Dillemma!

Dillemma!

kimbia fasta, ngono pekee haitoshi kuishikilia ndoa.
 
If i tell you then i will have to kill you! Since i dont want you dead, i wont tell you!

Siri yetu! Niwaambie na nyie mkaonje? Akuuuuuu!

I am so damn curious hebu ningate sikio shosti nawe....maana since you started mentioning him umebadili mitazamo kabisa nipo in shockmode 😱!!
 
I am so damn curious hebu ningate sikio shosti nawe....maana since you started mentioning him umebadili mitazamo kabisa nipo in shockmode 😱!!

Akhaaaaaaaaaa! Hapa nilipo niko kwenye ushindani mkubwa na wafatao miss neddy, Khantwe, vaisley Valentina ET AL! Tunarogana mwanzo mwisho! Sasa ukiongezeka na wewe huoni hali itazidi kuwa mbaya zaidi?

Habibt akifungua jf anakuta notificatio si chini ya 50, na pm si chini ya 10 mpaka anaanza kujoogopa sasa maana amezidi utamu kuliko sukari ya warembo!
 
Last edited by a moderator:
hiki ndicho kinachowaponza wasichana......... comparison.

what i can do jamani.. hapa nilipo totally sijielewi yan ee mungu wa shedack meshak na abednego help mimiii..
 
Akhaaaaaaaaaa! Hapa nilipo niko kwenye ushindani mkubwa na wafatao miss neddy, Khantwe, vaisley Valentina ET AL! Tunarogana mwanzo mwisho! Sasa ukiongezeka na wewe huoni hali itazidi kuwa mbaya zaidi?

Habibt akifungua jf anakuta notificatio si chini ya 50, na pm si chini ya 10 mpaka anaanza kujoogopa sasa maana amezidi utamu kuliko sukari ya warembo!
aiiii jamaniii usinifanyie hivo vibaya shostito 🙁
 
Last edited by a moderator:
Pole...umeongea nae kuhusu kukosekana amani ktk mapenzi yenu?

ninapojaribu kumwambia anakua mkali kama pilipili yaani hakosoleki aseee.. ndio mwanaume ni kichwa cha familia na namuheshimu vizuri tu but lazima kumshirikisha mwenzio sasa yeye hakosei et na ukijaribu kumwelekeza ana-define kivinginee kabisaa na kuleta visingizio chungu na tele khah!!!!!!!
 
sex inaenda na umri.... itafika wakati utasahau kama mna vifanyio. tafta anaekupa furaha na amani ya roho. achana na hizo bao unazopigishwa kitandani. maisha ni zaidi ya sex.
Hahaha ,nimeupenda ushauri wako.
Hahahaha
 
ninapojaribu kumwambia anakua mkali kama pilipili yaani hakosoleki aseee.. ndio mwanaume ni kichwa cha familia na namuheshimu vizuri tu but lazima kumshirikisha mwenzio sasa yeye hakosei et na ukijaribu kumwelekeza ana-define kivinginee kabisaa na kuleta visingizio chungu na tele khah!!!!!!!

Inabidi siku uongee nae wakat mpo kwny 6×6 wakat kishakupa mambo unaongea nae kwa utaratibu...mwambie anakupiga dudu vzr unaenjoy ila tatizo lipo huko kwny mambo mengine muombe abadilike
 
Hahaaaaaaa! HATA UTIE NA ANJINAMOTO BADO HARAGE TU YAKHEEE NA SHURTI USHUZI UTAKUBANA BAADAE! Kantangazeeeeeeeeeeee! Usifananishe kifo na usingizi! Kuku ni kuku na harage ni harage! Ukichoka maharage HAMIA AIRTEL ule kuku kwa mrija!

hahahahha inategemea harage la wapi mengine hayasababishi machanganyiko wa hali ya hewa
afu isije kuwa we ndo mahondaw mbona umetawala uwanja wake lol
 
what i can do jamani.. hapa nilipo totally sijielewi yan ee mungu wa shedack meshak na abednego help mimiii..

Kama ni kweli unachokipenda kwake ni lile tendo tu,endelea kutumia muda wako mwingi kutafakari hilo ili ujiridhishe kama utaubeba msalaba au la.Hivi kweli kabisa hamna kitu chochote kile unachofuraia ukiwa nae tofauti na icho?
 
fanya maamuzi magumu now tumia tu busara...mwambie not the right moment now so utaendelea having sex while unapanga plan b taratibu....

atakufa.. juz kati nilimwambia anipe muda zaidi akalia kama mtoto na ni mtu mzima tu kanizidi miaka 10 tatizo amepanic na mahusiano yaani historia yake alishawahi kurudishiwa mahari mara mbili i mean wasichana wawili tofaut tofaut ndio mana mimi nlivomwambia anipe muda zaidi alilia kama mtoto akarecall nyuma..but but..no..no!
 
Akhaaaaaaaaaa! Hapa nilipo niko kwenye ushindani mkubwa na wafatao miss neddy, Khantwe, vaisley Valentina ET AL! Tunarogana mwanzo mwisho! Sasa ukiongezeka na wewe huoni hali itazidi kuwa mbaya zaidi?

Habibt akifungua jf anakuta notificatio si chini ya 50, na pm si chini ya 10 mpaka anaanza kujoogopa sasa maana amezidi utamu kuliko sukari ya warembo!

hahahaha chumvi punguza bhana lara
afu nimemiss gafla le shemeji originale lol
 
Last edited by a moderator:
It depends! If i must i go for GOOD SEX! Hela unaweza kuchuna kiurahisi kwa wakuja yeyote but GOOD SEX these days aint easy to get any!

Ni wewe? Si nyie mnaosema mwanaume hela kibamio sijui kilingani mnavumilia? Heee au umesilimu shoga?
 
Inabidi siku uongee nae wakat mpo kwny 6×6 wakat kishakupa mambo unaongea nae kwa utaratibu...mwambie anakupiga dudu vzr unaenjoy ila tatizo lipo huko kwny mambo mengine muombe abadilike

i already told him hundred times and he know kuwa kunako mahabat ananiacha hoii nikimwambia tu anasema nisimwambie kitu bcoz anajitambua ana anajua kila anachofanya so nimuache afanye anavotaka na mambo yake yataenda anavotaka yeye hapo tu yani ni mbishi sijawah ona...
 
i already told him hundred times and he know kuwa kunako mahabat ananiacha hoii nikimwambia tu anasema nisimwambie kitu bcoz anajitambua ana anajua kila anachofanya so nimuache afanye anavotaka na mambo yake yataenda anavotaka yeye hapo tu yani ni mbishi sijawah ona...

Basi ww usikate tamaa endelea kumpa kiboksi manyoya vizuri atatulia tu
 
Wowww i sm surprised!! Matola kakupa nn bi dada??


Hahahaha supu imechapuka chumvi na pilipili utamu wake si unaujua lakini..

Lara1 mambo yakiwa mambo usisahau kunipa kadi ya mchango na siku ya lunch makulat juu yangu lol
 
Last edited by a moderator:
Hiyo ya kusahau kama wana vifanyio ilikuwa mwaka 47 Husninyo, siku hizi hata wa miaka 79 bado wanagegedana tena kwa raha zao, chezeya utamu weye!!!!

sex inaenda na umri.... itafika wakati utasahau kama mna vifanyio. tafta anaekupa furaha na amani ya roho. achana na hizo bao unazopigishwa kitandani. maisha ni zaidi ya sex.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom