Dili la Simba kumng'oa Max Nzengeli lagonga mwamba

Simba ii ya kumsajili Max? Simba ya MO sasa hivi lengo lao kubwa ni kumng'oa Mangungu kwenye uongozi. Wako tayari Simba ifungwe goli 10 watafurahi ikia ndiyo suluhisho la kumwondoa Mangungu. Hawana uchungu walaa huzuni kufungwa magoli mengi. Ndio maana makocha wote Simba walioo ngea nao MO alikataa kujifunga kuwa atawalipa mshahara. Halafu leo wanaokuja hao hao kusema eti Simba inataka kumsajili Max. Kina MO wafahamu wanaweza kuwadanganya wanasimba wote kwa kipindi kidogo tu lakini itafika muda wanasimba watamshtukia na watafanya ya kwao
 
Hatari sana
 
Wale wachezaji wa yanga wapo pale Kama familia na hapo apongezwe Injinia jinsi alivyotengeneza huo muunganiko .
Kuna maelewano makubwa kati ya wachezaji, viongozi , mfadhili na zaidi Mpaka familia za wachezaji na timu walikotoka kuna mawasiliano na Viongozi .
 
Kuna watu walisema ...Yanga wameleta wacongo kwaajili ya dance[emoji23]
 
Kuna watu walisema ...Yanga wameleta wacongo kwaajili ya dance[emoji23]
Matokeo ya kejeli ni kilio .
Nimeipata hii habari Kwenye mtandao .

Maxi anataka kuwa kama mayele au Nonda .

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…