Dillemma!

Dillemma!

hah hah bado sijawa na strength ya kumuacha ghafla asee namlia timing.... jana mchana si tulikorofishana banah akasusa hatujaongea akasepa kutembea hukooo anakojua mwenyew mpaka usiku mi nkalala zangu mapemaaa.. lol kushtuka usiku mtu tayari yuko juu yangu dah... kazi ipo.

And u enjoyed?🙄🙄
 
cheka zako mwaya unune una(...)siriaz unaeza zani ni utani but its reality.. leo asubuhi sasa yaleyaleeee kaamka kajiandaa vizuri sasa shati alilotaka kuvaa kakuta katikati lina mstari wa kamba umeweka alama katikati kumbe nilivoanika kamba ilikua chafu sikuifuta ndo nianike weeh ameanza kurap tangu asubuhi wakati hata baadhi ya nguo zangu nyeupe nazo zina alama.. yani leo ndani hapatoshi.. hapa hayupo napumua.

Sasa hayo nayo yanashindwa kumpa challenge japo kidogo? Anaonekana last born kwao
 
Usijaribu kuingia katka ndoa na mtu ambaye hakupi amani kumbuka maisha yako yote yaliyobaki utakuwa naye.mueleweshe taratibu hasara ya tabia zake hawezi kubadilika kistaarabu kabisa chomoka otherwise kama unaona UTAWEZA KUMVUMILIA just go ahead!! Nahisi kuna wanaume na wanawake wasoweza kuishi na wenzao .jiulize kwanini alirudishiwa mahari kwa hao waliokutangulia?we utamuweza??kama ushashtuka now jitoe mazima!!
 
uko njia kuu??
Au hata njia hujatengeneza??
..serious questions need precise answers..shaurilo!!

Aisee...sina njia kuu kabisaa hata wazo labda litakuja uki-propose wewe
 
Back
Top Bottom