Diddy aripotiwa kuwekwa katika uangalizi maalum kuepusha asijiue

Diddy aripotiwa kuwekwa katika uangalizi maalum kuepusha asijiue

Kwann isiwe kwa Jordan Will Smith Dre Russel Simmons etc

Hao mwisho wao haujafika, kwani kwenye kesi ya Michael Jackson ulijua kuwa R.kelly na Diddy watafuata mkuu.

Watu weusi inabidi tuamke hawa wenzetu(whites) hawataki future yetu iwe bright kwa vizazi vijavyo ili atakapotaja mtu yeyeyote mweusi huko mbeleni ionekani si mfano wa kuigwa alikuwa ana mwisho mbaya....., Na Happ ndio itakavyo kufa historia
ya mtu mweusi.

Watuu wanashabikia lakini hii ni mbaya.
 
Hao mwisho wao haujafika, kwani kwenye kesi ya Michael Jackson ulijua kuwa R.kelly na Diddy watafuata mkuu.

Watu weusi inabidi tuamke hawa wenzetu(whites) hawataki future yetu iwe bright kwa vizazi vijavyo ili atakapotaja mtu yeyeyote mweusi huko mbeleni ionekani si mfano wa kuigwa alikuwa ana mwisho mbaya....., Na Happ ndio itakavyo kufa historia
ya mtu mweusi.

Watuu wanashabikia lakini hii ni mbaya.
Kwenye sekta ya burudani na michezo huko majuu blacks wana kimbiza sasa kama wanatumia kigezo hicho kufanya unyanyasaji sheria lazm ichukue mkondo wake
 
Kwenye sekta ya burudani na michezo huko majuu blacks wana kimbiza sasa kama wanatumia kigezo hicho kufanya unyanyasaji sheria lazm ichukue mkondo wake

Uko sawa ila chunguza utabaini....,

Angalia watu wanaokufa kwa ajali jinsi wanavyoenziwa tofauti na hapo watakutengenezea zengwe ili mradj wakuchafue Kama Bob Marley (ingawa Kuna utata ndani yake kuhusu sindano ya sumu) na 2pac.

Hizo legacy wazungu hawataki kusikia zikiwa kwa mtu mweusi.

Hata ivo unaamini wao wazungu ndio wanafuta sheria ipasavyo kuliko watu weusi.
 
haujui mengi kuhusu Hugh Hefner.All in all hiki wanachofanyiwa black celebrities and stars ni mwendelezo wa post war against black race.Hata Rkelly na wengine wengi huko nyuma ni mwendelezo wa hiki kitu.issue si Diddy issue ni black race Hawa literally wamekuwa ni subjects...
Upo sahihi vitu wanavyofanya white people ni zaidi ya alivyofanya R Kelly wao sio walengwa wakuu wa hizo mambo..
Wazungu wachafu sana huko Cape Town Beach wana uchafu wa kila aina wana hadi Beach walikua wanaruhusu watu waingie Uchi magari yaanachwa parking na nguo zako uchafu wao unawezwa kufanywa popote kwa mtu yeyote alie eneo hilo walitaka kufanya hivyo huko Durban wazulu walipiga marufuku..
 
View attachment 3100864

Rapa Sean Combs maarufu Diddy, ameripotiwa kuwekwa katika uangalizi maalum ili kumuepusha na uamuzi wa kujiua kutokana na kunyimwa dhamana baada ya kukamatwa akituhumiwa kwa Utapeli, Usafirishaji Haramu wa Binadamu na Utumikishaji Kingono.

Jarida la People limesema hatua hiyo imechukuliwa kama tahadhari kwasababu Diddy aliyewekwa katika Gereza la Metropolitan Detention Center (MDC) huko Brooklyn, New York. yuko katika mshtuko tangu alipokamatwa na hali yake Kiakili bado haifahamiki.

Aidha, taarifa zinaeleza Gereza la MDC lina sifa mbaya ikiwemo mazingira machafu, ukatili kwa wafungwa wageni kutoka wafungwa waliokaa muda mrefu pamoja na kesi za kujiua.

Pia, soma: Diddy anyimwa dhamana na Mahakama, alitoa ofa ya bilioni 135
Huyo mpaka mafuta lazima akaungane na Kels - Shai Taun.
 
Hao mwisho wao haujafika, kwani kwenye kesi ya Michael Jackson ulijua kuwa R.kelly na Diddy watafuata mkuu.

Watu weusi inabidi tuamke hawa wenzetu(whites) hawataki future yetu iwe bright kwa vizazi vijavyo ili atakapotaja mtu yeyeyote mweusi huko mbeleni ionekani si mfano wa kuigwa alikuwa ana mwisho mbaya....., Na Happ ndio itakavyo kufa historia
ya mtu mweusi.

Watuu wanashabikia lakini hii ni mbaya.
Aisee☹️
 
The Whole industry ( Hollywood ) Iko hvy mbn.
Javier Garcia ( Boxer ) aliexpose yanayofanywa na wakuu wa maeneo mengi ktk secret society ya Bohemian, Club of Rome na wengine wengi juu ya ulawiti na sadaka za damu za watoto hasa wanaoibiwa au kupotea ghafla, Silaha za kibaolojia kwenye vyakula, madawa na manukato ila hakuna hata mmoja aliewajibishwa.
White super Macy
Kuna kitu unakijua sio bure.🐷
 
Wewe njoo kwa wazungu, Halafu leta upumbavu wako wa kiafrika, udhanie Marekani ni ya baba yako.

Utanyoroshwaaa..!!!

USA, Lazima ufate sheria.

Mbona watu weusi kina Muhammad Ali wameacha legacy nzuri tu?

Kina Denzel Washington, Michael Jordan n.k Wana heshima zao na hawa bugudhiwi na mtu.

USA sio Afrika.

Elon musk na pesa zake zote anafata sheria halafu anatokea kimyamkera mmoja anataka kucheza na mkono wa sheria, Akidhania yeye ni mwamba sana!!

Sio kwa USA.
Kabisa na wanapesa kumzidi huyu mshenzi diddy
 
View attachment 3100864

Rapa Sean Combs maarufu Diddy, ameripotiwa kuwekwa katika uangalizi maalum ili kumuepusha na uamuzi wa kujiua kutokana na kunyimwa dhamana baada ya kukamatwa akituhumiwa kwa Utapeli, Usafirishaji Haramu wa Binadamu na Utumikishaji Kingono.

Jarida la People limesema hatua hiyo imechukuliwa kama tahadhari kwasababu Diddy aliyewekwa katika Gereza la Metropolitan Detention Center (MDC) huko Brooklyn, New York. yuko katika mshtuko tangu alipokamatwa na hali yake Kiakili bado haifahamiki.

Aidha, taarifa zinaeleza Gereza la MDC lina sifa mbaya ikiwemo mazingira machafu, ukatili kwa wafungwa wageni kutoka wafungwa waliokaa muda mrefu pamoja na kesi za kujiua.

Pia, soma: Diddy anyimwa dhamana na Mahakama, alitoa ofa ya bilioni 135

View: https://youtu.be/c5rcBURAWjk?si=VvL-hLiI3tbgu7ci
 
Back
Top Bottom