Husninyo
JF-Expert Member
- Oct 24, 2010
- 23,851
- 9,472
Hiyo ya kusahau kama wana vifanyio ilikuwa mwaka 47 Husninyo, siku hizi hata wa miaka 79 bado wanagegedana tena kwa raha zao, chezeya utamu weye!!!!
hehehehe!!! kama yule muheshimiwa naniliii hajafikisha 70 kweli!!!? ila maelewano mazuri ndo mpango mzima na ndio muhimili wa mahusiano. hebu wanandoa mtuambie kama mnasex mara kwa mara. sie singles inaweza pita mpaka miezi sita bila mautamu. nafanya kukagua kifanywa changu kama bado kipo au kishadisapia.
Last edited by a moderator: