Shadeeya
JF-Expert Member
- Mar 12, 2014
- 49,759
- 118,798
Ntakutag mapema kabisaaa. Sababu mie huwa sikosi labda niwe na dharura.Tutakua pamoja mwanzo mwisho
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ntakutag mapema kabisaaa. Sababu mie huwa sikosi labda niwe na dharura.Tutakua pamoja mwanzo mwisho
Thanks for updatesView attachment 709076
01': Mechi ya Yanga vs Kagera Sugar imeanza hivi punde
04': Haji Mwinyi anarusha mpira kuelekea lango la Kagera baada ya kutolewa, anauchukua Ajib, Ajib anapasia langoni mwa wapinzani, wanaokoa
05': Kagera sasa, anao Atupele Green, pasia pembeni mwa Uwanja, hatariii, Kagera wanakosa nafasi ya wazi
07': Rostand anaanzisha goli kiki, ni baada ya mpira kutoka nje
08: Buswiiiita, namna gani hapa, krosi yake inakwenda nje, ilikuwa ni pasi nzuri ya auta kutoka kwa Ajib
12': Matokeo ni 0-0 mpaka sasa
13': Hatari katika lango la Kagera hapa, Buswiita, anababatizana na mlinda mlango, anaudaka
14': Mpira umesimama baada ya kipa wa Kagera kuumia, Cannavaro naye anapasha nje
15': tayari mpira umeshaanza, kwake Kamusoko, anapiga shuti lakini linatoka nje
16': Offside, Kagare wanaotea, mpira unapigwa kuelekea kwao
18': Kibaya anapata kadi ya njano, ni ya kwanza kwenye mchezo wa leo
19': Faulo, kadi ya pili ya njano inaenda kwa mchezaji wa Kagera, ni baada ya kucheza faulo eneo la hatari, inapigwa langoni mwao
20': Ajib yuko na mpira, anapigaaa, inapiga nyavu za juu
21': Ngonyani naye anapata kadi ya njano baada ya kucheza mazambi, ni ya tatu sasa katika mchezo huu
21': Matokeo ni 0-0
22': Mpira umesimama, Maxime anatoa maelekezo kwa wachezaji wake
23': Fhaki anapiga hapa, hatari langoni mwa Yanga, namna gani mshambuliaji huyu anashindwa kutumia nafasi
25': Kavila anamchezea rafu Chirwa hapa, inakuwa faulo kwenda Kagera
25': Ally Nasoro sasa anaondoka nao kupandisha mashambulizi, anapiga pasi mkaa, anaokoa Yondani
26': Wanaanza Yanga eneo la nyuma, Kessy anampasia Buswita, kwake Kamusoko, Kamusoko anapiga kwake Pato lakini beki wa Kagera anautoa na mpira unakuwa wa kona
28': Mpira anao Kamusoko, anapasia nyuma kwake Yondani, Yanga wanajaribu kutafuta bao hapa
29': Emmanuel Martin, anacheza faulo, mpira unapigwa kuelekea Yanga
30': matokeo ni 0-0, mpaka sasa hakuna timu iliyofanya shambulizi la kutisha kwa mwenzake
31': Goli Kiki upande wa Yanga, unapigwa kuelekea Kagera
32': Kagera waanzisha goli kiki, tayari ushapigwa, faulo, unapigwa kuelekea Kagera
33': Mabadiliko Yanga wanafanya mapema, anatoka Pato na nafasi yake inachukuliwa na Maka
35'; Kagera wanapata kona ya kwanza baada ya Mwinyi Haji kuutoa mpira, inapigwaaa, inapigwa kichwa na mshambuliaji wa Kagera lakini kipa Rostand anadaka
37': Unarushwa sasa kuelekea lango la Kagera, anao Ajib sasa, kwake Martin, unapigwa kwake Buswita, anautuliza kwa njia ya kifua lakini beki wa Kagera anaokoa
39': Anao sasa Ajib, unapigwa langoni, kipa anajitutumua anaupiga na mkono unakuwa wa kurushwa kuelekea langoni kwake, kidogo iwe kona
41': Faulo, Ajib anapiga, anapiga ya chinichini lakini mabeki wanaokoa kwa kichwa
41': Mpira uko mbele sasa upande wa kulia mwa uwanja wanao Yanga, beki wa Kagera anauokoa hapa, unapigwa mbele lakini Maka anautoa nje
Mpira ni mapumziko sasa, Yanga 0-0 Kagera Sugar
45': Kipindi cha pili kimeanza, matokeo ni 0-0
46': Beki wa Kagera anachezewa faulo, mpira unapigwa kuelekea langoni mwa Yanga
47': Hatarii langoni mwa Yanga, Atupele Green anakosa kupiga shuti nje kidogo mwa eneo la hatari, ni faulo,
