Cvez JF-Expert Member Joined May 19, 2018 Posts 4,405 Reaction score 13,411 Nov 25, 2020 #21 Mwamba wa Miamba my favourite player
Nyani Ngabu Platinum Member Joined May 15, 2006 Posts 94,296 Reaction score 122,540 Nov 25, 2020 Thread starter #22 Ilikuwa mwaka 1986 nchini Mexico. Nadhani kwenye mechi ya robo fainali dhidi ya Uingereza. Maradona aliwalamba chenga Waingereza kuanzia katikati ya uwanja hadi akaenda kucheza na nyavu. Hapo ni baada ya goli la mkono wa Mungu. Mwaka 1986 ulikuwa ni mwaka wa Argentina.
Ilikuwa mwaka 1986 nchini Mexico. Nadhani kwenye mechi ya robo fainali dhidi ya Uingereza. Maradona aliwalamba chenga Waingereza kuanzia katikati ya uwanja hadi akaenda kucheza na nyavu. Hapo ni baada ya goli la mkono wa Mungu. Mwaka 1986 ulikuwa ni mwaka wa Argentina.
Myahudi Jr II JF-Expert Member Joined Jan 7, 2016 Posts 6,816 Reaction score 8,809 Nov 25, 2020 #23 R.I.P
The Boss JF-Expert Member Joined Aug 18, 2009 Posts 49,282 Reaction score 117,244 Nov 25, 2020 #24 Sad day
BM X6 JF-Expert Member Joined Nov 24, 2020 Posts 1,376 Reaction score 4,222 Nov 25, 2020 #25 Kwani kuna Maradona wangapi?...I thought he died earlier this year. Au ile ilikuwa njozi?[emoji848]
Antetokounmpo JF-Expert Member Joined Feb 5, 2020 Posts 1,240 Reaction score 2,010 Nov 25, 2020 #26 R.I.P Diego
Eng. Zezudu JF-Expert Member Joined Aug 23, 2012 Posts 8,024 Reaction score 11,546 Nov 25, 2020 #27 Du noma sana, RIP Maradona, Gwiji wa kufunga magoli ya mikono bila kuonwa na refa pia, Nadhani hata VAr isingeona. Legend Sent using Jamii Forums mobile app
Du noma sana, RIP Maradona, Gwiji wa kufunga magoli ya mikono bila kuonwa na refa pia, Nadhani hata VAr isingeona. Legend Sent using Jamii Forums mobile app
dimaa JF-Expert Member Joined Jul 30, 2016 Posts 4,174 Reaction score 5,658 Nov 25, 2020 #28 Corona Bado ipo?
ZINDAGI JF-Expert Member Joined Dec 5, 2015 Posts 1,118 Reaction score 1,430 Nov 25, 2020 #29 Fundi wa mpira katutoka
jahanbaksh Senior Member Joined Sep 4, 2018 Posts 122 Reaction score 161 Nov 25, 2020 #30 Rest in peace,el mejor jugador del historia DIEGO ARMANDO MARADONA, ila katika football world ataendelea kuishi mwamba
Rest in peace,el mejor jugador del historia DIEGO ARMANDO MARADONA, ila katika football world ataendelea kuishi mwamba
U uccarclinic Member Joined May 29, 2020 Posts 9 Reaction score 9 Nov 25, 2020 #31 AMMARITO said: Fundi wa mpira katutokaView attachment 1634674 Click to expand... [emoji24][emoji24][emoji24] Sent from my Pixel using JamiiForums mobile app
AMMARITO said: Fundi wa mpira katutokaView attachment 1634674 Click to expand... [emoji24][emoji24][emoji24] Sent from my Pixel using JamiiForums mobile app
R Retired JF-Expert Member Joined Jul 22, 2016 Posts 44,629 Reaction score 83,056 Nov 25, 2020 #32 cause of death?
B Babu la Bara JF-Expert Member Joined May 24, 2017 Posts 529 Reaction score 575 Nov 25, 2020 #33 Duuuh.
Kyalow JF-Expert Member Joined Mar 6, 2011 Posts 3,548 Reaction score 2,580 Nov 25, 2020 #34 Maradona
mgunga pori JF-Expert Member Joined Jul 23, 2016 Posts 4,092 Reaction score 4,896 Nov 25, 2020 #35 Wale waumini wa dini yake Pumzika salama salmin Ila dunia hii ngumu sana Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Wale waumini wa dini yake Pumzika salama salmin Ila dunia hii ngumu sana Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
BoyOfGod JF-Expert Member Joined Jan 3, 2019 Posts 1,055 Reaction score 1,572 Nov 25, 2020 #36 Eeeh kafa kwel
Donnie Charlie JF-Expert Member Joined Sep 16, 2009 Posts 16,908 Reaction score 19,123 Nov 25, 2020 #37 Bye Bye DAM!
Black Sniper JF-Expert Member Joined Dec 10, 2013 Posts 32,406 Reaction score 55,148 Nov 25, 2020 #38 Retired said: cause of death? Click to expand... Alcohol Also he had successfully surgery on a brain early in Nov
Retired said: cause of death? Click to expand... Alcohol Also he had successfully surgery on a brain early in Nov
Culture Me JF-Expert Member Joined May 24, 2017 Posts 10,490 Reaction score 21,398 Nov 25, 2020 #39 Resy Easy Mwamba [emoji174]
The Humble Dreamer JF-Expert Member Joined Oct 12, 2015 Posts 7,574 Reaction score 10,598 Nov 25, 2020 #40 dimaa said: Corona Bado ipo? Click to expand... Eeee ipo bado. Unataka kusemaje Mkuu?