GIRITA
JF-Expert Member
- Jul 4, 2016
- 4,432
- 5,864
M.llorente,M.llorente,Morata......Liverpool walicheza Mpira mkubwa sana. nawapa pongezi .....sema magoli ya wijnaldum na firmino hayakutosha kuibeba Liverpool mgongoni mbele ya mashabiki wake ambao Jana walizima mziki baada ya matokeo kuwa ndivyo sivyo,eti huwa wanashangilia mwanzo mwishooo lakini Jana da!!!! poleni sana wafuasi wa kloppy.