Diego Simeone ni kiboko ya Jurgen Klopp

Diego Simeone ni kiboko ya Jurgen Klopp

M.llorente,M.llorente,Morata......Liverpool walicheza Mpira mkubwa sana. nawapa pongezi .....sema magoli ya wijnaldum na firmino hayakutosha kuibeba Liverpool mgongoni mbele ya mashabiki wake ambao Jana walizima mziki baada ya matokeo kuwa ndivyo sivyo,eti huwa wanashangilia mwanzo mwishooo lakini Jana da!!!! poleni sana wafuasi wa kloppy.
 
Wahuni wamechinja jogoo la albadir bila kudhurika😂😂😂
 
Dada punguza munkari hiyo mimba sijakupa mimi

Pumbavu huu ni mpira habari za ramli mpelekee bibi ako

Liver akishinda utaona viingereza vingi vya kusifu uwezo wa wachezaji, yaani utaona uchambuzi na data za kubumba kuonyesha kila mchezaji wa liver ni world class player, wakifungwa sasa ndio utasikia wanasema hawakuwa na bahati. Kiuhalisia liver ni timu ya kawaida sana, imekuwa overrated. Hii timu ilishafikia climax na timu nyingine za Uingereza zikisajili vizuri, Liver itakuwa ni timu ya kawaida tu.

Sent using Jamii Forums mobile app

Mwanangu umeona eeeh

Liver wapo overrated sana

Sema inawachezaji fulani wana split ya hatari

Wanacheza kwa nguvu na upepo ulikuwa upande wao

Wana bahati upepo umegeuka mwishoni mwa ligi otherwise wasingeliona hilo kombe.
 
Siku nyingine usiwe mpumbavu

Siku nyingine jua huu ni mchezo wa soka anything happen

Next time usiwe zwazwa fala wewe

Unabisha mpaka mishipa ya shingo inakusimama bwege wewe

Next jifunze kubalance mambo

Usiwe shabiki mandazi fala wewe

Tulikustahi na ukweli ni kwamba liverpool ni timu avarage sema uingereza timu karibu zote ni mbovu sana wakati huu

Chukua timu za miaka kama sita ilitopita halafu linganisha na zilizopo sasa

PUMBAVU.
Haahaaahaaaaaaaaa...
Dah mkubwa inaelekea ulikuwa unamsubiri jamaa kwa hamu!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Haahaaahaaaaaaaaa...
Dah mkubwa inaelekea ulikuwa unamsubiri jamaa kwa hamu!!

Sent using Jamii Forums mobile app

Kabisa nilimsubiri kwa hamu sana,

Sisi wengine tunajua huu ni mpira hata kama tukiongelea kiupande hatukomazi shingo,

Kuna wakati mpira huwa unaiendea timu vizuri inakuwa inashinda hata kama ni ya kawaida sana,

Sasa mwamba tulimwambia mpira ule na wale jamaa ni wahuni sana wanakaza mpaka damu na ameona,

Liver timu ya kawaida sema ndo hivyo upepo ulikuwa upande wake.
 
ES4kDevXQAI1CCB.jpeg

😬😬
 
Makombe gani hawapati? Toka simeone Amefika Atletico wana makombe 6 na fainali zaidi ya 10 hao liver wana makombe mangapi katika muda huo??

Liver ni timu ya kawaida tu iliobebwa na usajili wa bei kubwa ila atletico imejengwa na average players wasio na majina wanaojituma kwa nguvu zote.

Liver inaweza kupita of course but never underestimate simeone or Atletico kisa liver imepata mafanikio ya ghafla. Timu ina miaka 30 haina ligi alafu kelele kibao utadhani nyie ni elite team!!

