Dimba la Taifa: Yanga Africans yatakata kwa ushindi wa goli 3-0 dhidi ya Kagera Sugar

We sio mzima,unataka timu ikiingia tu kwenye mashindano basi Ichukue ubingwa,hebu fatilia vilabu vya ulaya sina haja ya kukutajia,kushiriki sio kushinda lakini ni kuthubutu kushinda tofauti na mtu ambaye hashiriki,ni kama kuwe na mtihani halafu wewe kwa umbumbumbu wako ukimbie halafu wenzako wafanye then ujione uko sawa na aliefanya.
 


Yanga, ni wachovu wa kimataifa, haina ubishi.....hawajawahi kufanya maajabu toka TZ ipate Uhuru, yaani toka miaka ya 60 mwanzoni....wanakaribia miaka 60 pasipo mafanikio yoyote kimataifa.
 
Yanga, ni wachovu wa kimataifa, haina ubishi.....hawajawahi kufanya maajabu toka TZ ipate Uhuru, yaani toka miaka ya 60 mwanzoni....wanakaribia miaka 60 pasipo mafanikio yoyote kimataifa.
Kufanikiwa ni kuchukuwa kombe, hizo stori nyingine ni blaa blaa tu! Tuambie simba imewahi kuchukua kombe gani katika michuano ya Afrika? Zaidi ya lile bonanza la Musonye!!
 
Kufanikiwa ni kuchukuwa kombe, hizo stori nyingine ni blaa blaa tu! Tuambie simba imewahi kuchukua kombe gani katika michuano ya Afrika? Zaidi ya lile bonanza la Musonye!!


Simba ilifika fanali kombe la CAF mwaka 1993....Yanga ilifika lini, hata hiyo nusu fainali tu?
 
Bila shaka we mgeni kwenye ligi yetu?yaani huijui mbumbumbu fc? mezani fc je?hata mikia fc huijui?basi labda mbeleko fc utakua unaifahamu.
kwakweli nimejaribu hata kuongea na wambura anasema hio.timu haipo.ligi.kuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…