Mac Bully 001
JF-Expert Member
- Jun 26, 2012
- 6,537
- 13,004
Hizo ni mbwembwe za kisela sio mbwembwe za kufokea wengine. Atumie pesa imzoeeWest A ipi? wakati Davido alimzawadia mwanae wa miaka 5 zawadi ya Gari kwenye birthday yake, sasa mtoto wa miaka 5 na Gari wapi na wapi!! Hizi pia ni mbwembwe sema mmekuwa wavivu kufatilia
Ahahahahahaha unapenda kuhamisha sana magori, hakuna usela kwenye pesa, anaonyesha Jeuri ya pesa ili wanaomfatilia wajue, kufokea muhimu ndio maana mzee Mengi alifokewa na Manji, akataka alipwe shilingi sio mamilioniHizo ni mbwembwe za kisela sio mbwembwe za kufokea wengine. Atumie pesa imzoee
Diamond Teja?
Habarini Wana JamiiForums.
Taarifa nzuri kwa WCB Fans pamoja na tasinia ya Muziki wa BONGO FLAVOR Ni dhahiri shauri kuwa diamond and ALBUM Yake itakuwa Ni ya kukata na shoka na hii inaweza ndio ikawa ALBUM ya kwanza kutuletea GRAMMY AWARD.
Maana WARMER MUSIC GROUP Ni kampuni kubwa ya usambazaji wa kazi za wasanii ulimwenguni na hii inaonyesha kuwa kutakuwa na nawe ya wamarekani Kama yote.
ALBUM itakuwa Ni ya kwenda na kuwafikia watu wengi kwa mda mchache kudos kwa WCB na wadau wote waownda Muziki mzuri.
BONGO FLAVOR TO THE WORLD.
😂 😂 😂Ahahahahahaha unapenda kuhamisha sana magori, hakuna usela kwenye pesa, anaonyesha Jeuri ya pesa ili wanaomfatilia wajue, kufokea muhimu ndio maana mzee Mengi alifokewa na Manji, akataka alipwe shilingi sio mamilioni
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Domokaya kachafukwa hivi lol.Mbna Kama Kapanic [emoji2][emoji2][emoji2]... Kwamba Tuachane na Forbes Ila Tumgugo Ili Tupate Taarifa Za Utajiri Wake [emoji2][emoji2]View attachment 1789549
Sasa bakhresa unamlinganisha na billionaire DIAMOND PLATINUMZ [emoji848][emoji848][emoji848]Ndio mana bakhresa ndio tajiri wa ukweli, hajawahi kulialia kama kuku kuomba kuandikwa forbes kama nasibu nyange
Endelea kukaza fuvu [emoji23][emoji119]Umemaliza !! Tatizo elimu mkuu..sisi wabongo chawa tukishaoneshwa warner sijui werner na mapichapicha instagram basi tunaona bonge la dili la mapesa mengi kwahio hata tunayemfanyia kazi ya uchawa asipoandikwa forbes tunakuja kulialia mitandaoni
Kama Kanye Ni wazimu basi Diamond platinumz Ni kichaa wa kutupwa Diamond platinumz Ni [emoji383][emoji383][emoji383][emoji383][emoji383][emoji383][emoji383][emoji383][emoji383][emoji383][emoji383][emoji383][emoji383][emoji383][emoji383][emoji383][emoji383][emoji383][emoji383][emoji383]Hangelia nakwambia, watu wenye hela zao za maana hawana time ya kijinga ka hiyo ya kupiga kelele zisizo na faida kwake. Kanye West anawazimu, Mondi asijilinganishe na yule, ni zaidi ya WCB [emoji23][emoji23] [emoji23]
Diamond platinumz mwenyewe kashavuka wao ndio wanafuata[emoji23]Haya bhana, bakini na Mondi wenyu na visenti vyake, wenzake West A wanavuka anga za juu bila mbwembwe! [emoji1787]
Basi wewe Ni tripple shoga[emoji125][emoji125][emoji125]Diamond na mashoga ni the same
Diamond platinumz Ni genius and [emoji383][emoji383][emoji383][emoji383][emoji383]Hizo ni mbwembwe za kisela sio mbwembwe za kufokea wengine. Atumie pesa imzoee
Wewe labdaDiamond Teja?
Ati Genius, wee nawe wacha matani sasa! 🤣 🤣 🤣Diamond platinumz Ni genius and [emoji383][emoji383][emoji383][emoji383][emoji383]
Mondi bado mchanga... Hela kidogo inamsumbua.. 😂Diamond platinumz mwenyewe kashavuka wao ndio wanafuata[emoji23]
Hamna lolote pale! Kabaneni pua pamoja! 🤣Kama Kanye Ni wazimu basi Diamond platinumz Ni kichaa wa kutupwa Diamond platinumz Ni [emoji383][emoji383][emoji383][emoji383][emoji383][emoji383][emoji383][emoji383][emoji383][emoji383][emoji383][emoji383][emoji383][emoji383][emoji383][emoji383][emoji383][emoji383][emoji383][emoji383]
Unajua maana ya genius...?Ati Genius, wee nawe wacha matani sasa! [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787]
Kwako labdaMondi bado mchanga... Hela kidogo inamsumbua.. [emoji23]
Najua unamkubali sanaHamna lolote pale! Kabaneni pua pamoja! [emoji1787]
Hivi wee uko timamu? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sasa bakhresa unamlinganisha na billionaire DIAMOND PLATINUMZ [emoji848][emoji848][emoji848]