Mashamba Makubwa Nalima
JF-Expert Member
- Mar 19, 2024
- 4,978
- 2,411
Ipi sasa - ya domo na ndubwi?Huu mwaka utaondoka na wengi watakao kaidi movements.
Matatizo ya akili hayataisha leo wala keshoUzi tayari?!?
Yeah uzi tayari
ramli za mwaka 2024, kuvuka nazo hadi mwaka mpya 2025 ni ushirikina wa kutumwa sana dah!πHuu mwaka utaondoka na wengi watakao kaidi movements.
Defender unahaha kila Kona kulinda Tawala ya Visiwani.ramli za mwaka 2024, kuvuka nazo hadi mwaka mpya 2025 ni ushirikina wa kutumwa sana dah!π
naona huachani na ushirikiana gentleman πDefender unahaha kila Kona kulinda Tawala ya Visiwani.
Uchawi unalelewa Lumumba hili halina Siri kijana.naona huachani na ushirikiana gentleman π
Gentleman,Uchawi unalelewa Lumumba hili halina Siri kijana.
Nipo Minduke navizia korosho za watu niwarangue.Gentleman,
umesharudi mjini lakini au bado upo magambani kaole bagamoyo π
Ohh,Nipo Minduke navizia korosho za watu niwarangue.
Ohh,
kumbe umeshamaliza mambo ya kuvalishwa kaniki ee?
usikate tamaa bana kusafisha nyota na biashara ya ulanguzi ni ndugu π
ati nini π
Dar imezidi kutokana na makelele !Matatizo ya akili hayataisha leo wala kesho
MAMA SAMIA BOMAYEEDefender unahaha kila Kona kulinda Tawala ya Visiwani.