Digrii, Masters na PhD zote zifutwe tuanzishe mfumo wa elimu unaoendana mazingira yetu

Digrii, Masters na PhD zote zifutwe tuanzishe mfumo wa elimu unaoendana mazingira yetu

Wanaosoma Tz wengi ni kipato cha chini au cha kati wasio na hela ya kutafuta elimu bora nje.

Hakuna elimu Tz ni kupoteza tu mda.
Wanasiasa wanasemaga tu mfumo tutaubadilisha halafu inakua imeusha hivo.

Upuuzi mtupu.
 
Kama mawazo haya yataungwa mkono na wengi basi ni bora tuifute kabisa nchi tuanze moja, mikoa mingine ikajiunge Uganda, Kenya, Burundi, Rwanda, Msumbiji, Malawi na Congo
 
Tanzania hakuna madaktari bali watoa dawa, hakuna wahandisi bali watu wa kufanya replacement ya vifaa, hakuna wasanifu bali watu wa kukopi, hakuna wanasiasa bali wachumia tumbo, nk

Hii elimu ya sasa haina manufaa kwetu kwasababu hatuitumii kufanyia uvumbuzi wowote zaidi ya kuagiza bidhaa nchi nyingine. Haiwezekani watu waitwe wabobevu lakini hamna chochote wanachoweza kufanya kwenye maeneo waliyobobea.

Tatizo kubwa ni kwamba huwa hakuna fursa ya kureason wakati tupo masomoni, kila kitu ni kukariri ili kufaulu mitihani. Kile tunachopata shuleni sio elimu bali ni utumwa wa fikra.
Ukiugua huwa unatibiwa na nani?
 
Ukitoa degree, Masters na PhD tutakuwa na nini mbadala?
Tanzania si kisiwa, baadhi ya mambo ni ya kidunia.

Cha kufanya ni kuboresha sera na mitaala yetu ili mtanzania anapokuwa na degree, aweze kutenda na kuwaza globally kama degree holders wa nchi zingine zilizo advanced kuliko sisi.

Mfano:
1. Lugha ya kifundishia iwe English mwanzo mwisho.

2. Contents za mitaala zibadilike, tuache zisizoakisi mahitaji ya dunia ya leo na kuongeza zinazofit.

3. Mtindo wa ufundishaji ubadilike kabisa. Madarasa yajae models za kujifunzia. Kwanza tuwe na practical lesson plans za kitaifa. Walimu waandae resources na kufuata plans hizo tu.

4. Assessment za kumtoa mtu level Moja kwenda nyingine ibadilike kabisa.
Tunahitaji system ya kuhifadhi continuous assessment za kazi za watoto huko mashuleni badala ya kungoja 'national exam'.

Mambo ni mengi.
 
Tanzania hakuna madaktari bali watoa dawa, hakuna wahandisi bali watu wa kufanya replacement ya vifaa, hakuna wasanifu bali watu wa kukopi, hakuna wanasiasa bali wachumia tumbo, nk

Hii elimu ya sasa haina manufaa kwetu kwasababu hatuitumii kufanyia uvumbuzi wowote zaidi ya kuagiza bidhaa nchi nyingine. Haiwezekani watu waitwe wabobevu lakini hamna chochote wanachoweza kufanya kwenye maeneo waliyobobea.

Tatizo kubwa ni kwamba huwa hakuna fursa ya kureason wakati tupo masomoni, kila kitu ni kukariri ili kufaulu mitihani. Kile tunachopata shuleni sio elimu bali ni utumwa wa fikra.
Hapana mkuu, hizo ngazi za elimu ziendelee kuwepo, humohumo tutapata wataalamu wa ukweli. Hata ukipanda mbegu shambani, usitegemee mazao yote yatakuwa na ubora ulio sawa; lazima yatatofautiana. Mbona tumeona wataalamu waliobuni (design) mambio makubwa katika taifa letu? Angalia daraja la juu la Mfugale! Wapo kweli baadhi wanakariri, lakini hiyo isiwe kigezo cha kusitisha ngazi hizo za elimu ulizotaja. Lichukulie hili kama katika msafara wa mamba na kenge nao wamo!
 
Tanzania hakuna madaktari bali watoa dawa, hakuna wahandisi bali watu wa kufanya replacement ya vifaa, hakuna wasanifu bali watu wa kukopi, hakuna wanasiasa bali wachumia tumbo, nk

Hii elimu ya sasa haina manufaa kwetu kwasababu hatuitumii kufanyia uvumbuzi wowote zaidi ya kuagiza bidhaa nchi nyingine. Haiwezekani watu waitwe wabobevu lakini hamna chochote wanachoweza kufanya kwenye maeneo waliyobobea.

Tatizo kubwa ni kwamba huwa hakuna fursa ya kureason wakati tupo masomoni, kila kitu ni kukariri ili kufaulu mitihani. Kile tunachopata shuleni sio elimu bali ni utumwa wa fikra.

Una maana hata PhD ya madam nayo ikwende na maji?
 
Tanzania hakuna madaktari bali watoa dawa, hakuna wahandisi bali watu wa kufanya replacement ya vifaa, hakuna wasanifu bali watu wa kukopi, hakuna wanasiasa bali wachumia tumbo, nk

Hii elimu ya sasa haina manufaa kwetu kwasababu hatuitumii kufanyia uvumbuzi wowote zaidi ya kuagiza bidhaa nchi nyingine. Haiwezekani watu waitwe wabobevu lakini hamna chochote wanachoweza kufanya kwenye maeneo waliyobobea.

Tatizo kubwa ni kwamba huwa hakuna fursa ya kureason wakati tupo masomoni, kila kitu ni kukariri ili kufaulu mitihani. Kile tunachopata shuleni sio elimu bali ni utumwa wa fikra.
Tukiacha mtaala wa kikoloni sasa hivi tutarudi karne ya 18. Unajua tulipaswa kuwaacha wazungu watawale hadi 2050 huku tukijichanganya nao na kijifunza kwao kila jambo jema.
 
Back
Top Bottom