Dili gani ulipiga likakutoa kimaisha na sisi wengine tujifunze

Halafu mbona humu humu JF kuna dili kibao lakini Watu wameendekeza sana kukaa MMU na Chitchat matokeo yake mnaishia kuwa na depression tu.

Piteni na Majukwaa ya Hoja na Habari Mchanganyiko. Jukwaa la Biashara.

Mafanikio sio lelemama nakumbuka hata hii JF ilikuwa sometimes ipo offline bila hata Maxence Melo kujua mpaka watu wamshitue kwa kumpigia simu 😂😂😂
 
Hujampa dili bali stori
 
Biashara ya ngozi, kupelekea kenya ilikuwa miaka ya 74. Tukio baya nalokumbuka katika harakati hizo ni kuua askari wa doria mimi na wenzangu.
Hii biashara inatoa sana.

Mwaka 2013 kuna mtu nlimpa mchongo wake.

Zilikua zinatakiwa ngozi za mbuzi.

Wanunuaji ni wakenya.

Ngozi moja mtaani ni elfu moja mpaka elfu moja na mia tano.

Wao wananunua ngozi moja elfu tano.

Jamaa alikuwa anakusanya mpaka ngozi elfu moja.

Sijajua siku hizi kama wanaendelea au laa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…