TANZIA Diego Maradona afariki dunia

TANZIA Diego Maradona afariki dunia

Ilikuwa mwaka 1986 nchini Mexico. Nadhani kwenye mechi ya robo fainali dhidi ya Uingereza.

Maradona aliwalamba chenga Waingereza kuanzia katikati ya uwanja hadi akaenda kucheza na nyavu.

Hapo ni baada ya goli la mkono wa Mungu.

Mwaka 1986 ulikuwa ni mwaka wa Argentina.

 
Kwani kuna Maradona wangapi?...I thought he died earlier this year. Au ile ilikuwa njozi?[emoji848]
 
Fundi wa mpira katutoka
Screenshot_20201125-195443_WhatsApp.jpg
 
Rest in peace,el mejor jugador del historia DIEGO ARMANDO MARADONA, ila katika football world ataendelea kuishi mwamba
 
Back
Top Bottom