Dili la Diamond Platinumz na Warmer Music Group ni dhahiri kuwa big thing is coming

Kalale inaonekana unamjua sana kuliko hata yeye mwenyewe diamond platinumz Ni RICH na ana nyumba more than 150 endelea kukaza fuvu
 
DJ Khaled ni nigga. Kuwa nigga siyo lazima uwe mweusi.

Leta hapa show offs za Justin Bieber ( hasa kupitia nyimbo zake au maisha yake )
Show off kwa msanii is a brand and a big deal so diamond platinumz Ni genius
 
Yaani nimeangalia post zake yaani anaandika kiushabiki(ni kama zile post za instagram) wakati hii ni jf kiufupi sielewi udaku,uchambuzi ama nini nina uhakika mwenye uzi huu ataukimbia mda si mrefu
Kalale endelea kukaza fuvu [emoji23][emoji119][emoji125]
 
Diamond platinumz Ni CEO(CHIEF EXECUTIVE OFFICER)
 
DIAMOND PLATINUMZ NI G. O. A. T
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…