Kuna haja ya kufungua thread nyingine au ibaki hii.Barca na Messi walifunga 3 pale camp now ila walivyokuja anfield kila mtu anajua nini kiliwakuta.
Tupo half time wameshinda kwao goli mpoja bila nasubili thread yako nyingine baada ya wiki 2 ikiisuppport hii hapa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Dada punguza munkari hiyo mimba sijakupa mimi
Liver akishinda utaona viingereza vingi vya kusifu uwezo wa wachezaji, yaani utaona uchambuzi na data za kubumba kuonyesha kila mchezaji wa liver ni world class player, wakifungwa sasa ndio utasikia wanasema hawakuwa na bahati. Kiuhalisia liver ni timu ya kawaida sana, imekuwa overrated. Hii timu ilishafikia climax na timu nyingine za Uingereza zikisajili vizuri, Liver itakuwa ni timu ya kawaida tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Dah!.. ndio mpira huo!!
Tuliokosa umeme hali jana ilikuwa hivi Mtaani kwetu.
Haahaaahaaaaaaaaa...Siku nyingine usiwe mpumbavu
Siku nyingine jua huu ni mchezo wa soka anything happen
Next time usiwe zwazwa fala wewe
Unabisha mpaka mishipa ya shingo inakusimama bwege wewe
Next jifunze kubalance mambo
Usiwe shabiki mandazi fala wewe
Tulikustahi na ukweli ni kwamba liverpool ni timu avarage sema uingereza timu karibu zote ni mbovu sana wakati huu
Chukua timu za miaka kama sita ilitopita halafu linganisha na zilizopo sasa
PUMBAVU.
Haahaaahaaaaaaaaa...
Dah mkubwa inaelekea ulikuwa unamsubiri jamaa kwa hamu!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu kwa sasa majibu wameyapata.Makombe gani hawapati? Toka simeone Amefika Atletico wana makombe 6 na fainali zaidi ya 10 hao liver wana makombe mangapi katika muda huo??
Liver ni timu ya kawaida tu iliobebwa na usajili wa bei kubwa ila atletico imejengwa na average players wasio na majina wanaojituma kwa nguvu zote.
Liver inaweza kupita of course but never underestimate simeone or Atletico kisa liver imepata mafanikio ya ghafla. Timu ina miaka 30 haina ligi alafu kelele kibao utadhani nyie ni elite team!!
EPL fanboys mnafurahisha sana
Sentensi mbili za mwisho zimebeba hoja nzito.Siku nyingine usiwe mpumbavu
Siku nyingine jua huu ni mchezo wa soka anything happen
Next time usiwe zwazwa fala wewe
Unabisha mpaka mishipa ya shingo inakusimama bwege wewe
Next jifunze kubalance mambo
Usiwe shabiki mandazi fala wewe
Tulikustahi na ukweli ni kwamba liverpool ni timu avarage sema uingereza timu karibu zote ni mbovu sana wakati huu
Chukua timu za miaka kama sita ilitopita halafu linganisha na zilizopo sasa
PUMBAVU.
Atletico nimewatazama sana japo Game ya jana niliicheki kipindi cha kwanza tu.Mkuu kile kichapo cha jana ni cha kiheshima sana, sijakishuhudia kwa muda mrefu sana Anfield. Jamaa walikuwa so composed.
Ingekuwa timu zenye papara ile game ingeisha mapema.
Hii Liver ya sasa sio bora kama ile akina Gerald, Torres, Rise n.kLiver akishinda utaona viingereza vingi vya kusifu uwezo wa wachezaji, yaani utaona uchambuzi na data za kubumba kuonyesha kila mchezaji wa liver ni world class player, wakifungwa sasa ndio utasikia wanasema hawakuwa na bahati. Kiuhalisia liver ni timu ya kawaida sana, imekuwa overrated. Hii timu ilishafikia climax na timu nyingine za Uingereza zikisajili vizuri, Liver itakuwa ni timu ya kawaida tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu niliandaka niandike hivi ila nikafuta, huu upepo ungegeuka mapema au katikati ya League hakika kombe wangelisikia tu.Pumbavu huu ni mpira habari za ramli mpelekee bibi ako
Mwanangu umeona eeeh
Liver wapo overrated sana
Sema inawachezaji fulani wana split ya hatari
Wanacheza kwa nguvu na upepo ulikuwa upande wao
Wana bahati upepo umegeuka mwishoni mwa ligi otherwise wasingeliona hilo kombe.
Liver kule mbele hakuna kitu, labda zile fujo za Sadio Mane kukimbia kimbia, Mane kiwango chake hajaachana na Morrison wa Yanga.Kabisa nilimsubiri kwa hamu sana,
Sisi wengine tunajua huu ni mpira hata kama tukiongelea kiupande hatukomazi shingo,
Kuna wakati mpira huwa unaiendea timu vizuri inakuwa inashinda hata kama ni ya kawaida sana,
Sasa mwamba tulimwambia mpira ule na wale jamaa ni wahuni sana wanakaza mpaka damu na ameona,
Liver timu ya kawaida sema ndo hivyo upepo ulikuwa upande wake.
huyu mane ni overrated hana tofauti na balamaLiver kule mbele hakuna kitu, labda zile fujo za Sadio Mane kukimbia kimbia, Mane kiwango chake hajaachana na Morrison wa Yanga.
Liver ashukuru amekutana na Atletico ambayo kwa sehemu flani haina visiki kama zamani.
Alikuwepo Milanda na Godin Mkuu, hawa wahuni walishindikana.
Sent using Jamii Forums mobile app