Dillemma!

Maandishi ya wenye ulemavu wa macho
Shurti yanasomwa kwa vidole au miguu!
Kaizer nakudai smooch ujueee

Aisee we ticha wa my swity wewe....itabidi na mimi nijiandikishe nisome
 
Last edited by a moderator:
mmmh...yaonesha jamaa anasugua mbaayaaa!! Hadi umejisahau bestie, lol!!

no jamani sasa hivi najikuta namchukiaaaaa so hata sisikii raha..now i have tuned my mind over him negatively na soon ntakamilisha my mission..
 
no jamani sasa hivi najikuta namchukiaaaaa so hata sisikii raha..now i have tuned my mind over him negatively na soon ntakamilisha my mission..

Hata ukiachana nae kuwa makini vinginevyo waweza kumfanya mchepuko hata ukiolewa na mwingine
 
Hata ukiachana nae kuwa makini vinginevyo waweza kumfanya mchepuko hata ukiolewa na mwingine

mamaaaaaah!!.. siku hizi risasi tsh elfu 20 tu..asee naweza kufupisha maisha bila mungu kupenda..
 
Am not sleeping now...lol

Inamana ulikesha au ile mida huko ilikuwa mchana ????!! even if ulikesha ulikesha usiku ukiwa mwema hamkuvamiva na jambazis, hakukuwa na vurugu yoyote, hamkuwangiwa na wachawi teh good morning... utasema hujaamka bado!!
 
Inamana ulikesha au ile mida huko ilikuwa mchana ????!! even if ulikesha ulikesha usiku ukiwa mwema hamkuvamiva na jambazis, hakukuwa na vurugu yoyote, hamkuwangiwa na wachawi teh good morning... utasema hujaamka bado!!

nimeamka mahondaw...haya mrejesho wa leo vipi baby ako mmerudiana?
 
Last edited by a moderator:
You sound like a sex addict...are you?

hah hah not that much jamani sema ananijulia vizuri tu but nowdays automatic i hate him so raha itapotea soon... na nitaweza kumuacha tu..
 
nimeamka mahondaw...haya mrejesho wa leo vipi baby ako mmerudiana?

hah hah bado sijawa na strength ya kumuacha ghafla asee namlia timing.... jana mchana si tulikorofishana banah akasusa hatujaongea akasepa kutembea hukooo anakojua mwenyew mpaka usiku mi nkalala zangu mapemaaa.. lol kushtuka usiku mtu tayari yuko juu yangu dah... kazi ipo.
 
Last edited by a moderator:

Aisee we binti umenifanya niangue kicheko mbele ya watu....
 
Kama unanisema vileeee ! Ila daaaah Poa Mi sina miaka 35

tihi tihii pole waego japo sina imani kama nawewe ni mkorof kama hili kurubembe langu lisilojitambua...
 
Aisee we binti umenifanya niangue kicheko mbele ya watu....

cheka zako mwaya unune una(...)siriaz unaeza zani ni utani but its reality.. leo asubuhi sasa yaleyaleeee kaamka kajiandaa vizuri sasa shati alilotaka kuvaa kakuta katikati lina mstari wa kamba umeweka alama katikati kumbe nilivoanika kamba ilikua chafu sikuifuta ndo nianike weeh ameanza kurap tangu asubuhi wakati hata baadhi ya nguo zangu nyeupe nazo zina alama.. yani leo ndani hapatoshi.. hapa hayupo napumua.
 

Hahaha...sinuni mimi yan mwanaume huyo anaonekana ana gubu haswaaa
 
Unaona sasa? Mi nisingeweza hiyo summary. Ningejikanyaga weee mwisho wa siku ungetoka kapa

haa hah haaaaaaaa atleast asubuhi hii umenifanya nicheke lol nilikua sijaiona hii komenti tuhu tuhu tuhuuuuu!!
 
Hahaha...sinuni mimi yan mwanaume huyo anaonekana ana gubu haswaaa

wee acha tu waliosema ndugu wa mume wana gubu hawakukosea.. naona huyu gubu limeanzia kwake sipati picha nduguze wakoje..tatizo kapanic na maisha.. juz tulienda kutembelea marafik zake kama 2 hivi yani wana maendeleo balaa mara wanakwambia hii nyumba nimepangisha ile ndio yakuishi mimi, hili ndo gari langu, na miradi mingine kibao.. sasa kuona wenzake amepanic anapanga mipango 100 utekelezaji ziroo!
 
Hata hiyo ya kitandani ni ya muda fulani tu. Siyo kwamba atakufanya hivyo maishani.

Kuna vicheche kibao vinamvizia na siku wakimtia mikononi utabaki unalia na moyo wako.
 
Hata hiyo ya kitandani ni ya muda fulani tu. Siyo kwamba atakufanya hivyo maishani.

Kuna vicheche kibao vinamvizia na siku wakimtia mikononi utabaki unalia na moyo wako.

huyu atabaki kuwa wa hivo hivo tu.. sasa hivi akitaka kwenda na aende kwa amani tu..ila najua pa kumkamatia na asifurukute
 
Ila Mahondaw huyo mwanaume hana zuri hata Moja zaidi ya kugegeda?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…