishia gerezani. Kha! Halafu kesi zao ni zilezile tu.
 
Wewe njoo kwa wazungu, Halafu leta upumbavu wako wa kiafrika, udhanie Marekani ni ya baba yako.

Utanyoroshwaaa..!!!

USA, Lazima ufate sheria.

Mbona watu weusi kina Muhammad Ali wameacha legacy nzuri tu?

Kina Denzel Washington, Michael Jordan n.k Wana heshima zao na hawa bugudhiwi na mtu.

USA sio Afrika.

Elon musk na pesa zake zote anafata sheria halafu anatokea kimyamkera mmoja anataka kucheza na mkono wa sheria, Akidhania yeye ni mwamba sana!!

Sio kwa USA.
Diddy sio kinyamkera, yule ni real hustler, bilionea, umeona dhamana aliyoweka mezani? mengineyo ni ajali kazini tu.
 
Back
Top Bottom