Tatizo ni kwamba waatu wanahisi watapata ela kirahisi halafu wanakata tamaa na pia hawako tayari kuinvest muda wao. Pia wengine wanabid ili mradi kubid hata vitu wasivyo vifahamu mwisho anaharibu kazi ya client.Kibongo bongo sijawahi kusikia but keep trying, itafika siku utapata tu!! Muhimu ni kuzingatia huku duniani watu wanatafuta kazi kwa mwaka mzima na hawapati lakini wanaendelea kutuma maombi badala ya kukata tamaa. Problem la online jobs, watu huwa wanakata tamaa mapema huku wakisahau online jobs na kwenye traditional jobs kote kunahitaji uvumilivu!
Mkuu ulishawahi kuwidthdraw pesa tangu ujiungeHii issue saivi ndiyo ya kweli na rahisi
Link iyoo, kama unaweza register piga Kazi sina haja ya kuweka screen shot ya account yangu, kama huamini pia unaweza kuacha maana kipato ni Kwa ajili yako
Viewing payed advertising sites yudmoney.xyz - Welcome!
Nashukuru sana mkuuKibongo bongo sijawahi kusikia but keep trying, itafika siku utapata tu!! Muhimu ni kuzingatia huku duniani watu wanatafuta kazi kwa mwaka mzima na hawapati lakini wanaendelea kutuma maombi badala ya kukata tamaa. Problem la online jobs, watu huwa wanakata tamaa mapema huku wakisahau online jobs na kwenye traditional jobs kote kunahitaji uvumilivu!
Mkuu tupe maujanja zaidi Basi, inafanyaje kazi n.kHii issue saivi ndiyo ya kweli na rahisi
Link iyoo, kama unaweza register piga Kazi sina haja ya kuweka screen shot ya account yangu, kama huamini pia unaweza kuacha maana kipato ni Kwa ajili yako
Viewing payed advertising sites yudmoney.xyz - Welcome!
Kazi za kihasibu na weza pata pia kuhusu location inakuwa vpUpwork iko so professional ni sehemu isiyokuwa na matapeli kabisa siyo kama freelancer
Me ni accountant naweza pata kazi hapoHakuna kazi unayoweza ku-apply bila connect. Sijaingia Freelancer.com muda mrefu kidogo lakini kama utaratibu wao ndio ule ule wa zamani, binafsi sioni tofauti kubwakati ya Upwork wanaouza Connect na Freelancer ambao hawauzi. Kumbuka Freelancer.com application zinajipanga kutokana na 1. Reputation ya Applicants 2. Paid Application. Maana yake ni kwamba, kama kazi imetangazwa sasa na wewe New Comer ukaanza ku-apply, Application yako itakuwa juu kabisa! Akija new applicant, hata kama hana Star hata moja lakini ana muda mrefu Freelancer.com kuliko wewe, hapo atakaa juu yako na wewe utakuwa chini yake! Kama applicant wa 3 ana Star 1, atawashusha wote wawili na yeye atakuwa juu, wewe new comer application yako itakuwa ya 3. The process goes on!
Sasa assume kuna 50 applicants, na wote hao wamekuzidi reputation in terms of Stars na Ukongwe! Hapo application yako itakuwa down to 50th position. Now ask yourself. Ni Client gani atakayeacha applications ya kwanza hadi ya 49 aje kuichukua yako ya 50?! Sisemi haiwezekani lakini chance ya Client kuziacha application za juu kuifuata ya kwako iliyo chini ni ndogo sana! Na hapo usisahau application zinazokuwa juu zinakuwa ni zile zenye Top Ratings.
Sasa ukiona mbona application yako ipo chini sana wakati ungetemani iwe juu juu ili hatimae Client aweze kuiona kwa wepesi; utakachofanya hapo utatakiwa ulipie ili ipandishwe juu! Na hapa usisahau, wakati wewe New Comer unalipia ili application yako iwe juu, mwenzako mwenye Star 1 nae analipia ili nae application yake iwe juu! Mwenye Star 2 nae analipia ili application yake ipandishwe juu! Sasa kama nyote mmelipa amount sawa; hapa tena applcation ya mwenye Star 2 itakuwa juu ya yule mwenye Star 1 ndipo itafuta ya kwako! Na hapo sio kwamba labda mtapanda hadi nafasi 3 za juu kabisa, HAPANA kwa sababu there's no way mnaweza kuzishusha zile zenye Reputation kubwa zaidi ambazo hata kama walichelewa ku-apply, application zao zitapanda juu na kuonekana kirahisi zaidi na Client! Unachoweza kupata hapo labda application yako kupanda hadi position #10 Depending na Top Ranking Freelancers wangapi wame-apply!
Upwork ujinga huo haupo. Ukiwahi wa kwanza kutuma application basi application yako itaendelea kuwa #1 hata kama kuna Top Rated Freelancers 100, each with 100% Rating, hawa wote watakuwa chini yako! Na asikudanganye mtu, ina-matter sana application yako kuwa juu! Binafsi ingawaje Rating ni 100%, siwezi ku-apply kazi ambayo naona tayari kuna, say 20 Applicants kwa sababu pamoja na kuwa Top Rated, bado application yangu itakuwa #21. Na kama Client anatafuta mtu mmoja tu, basi chance yako hapo ni ndogo sana!!
Na pia usisahau! Pale Freelancer kulikuwa na ujinga wa kulipia test ili kuongeza chance! Kuna Clients wengine unakuta wanaweka wazi kwamba applicants awe amefanya, say, American English so and so! Ili kufanya hiyo test, ni lazima ulipie! Hapa tena, UPwork hawana huo ujinga.
So, kama Freelancer.com bado hawajaacha huo mchezo wa kulipia nafasi ya juu, na wale wenye Reputation Kubwa Zaidi automatically applicationzao kuwa juu hata kama wamechelewa ku-apply; basi ni afadhali ya Upwork ambako unalipia Connect unless kama una skills ambazo majority hawana! Kwa mfano, kama wewe ni Nuclear Scientist, I guess hapo Freelancer hapawezi kuwa na Nuclear Scientists wengi! Kwahiyo ikitokea opportunity kama hiyo, si ajabu total number of applicants mkawa watatu tu!!!!
Yah hasa personal assistant naona sana wanatafuta watu wenye knowledge ya accountant ila uwe na knowledge ya ziada wengi wanakuwa na ma online shopshuko ali express, na platform nyingineKazi za kihasibu na weza pata pia kuhusu location inakuwa vp
Upo sahihi kwa 800%Tatizo ni kwamba waatu wanahisi watapata ela kirahisi halafu wanakata tamaa na pia hawako tayari kuinvest muda wao. Pia wengine wanabid ili mradi kubid hata vitu wasivyo vifahamu mwisho anaharibu kazi ya client.
Of course, ukiwa na professional qualifications unapata kazi bora zaidi, lakini kama huna professional qualifications inakuwa vizuri ukizifahamu some accounting software hususani Quickbooks & Xero manake hapa ukikosa kazi za accounting zinazo-demand professional qualifications, unaweza kufanya hata za Bookkeeping or kazi za accounting zisizo-demand professional qualifications.Me ni accountant naweza pata kazi hapo
Sawa mkuuYah hasa personal assistant naona sana wanatafuta watu wenye knowledge ya accountant ila uwe na knowledge ya ziada wengi wanakuwa na ma online shopshuko ali express, na platform nyingine
Ngoja niangalie namna ya kujiunga nikikwama sehem naomba ushirikianoOf course, ukiwa na professional qualifications unapata kazi bora zaidi, lakini kama huna professional qualifications inakuwa vizuri ukizifahamu some accounting software hususani Quickbooks & Xero manake hapa ukikosa kazi za accounting zinazo-demand professional qualifications, unaweza kufanya hata za Bookkeeping or kazi za accounting zisizo-demand professional qualifications.
Bro sorry mbina appy hii haipo playstoreWenye premise leo kuna kazi zaidi ya 100View attachment 984663