EPL fanboys mnafurahisha sana
Mkuu kwa sasa majibu wameyapata.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Siku nyingine usiwe mpumbavu

Siku nyingine jua huu ni mchezo wa soka anything happen

Next time usiwe zwazwa fala wewe

Unabisha mpaka mishipa ya shingo inakusimama bwege wewe

Next jifunze kubalance mambo

Usiwe shabiki mandazi fala wewe

Tulikustahi na ukweli ni kwamba liverpool ni timu avarage sema uingereza timu karibu zote ni mbovu sana wakati huu

Chukua timu za miaka kama sita ilitopita halafu linganisha na zilizopo sasa

PUMBAVU.
Sentensi mbili za mwisho zimebeba hoja nzito.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu kile kichapo cha jana ni cha kiheshima sana, sijakishuhudia kwa muda mrefu sana Anfield. Jamaa walikuwa so composed.

Ingekuwa timu zenye papara ile game ingeisha mapema.
Atletico nimewatazama sana japo Game ya jana niliicheki kipindi cha kwanza tu.

Ni ukweli usiopingika, Atletico jana alikuwa anatoa draw ya 0-0 ama ya 1-1.

Hakuna mwenye akili timamu angeweza kusema Liverpool anaibuka goli 2-0, 3-1 kwa watu ambao wana nidhamu ktk defenc kama Atletico.

Kule La Liga ni vile tu kwamba wanajuana. Hata zile alizopigwa 3-0 na Juve msimu uliopita ni bahati tu haikuwa yao.

Simeon anajua saaana kuwatuliza vijana wake na kuwaambia wafanye nini. Game zinahitaji utulivu Atletico ni mzuri sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Liver akishinda utaona viingereza vingi vya kusifu uwezo wa wachezaji, yaani utaona uchambuzi na data za kubumba kuonyesha kila mchezaji wa liver ni world class player, wakifungwa sasa ndio utasikia wanasema hawakuwa na bahati. Kiuhalisia liver ni timu ya kawaida sana, imekuwa overrated. Hii timu ilishafikia climax na timu nyingine za Uingereza zikisajili vizuri, Liver itakuwa ni timu ya kawaida tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hii Liver ya sasa sio bora kama ile akina Gerald, Torres, Rise n.k

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pumbavu huu ni mpira habari za ramli mpelekee bibi ako



Mwanangu umeona eeeh

Liver wapo overrated sana

Sema inawachezaji fulani wana split ya hatari

Wanacheza kwa nguvu na upepo ulikuwa upande wao

Wana bahati upepo umegeuka mwishoni mwa ligi otherwise wasingeliona hilo kombe.
Mkuu niliandaka niandike hivi ila nikafuta, huu upepo ungegeuka mapema au katikati ya League hakika kombe wangelisikia tu.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kabisa nilimsubiri kwa hamu sana,

Sisi wengine tunajua huu ni mpira hata kama tukiongelea kiupande hatukomazi shingo,

Kuna wakati mpira huwa unaiendea timu vizuri inakuwa inashinda hata kama ni ya kawaida sana,

Sasa mwamba tulimwambia mpira ule na wale jamaa ni wahuni sana wanakaza mpaka damu na ameona,

Liver timu ya kawaida sema ndo hivyo upepo ulikuwa upande wake.
Liver kule mbele hakuna kitu, labda zile fujo za Sadio Mane kukimbia kimbia, Mane kiwango chake hajaachana na Morrison wa Yanga.

Liver ashukuru amekutana na Atletico ambayo kwa sehemu flani haina visiki kama zamani.

Alikuwepo Milanda na Godin Mkuu, hawa wahuni walishindikana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Liver kule mbele hakuna kitu, labda zile fujo za Sadio Mane kukimbia kimbia, Mane kiwango chake hajaachana na Morrison wa Yanga.

Liver ashukuru amekutana na Atletico ambayo kwa sehemu flani haina visiki kama zamani.

Alikuwepo Milanda na Godin Mkuu, hawa wahuni walishindikana.

Sent using Jamii Forums mobile app
huyu mane ni overrated hana tofauti na balama

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom