Differences And Similarities Between Nyerere And Plato On Philosophy.

Differences And Similarities Between Nyerere And Plato On Philosophy.

Therefore according to Nyerere, a leader doesn’t know everything since he is still depending on others in order to learn.
Aisee kwa anae nyanyua kinywa na kutukana hawa wazee asamehewe, kuna toleo la plato "allegory of the cave" akielezea effects za education aisee ukiweza kunyambua na ukapata maana basi mjadala utakuwa umeisha ,kwa upande wangu mwalimu na plato wanatofautiana sana japo kama ulivyoeleza tofauti zao pia ni chache kwakuwa mwalimu alipita katika maandishi yake na akaamua kufanya kwa aina yake yeye mwenyewe kwa umahiri mkubwa nikiri tuu kuwa mwalimu alikuwa na uwezo mkubwa na kumtukana ni kumvunjia heshima maana hakuna aliyeweza kufanya kama yeye hadi sasa nikiongea hivi lazma tuangalie majira na wakati wa utawala wa mwalimu alifanya kazi kubwa katika elimu kuhakikisha mwanafunzi haishii kusoma tuu lakini afanye kwa vitendo pia hapo pia naona ni idea ya bwana john Dewey ambae anasimamia falsafa ya learn by doing hivyo mwalimu anaonekana kusoma watangulizi ili nae aje na utaratibu wake hivyo sioni kosa lake na ndivyo hata na fidel castro akiwa gerezani alipenda kusoma vitabu kuelewa siri za utawala hivyo ndio maana na sisi tunawasoma hadi leo na ukisikiliza maneno ya mwalimu nyerere anaonekana kama mtabiri wa haya ya leo,waheshimiwe hawa wazee
 
Aisee kwa anae nyanyua kinywa na kutukana hawa wazee asamehewe, kuna toleo la plato "allegory of the cave" akielezea effects za education aisee ukiweza kunyambua na ukapata maana basi mjadala utakuwa umeisha ,kwa upande wangu mwalimu na plato wanatofautiana sana japo kama ulivyoeleza tofauti zao pia ni chache kwakuwa mwalimu alipita katika maandishi yake na akaamua kufanya kwa aina yake yeye mwenyewe kwa umahiri mkubwa nikiri tuu kuwa mwalimu alikuwa na uwezo mkubwa na kumtukana ni kumvunjia heshima maana hakuna aliyeweza kufanya kama yeye hadi sasa nikiongea hivi lazma tuangalie majira na wakati wa utawala wa mwalimu alifanya kazi kubwa katika elimu kuhakikisha mwanafunzi haishii kusoma tuu lakini afanye kwa vitendo pia hapo pia naona ni idea ya bwana john Dewey ambae anasimamia falsafa ya learn by doing hivyo mwalimu anaonekana kusoma watangulizi ili nae aje na utaratibu wake hivyo sioni kosa lake na ndivyo hata na fidel castro akiwa gerezani alipenda kusoma vitabu kuelewa siri za utawala hivyo ndio maana na sisi tunawasoma hadi leo na ukisikiliza maneno ya mwalimu nyerere anaonekana kama mtabiri wa haya ya leo,waheshimiwe hawa wazee
Kweli kabisa mkuu umeeleza vizuri na pia umeeleweka vyema.
 
Alikuwa ni copycat asiyejua anachocopy. Akiona kitu huko nje, hasa China naye anakileta huku. Mambo yote aliyokuwa anafanya kwa miaka 24 yalikuwa ni ya kuiga.
Alituletea ukomunist kisa kujengewa tazara harafu vitoto miaka 25 anatuletea uchurohapa

Jf sikuhizi inatumika tu ilimradi
 
Back
Top Bottom