Dillemma!

Dillemma!

nakubaliana 100%

Katika vitabu vyote nilivyowahi kusoma vihusuvyo ndoa, katika maarifa yote niliyowahi kuyapata kuhusu ndoa na katika uzoefu wote nilionao kuhusu ndoa...binti pasipo shaka yoyote nakueleza ya kwamba upo hatarini kuliko hatari yenyewe.

Yes, ngono ni sehemu moja wapo ya mahusiano ya kindoa lakini ukweli ni kwamba inachukua asilimia ndogo sana ya maisha mazima ya ndoa.

Wataalamu wa mahusiano ya kingono hutamka ya kwamba, ngono nzuri huanzia akilini mwa mtu...yaani wale wenye afya ya akili hufaidi zaidi kuliko wale wenye mtindio wa afya ya akili.

Huwezi kuishi na mtu maisha yako yote huku moyo wako ukiwa hauna amani naye kabisa.

NOTE:
Kuna wakati nilikushauri kwa lugha ngumu kidogo wakati uliopita, na naamini ulinipuuzia kama wadada wengi wapendavyo kufanya...ila sasa kama unaweza rudi nyuma na uyakumbuke yale maneno
 
Precisely, what is considered good sex?

I may not know exactly what is it..but what i know kazi yake kitandani inanipoteza ufahamu kabisaaa na nampa % percent.... but when it comes to life in general ana zirooo..
 
As heading inavojieleza mwenzenu nashindwa kuyaelewa mapenzi. hivi bora nifurahi kwa muda fulani na nikose amani maishani mwotee ama vice versa is true? kwa sababu mpenzi wangu tunatofautiana interests kabsaa yani kila kukicha ni kugombana but kunako 6*6 ni fundi haswaa really ananimarrlliza na kuniacha hoi!
Sasa anataka akanitambulishe kwao.. Je nitaishije na mwanaume ambaye nahisi hanipi amani ninachofurahia kwake ni tuwapo kitandani tu na life is not only about kugegedana.? ata sijui yani..Ushauri pls!

mahondaw hiyo siyo dalili nzuri, kwa uzoefu nilionao, achana nae haraka sana hiki kitakusumbua maishani mwako. Ikiwa kinachowaunganisha ni ngono tu, tambua kwenye ndoa maelewano na interest ndio kinachukua nafasi kubwa zaidi ya ngono.

Ikiwa hakuna maelewano mazuri hata ngono haitakuwepo kwani kila mmoja hatakuwa na hamu na mwenzake na ndipo hapo michepuko inapoanzia.

Take from me. ACHANA NA HUYO MTU, NI HAKIKA NDOA YENU HAITADUMU AMA ITAKUWA NI KUGOMBANA KILA MARA.
 
Last edited by a moderator:
mahusiano yenu yalianzaje bila kuwa na baadhi ya interest zinazofanana?

Interest zipi ambazo hazikufanana? Kila mmoja alikuwa na hamu ya ngono na mwenzake, na hiyo ndo kufanana kwa interest zao, ndio maana akasema, jamaa anamsasambua kweli kweli.
 
okey bill ninaufanyia kazi ushauri wako nashukuru sana.
 
Interest zipi ambazo hazikufanana? Kila mmoja alikuwa na hamu ya ngono na mwenzake, na hiyo ndo kufanana kwa interest zao, ndio maana akasema, jamaa anamsasambua kweli kweli.

you are right bill and i also think so.. nashukuru kwa kumuelewesha huyo kiumbe!
 
try to understand wewee salt salt.. at first we had a distant relationship but we kept correspondance from morning till night and it was very hot na tulikua tunaonana mara moja moja tu na kukaa kwa masaa kadhaa then kila mtu anaondoka ningemjuajee???? sasa nimeomba likizo nikaenda kwake mmhhh kila siku malumbano na naona hapana kwakweli sidhani if together we can.... upo hapo????
 
no he is close-minded hata nisema kwa kipaza sauti haelewi na he is aged kidogo japo kwakua ni me bado si mbaya kwake na amekimbiwa na wasichana wengi so alipoona mim nimemkubali may be kwa kutojua tabia zake za ndani anataka aharakishe kunitambulisha fasta fasta sasa nimeshtuka nikamwambia anipe muza zaidi weee malumbano yamekua mara mbili ya yale ya kila siku.. usiropoke ropoke tu.


cc. chumvichumvi
 
As far as comparative and absolute advantage are concerned, huyu dame anataka mumshauri namna ya kuadopt na kuadapt hali halisi aliyoko. Kwa hiyo mwambieni hivi, jamaa atabadilika siku moja, so asiteme bigijii
 
hapo chacha ndo panaponiumiza zaidi sex ina raha yake especially ukimpata mkunaji haswaa on the other side amani nayo ndo kila kitu thats why i'm in dillemma!

Kama hujui cha kuamua so far bora uwe single kwa muda.

Then uanze upya.

Trust your instincts.
 
As far as comparative and absolute advantage are concerned, huyu dame anataka mumshauri namna ya kuadopt na kuadapt hali halisi aliyoko. Kwa hiyo mwambieni hivi, jamaa atabadilika siku moja, so asiteme bigijii

its ur opinions not bad..
 
As heading inavojieleza mwenzenu nashindwa kuyaelewa mapenzi. hivi bora nifurahi kwa muda fulani na nikose amani maishani mwotee ama vice versa is true? kwa sababu mpenzi wangu tunatofautiana interests kabsaa yani kila kukicha ni kugombana but kunako 6*6 ni fundi haswaa really ananimarrlliza na kuniacha hoi!
Sasa anataka akanitambulishe kwao.. Je nitaishije na mwanaume ambaye nahisi hanipi amani ninachofurahia kwake ni tuwapo kitandani tu na life is not only about kugegedana.? ata sijui yani..Ushauri pls!

life is not about kitandani tu
 
nahitaji amani but at the same time ile nayo duh anyway i think its because kati ya niliokutana nao yeye ndio namuona the most katika sex na may be nahisi kumpata anaejua ni shidaaa.
Nothing in love comes easier and direct like in a movie, if it does then lucky was on your side...and at the end,all must be paid the huge price(wivu,rudeness,mistreatment n.k vinatofautiana kipimo tu,kwa huyu mwingi kwa yule kidogo...lakini kwa yeyote vipo).Jamaa atakuwa na wivu tu,m-shape.

The bottom line is, vyote vyarekebishika only if you two truly love each other.
 
Back
Top Bottom