Manyanza
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 16,464
- 35,629
mkarimani feki dm MeSafi, hi ndo kitu Ina takiwa.
👉Kama Yuko eneo lako, muite site aji funze kwa muda
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mkarimani feki dm MeSafi, hi ndo kitu Ina takiwa.
👉Kama Yuko eneo lako, muite site aji funze kwa muda
KaribuNdugu manyanza nije pia mkuu?
Hujampa dili bali storiTulia nikupe Dili la jamaa mmoja askari mkoa Fulani hapa Tanzania.
Dili likuwa hivi, kuna Kijiji Fulani katika huo mkoa kuna wafugaji wa Ngo'mbe sasa siku moja kukawa kuna Ngo'mbe wengi sana wameibiwa nadhani mnafahamu jamii za wafugaji.
Zile Ngo'mbe ziliibiwa maana jamii za wafugaji Huwa wana hizi tabia za kuibiana, basi ikapigwa simu kituo cha polisi Kijiji Fulani kuna wizi ya mifugo mingi , basi mapoti wakatoka kama sita na difenda mpaka uhuuuuu mpaka hapo kwenye Icho kijiji.
Basi polisi wale ikabidi waanze msako maana jamaa aliyebiwa mifugo ni msukuma na ana Ngo'mbe mpaka anasahau, basi wale mapoti waliendelea kutafuta mpaka Giza linaingia kwenye wengi lazima wapo wanaopata tamaa ndio kilitokea.
Wengine wakasema turudini hapa hakuna dalili halafu ni porini vbaya, wakasema nyinyi nendeni basi katika watu sita wakabaki watatu wale wenzao walikuja kuchukuliwa na bodaboda wao wakabaki na difenda.
Tafuta sana usiku kabsa wakawaona hao wajamaa walikuwa wamanga'ti wakawakamata.
Baada ya kuwakamata kuwabana wakasema sisi tunatumwa na boss wetu wakasema twendeni mmoja akasema unaweza ukaongea na boss ukavutwa waya boss akapokea, jamaa akasema boss tumekamatwa.
Boss akajibu shida nn hapo maliza kesi hiyo, akasema hawataki akasema nipe simu boss akapokea akasema mnataka shngap mapoti wakaanza kupanic ww unataka kutuonga boss hakuongea sana akasema kuna milioni200 hapa nataka tumalize jambo hilo daah kusikia vile wakaangaliana wakasema hata tufanye mpaka tuzeeke hatuipati.
Basi deal done likafanyika pale, makubaliano Jinsi ya pesa zao kuzipata.baada ya kutoka kule wakapanga wakisema tukifika tutasema tumewakosa.
Walivyorudi wakasema hivyo.
Huyo jamaa hapo katika mkoa wake amejenga hostel za watoto wa chuo, ana mabiashara ya Huduma za fedha mjini hapo kila sehemu. kutoka katika ile milion200
Alifanya miaka 3 mbele baadae akasema sababu za afya akaacha kazi huku usimamizi akiwapa watu ili wasimtilie shaka,
Ajabu zaidi katika hao watatu peke yake ndio katoboa wengine zile pesa ziliisha kwenye vikojoleo vya wanawake na pombe
Asante mkuuComment bora ya uzi huu, safi sana.
Mkuu hali ngum askwambie mtuSio kirahisi hivyo.
Nalipata sana Hilo..... Cheki bariadi bado Kuna gapes kuleNina miaka 2 nimetoka kule ...
Ila kuna Chimbo jipya limetema pale Singida, Changamoto ni kuwa tayari Mwekezaji amepewa Vibali kuanza kuchimba.
Kwahiyo sisi wachimbaji wadogo itakuwa vigumu kupenya
Kawaida tu hilo dili alinipasia tu ili tupige hela ila nikamtolea nje, Ila wanawachukua watu wanawapa hilo dili ukiona vijana mapastor wanaochipukia km michicha jua nyuma yao kuna hao wafadhiri wa kidini wanakupa mtaji unauza maneno ya biblia mnaingiza PesaHuyo bi mkubwa saizi maisha yake yapoje
Mimi baada ya kupata kazi ndo nikatusua inshort elimu ndo imenisaidiaNjia zetu za kutusua ni kuolewa.... 😂 😂 mi nilivyoolewa tuu nikatusua...
hahahaaNje ya ufiasadi hakuna dili utatoboa
ok chief
Connection ni kumjua Mganga wake tu!MWIJAKU ATUSAIDIE KUTUPA CONNECTION.
Mwijaku bloanguKama nani?
Pm yako closed bossmkarimani feki uko pande zipi?
Dili za akili zipo kinachotakiwa ni utulivu na uvumilivu
Hii biashara inatoa sana.Biashara ya ngozi, kupelekea kenya ilikuwa miaka ya 74. Tukio baya nalokumbuka katika harakati hizo ni kuua askari wa doria mimi na wenzangu.
Sio kweliPm yako closed boss
Mimi ni jobless pro max [emoji3], ma shangazi zako kina Joannah na Tayana-wog Wana jua[emoji1787][emoji23][emoji3][emoji855]
We acha tu... wanawake weupe wenye nywele za singasinga na macho ya mahaba wana nafasi special moyoni mwangu na peponi.Wanaume tunapata tabu sana ...nimecheka balaa mkuu...
Kwamba wenge zitasepa zenyewe ukimwona tu na huku wallet inanesanesa kwa madaha 😂