Digrii, Masters na PhD zote zifutwe tuanzishe mfumo wa elimu unaoendana mazingira yetu

Digrii, Masters na PhD zote zifutwe tuanzishe mfumo wa elimu unaoendana mazingira yetu

Execute

JF-Expert Member
Joined
Sep 21, 2022
Posts
3,000
Reaction score
7,336
Tanzania hakuna madaktari bali watoa dawa, hakuna wahandisi bali watu wa kufanya replacement ya vifaa, hakuna wasanifu bali watu wa kukopi, hakuna wanasiasa bali wachumia tumbo, nk

Hii elimu ya sasa haina manufaa kwetu kwasababu hatuitumii kufanyia uvumbuzi wowote zaidi ya kuagiza bidhaa nchi nyingine. Haiwezekani watu waitwe wabobevu lakini hamna chochote wanachoweza kufanya kwenye maeneo waliyobobea.

Tatizo kubwa ni kwamba huwa hakuna fursa ya kureason wakati tupo masomoni, kila kitu ni kukariri ili kufaulu mitihani. Kile tunachopata shuleni sio elimu bali ni utumwa wa fikra.
 
Tanzania hakuna madaktari bali watoa dawa, hakuna wahandisi bali watu wa kufanya replacement ya vifaa, hakuna wasanifu bali watu wa kukopi, hakuna wanasiasa bali wachumia tumbo, nk

Hii elimu ya sasa haina manufaa kwetu kwasababu hatuitumii kufanyia uvumbuzi wowote zaidi ya kuagiza bidhaa nchi nyingine. Haiwezekani watu waitwe wabobevu lakini hamna chochote wanachoweza kufanya kwenye maeneo waliyobobea.

Tatizo kubwa ni kwamba huwa hakuna fursa ya kureason wakati tupo masomoni, kila kitu ni kukariri ili kufaulu mitihani. Kile tunachopata shuleni sio elimu bali ni utumwa wa fikra.
Subiri ushikwe na tumbo la kuharisha km hujakodi teksi haraka sana kuwahi hospitalini halafu ukifika uanze kuongea hayo maneno kabla hujatibiwa. mijitu mingine sijui mkoje umeshashindilia maharage yako unaanza kuandika maruweruwe. Nenda kalale kwanza halafu urudi kusoma ulichoandika. Shwain hustahili kuishi ktkt hii dunia katafute panapokufaa.
 
Back
Top Bottom