Joseverest
JF-Expert Member
- Sep 25, 2013
- 52,812
- 71,392
Samahani kwa swali lakini... Hii ilikuwa kwa shemela wetu wa sasa hivi au ni mwingine....?hah hah haa haloooooooooooo ooooooooo! the 1st thing i wana do is to stay away from him..because nipo kwake kama wik 3 sasa now i wana go back to my place then other things will follow!! tangu majuz nimechange kidogo mpaka anajishtukia mwenyewe mi sina habari najifanya kama sijui vile.
hahaha mkuu naona kila uchao unafukua makaburi rubyPole sana... Maamuzi ya mwisho yalikuwaje maana wengine wangependa kujifunza kutoka kwako kwa situation uliyopitia
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe mi mchocheziSamahani kwa swali lakini... Hii ilikuwa kwa shemela wetu wa sasa hivi au ni mwingine....?
Sent from my Apple iPhone 5s using JamiiForums Auto-reply Mobile app
sio mchochezi nimeuliza tu kiroho safiWewe mi mchochezi
Mmmh wewe zoa zoa kweli mizoga iliyowashinda wenzako wewe ndiyo unabebaga..atakufa.. juz kati nilimwambia anipe muda zaidi akalia kama mtoto na ni mtu mzima tu kanizidi miaka 10 tatizo amepanic na mahusiano yaani historia yake alishawahi kurudishiwa mahari mara mbili i mean wasichana wawili tofaut tofaut ndio mana mimi nlivomwambia anipe muda zaidi alilia kama mtoto akarecall nyuma..but but..no..no!
Ha ha hahicho tu.. hakuna kingine.. yaani kuna wakati naamua kutaka kumuacha kabsaaa lakini yeye akiniambia tuachane nalia kwa uchungu sana na kumuomba msamaha wakati katika other life aspects sifurahii kabsaa na hilo suala linanikosesha amani ya maisha
Wewe hatari kwa hiyo ulishawahi kuishi na mwanaume ndani kinyumba? Nuksi utaolewa kweli?hah hah bado sijawa na strength ya kumuacha ghafla asee namlia timing.... jana mchana si tulikorofishana banah akasusa hatujaongea akasepa kutembea hukooo anakojua mwenyew mpaka usiku mi nkalala zangu mapemaaa.. lol kushtuka usiku mtu tayari yuko juu yangu dah... kazi ipo.
Tangu 2014_2017 umeshakuwa na wanaume zaidi ya 10 bila shaka kwa sababu unapenda zinaa.hah hah haa haloooooooooooo ooooooooo! the 1st thing i wana do is to stay away from him..because nipo kwake kama wik 3 sasa now i wana go back to my place then other things will follow!! tangu majuz nimechange kidogo mpaka anajishtukia mwenyewe mi sina habari najifanya kama sijui vile.
You never ceases to amaze me. Wish i could hug your mind KaruceeThere has to be mre to a relationship than the way a man makes me fel in bed.
How long does an orgasm even last to make me confused?
Hell, how am I even supposed to enjoy sex without peace of mind.
MAybe its just me Karucee but I insist sex has never been the first thing that comes to mind when I think of a guy.
Inashangaza sana!!Huyu dada ameandamwa, dah!!!
hahaha a loyal fan with an old iD. You`re an attachment i`ll never slaughter [emoji23] [emoji23]Hahaaaaa.
What a compliment.
Is this a new ID? Or a renamed one from a loyal fan?
Hahaaa. Very honoured.hahaha a loyal fan with an old iD. You`re an attachment i`ll never slaughter [emoji23] [emoji23]