Diddy aripotiwa kuwekwa katika uangalizi maalum kuepusha asijiue

Kwann isiwe kwa Jordan Will Smith Dre Russel Simmons etc

Hao mwisho wao haujafika, kwani kwenye kesi ya Michael Jackson ulijua kuwa R.kelly na Diddy watafuata mkuu.

Watu weusi inabidi tuamke hawa wenzetu(whites) hawataki future yetu iwe bright kwa vizazi vijavyo ili atakapotaja mtu yeyeyote mweusi huko mbeleni ionekani si mfano wa kuigwa alikuwa ana mwisho mbaya....., Na Happ ndio itakavyo kufa historia
ya mtu mweusi.

Watuu wanashabikia lakini hii ni mbaya.
 
Kwenye sekta ya burudani na michezo huko majuu blacks wana kimbiza sasa kama wanatumia kigezo hicho kufanya unyanyasaji sheria lazm ichukue mkondo wake
 
Kwenye sekta ya burudani na michezo huko majuu blacks wana kimbiza sasa kama wanatumia kigezo hicho kufanya unyanyasaji sheria lazm ichukue mkondo wake

Uko sawa ila chunguza utabaini....,

Angalia watu wanaokufa kwa ajali jinsi wanavyoenziwa tofauti na hapo watakutengenezea zengwe ili mradj wakuchafue Kama Bob Marley (ingawa Kuna utata ndani yake kuhusu sindano ya sumu) na 2pac.

Hizo legacy wazungu hawataki kusikia zikiwa kwa mtu mweusi.

Hata ivo unaamini wao wazungu ndio wanafuta sheria ipasavyo kuliko watu weusi.
 
Upo sahihi vitu wanavyofanya white people ni zaidi ya alivyofanya R Kelly wao sio walengwa wakuu wa hizo mambo..
Wazungu wachafu sana huko Cape Town Beach wana uchafu wa kila aina wana hadi Beach walikua wanaruhusu watu waingie Uchi magari yaanachwa parking na nguo zako uchafu wao unawezwa kufanywa popote kwa mtu yeyote alie eneo hilo walitaka kufanya hivyo huko Durban wazulu walipiga marufuku..
 
Huyo mpaka mafuta lazima akaungane na Kels - Shai Taun.
 
Aisee☹️
 
Kuna kitu unakijua sio bure.🐷
 
Kabisa na wanapesa kumzidi huyu mshenzi diddy
 

View: https://youtu.be/c5rcBURAWjk?si=VvL-hLiI3tbgu7ci
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…