Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hah hah bado sijawa na strength ya kumuacha ghafla asee namlia timing.... jana mchana si tulikorofishana banah akasusa hatujaongea akasepa kutembea hukooo anakojua mwenyew mpaka usiku mi nkalala zangu mapemaaa.. lol kushtuka usiku mtu tayari yuko juu yangu dah... kazi ipo.
Hata ukiachana nae kuwa makini vinginevyo waweza kumfanya mchepuko hata ukiolewa na mwingine
cheka zako mwaya unune una(...)siriaz unaeza zani ni utani but its reality.. leo asubuhi sasa yaleyaleeee kaamka kajiandaa vizuri sasa shati alilotaka kuvaa kakuta katikati lina mstari wa kamba umeweka alama katikati kumbe nilivoanika kamba ilikua chafu sikuifuta ndo nianike weeh ameanza kurap tangu asubuhi wakati hata baadhi ya nguo zangu nyeupe nazo zina alama.. yani leo ndani hapatoshi.. hapa hayupo napumua.
Una mchepuko??
Sina.....unataka uwe wewe?
uko njia kuu??
Au hata njia hujatengeneza??
..serious questions need precise answers..shaurilo!!
By kind or cash.
Aisee...sina njia kuu kabisaa hata wazo labda litakuja uki-propose wewe
not realy..because I was upset with lots of things in my mind.
...mmmmh..
Mbona unaguna tena au unataka kuninyima fursaa...
..nilikupa ukakataa...
asante sana ndugu.. ndo taratiiiibu nafanya plan A na B zote kwa pamoja bila kujali matokeo yatakuaje..!!