sure kabisa na huwa natafakari na kuamua kumuacha kwa % percent but.. but when i think of sex i just find myself crying because kwa ufahamu wangu he is mkunaji zaidi ya wote niliowahi kuwa nao uuuh..
Yani sijui hata kwa nini inakuwaga hivi smtym,..anyway naamini relationship ikiwa right u will just sense from your instincts and know this is it...sijui 'right' yenyewe ina exist au ndo najifariji tu hapa
what is it????
stori moja hivi ya lara,abt a girl na boyfriend wake(osokoni) ambae yaelekea anampa vizuri hadi mwanamke anashindwa kumuacha japo the guy anam mistreat sometime..kuna ufanano na ishu yako
Angalia situation wewe mwenyewe uamue,one sure thing NO MAN IS PERFECT...hakuna atakaekuja kakamilika ,kila mtu ana defect sehemu,na pia mazuri yake,kama hutaweza kuvumilia hayo mapungufu yake chapa lapa mapema,kaolewe kwingine,..ila mhh huku nahisi utakuwa unarudi kukumbushia mechi za kirafiki wewe...
haswaaaa.. and what matters is the right mgegedo interms of size, features, behaviour, interests and the alike mungu atie mkono wake lasivoo....!!
perfectly and if you want the answer just rewind from the 1st page to the last.. if not good night!
haswaaaa.. and what matters is the right mgegedo interms of size, features, behaviour, interests and the alike mungu atie mkono wake lasivoo....!!
Tofauti kidogo tu anachukua cm na kuanza kupekua et nimeongea na wanaume gani! akienda mjini akaona labda vyakula perishable bei rahisi akanunua tu viingii na vya hela nyingii wakati vilivopo ndani havijaisha mwishowe vinakaa hadi vinaharibika tunatupa. nguo na viatu ndio usiseme kila akiona amevipenda lazima anunue nikimshauri anasema anatumia hela zake is that how lyf goes?? hii tar 20 hana hata cent. He's so materialist hafocus mbele..
hah hah nimekupata vizuri sana japo sijausomaga huo uzi but kwa ufupi umeeleza vizuri sana na kweli vinaelekea kufanana kabisa.. congrats you are a good summarizer..
I may not know exactly what is it..but what i know kazi yake kitandani inanipoteza ufahamu kabisaaa na nampa % percent.... but when it comes to life in general ana zirooo..
Unaona sasa? Mi nisingeweza hiyo summary. Ningejikanyaga weee mwisho wa siku ungetoka kapa