48': Inapigwaaa, inatoka nje sentimita kadhaa tu, bahati nyingine wanaikosa Kagera Sugar,
50': Yanga wanaanza nyuma taraatibu, beki wa Kagera anautoa nje
51': Penatiiii, Yanga wanapata tuta hapa
51': Ajib ndiyo anapiga tuta, anapigaaa, gooooooli, Yanga wanapata bao la kwanza, sasa ni 1-0
53': Kagera wanaanza upya kati, wanapasiana kuelekea langoni mwa Yanga, inapigwa moja juu, kipa Rostand anaruka kama nyani anaudaka
Dak ya 55, Kagera wamezidi kuamka licha ya kufungwa bao hilo moja, wanamiliki zaidi mpira eneo la kati
Dak ya 57, Ajib sasa na mpira, piga huku pembeni lakini Kagera wanaokoa, inapigwa mbele hukuu, offside
Dak ya 59, Namna gani Kagera wanakosa tena bao hapa, ni nafasi adhimu kabisa hii ndani ya eneo la hatari mwa Yanga, mpira unakwenda nje
Dak ya 61, Kagera wanaanza mashambulizi tena, wanapasiana eneo la nyuma
Dak ya 63, Faulo inapigwa kuelekea Kagera baada ya beki wake kucheza mazambi
Dak ya 64, Yanga wanao mpira hivi sasa, Ajib anajaribu kuzunguka lakini ananyang'anywa mpira, Kamusoko anauwahi
Dak ya 65, Mpira anao Fhaki sasa, pasia kati ya uwanja huku, unarejeshwa kwake Fakhi tena, Kagera bado wanaumiliki, pigwa huku langoni mwa Yanga, offside
Dak ya 68, Kagera wanashindwa kutumia vema nafasi ya kufunga baada ya kupasiana vizuri na kuingia eneo la hatari la Yanga
Dak ya 69, Kona wanapata Yanga, ni ya nne na tano katika mchezo wa leo, Ajib anapiga lakini inaokolewa
Dak ya 70, Chirwaa, anapiga krosi moja ya hewani lakini inatoka nje
Dak ya 71, Mpira umesimaa kidogo, mchezaji wa Kagera ameumia
Dak ya 72, Omary Daga anaingia kuchuka nafasi ya Atupele Green, matokeo bado ni 1-0
Dak ya 75, Yanga wanapata kona, inapigwa na Ajib, pigwa huku Chirwa anapiga kichwa lakini inaenda pembeni, Kagera wanaokoa
Dak ya 75, Emmanuel Martiiiin, anapigaaaa, kipa wa Kagera anakuwa mahiri anaokoa
Dak ya 76, Goooooooli, Martin anaifungia Yanga bao la pili kufuatia krosi nzuri ya Obrey Chirwa, Yanga wana mabao mawili sasa na Kagera 0
Dak ya 79, Yanga wameamka sasa, wanakwenda mbele na mpira, kona! Ajib yu tayari kupiga, anaanza fupi hukuuu, kona nyingine, ni ya 7 sasa, inapigwaaaa, Kagera wanaokoa
Dak ya 81, Kagera wanapata kona pia, inapigwaaa lakini inaokolewa
Dak ya 82, Kagera wanaumiliki mpira tena, wanajaribu kutafuta bao angalau la kufutia machozi
Dak ya 83, Hatari langoni mwa Kagera, kipa anadaka, anaanza taratibu na wenzake nyuma
Dak ya 85, Kagera wanapata kona hapa, inapigwa lakini inatolewa na kuwa kona ya pili, inapigwa tena hukuu, Rostand anadaka na kutulia vizuuri kabisa
Dak ya 87, Yanga wanao sasa, Buswita, kwake Kessy, anarudisha kwa kipa wake
Dak ya 88, Yusuph Mhilu anakwenda na mpira upande wa kulia wa uwanja, anapigaa, gooooooli, Kagera wanajifunga katika harakati za kuokoa, sasa ni 3-0
Dak ya 90, Zimeongezwa dakika tatu pekee mpira umalizike
Poa my dadaNtakutag mapema kabisaaa. Sababu mie huwa sikosi labda niwe na dharura.
Hii imeahirishwaMsisahau kesho chama la wana simba vs mtibwa sukari, hapa hapa nyumbani kwetu yaan (UWANJA WA JAMHURI)
Mtajifariji sana ila hii yanga ni timu ya Kawaida kwa aliyeanglia mpira anaelewa hili na wakichukua ndoo itakuwa safi kwan kuna nguvu ya mungu inaiongoza yangaSafi yanga sukumia chini hao wanaoshangilia mwanzo wa ligi
Hahahaaa. Eti Chalii umetumia vigezo gani kutuita vipofu.Leo kipofu kaona mwezi
Unasema ww mkubwa lakn ratiba bado ipo palepaleHii imeahirishwa
Akina naniMpaka warudishe rambirambi ya Mafisango vinginevyo laana hii itawaandama
Mkuu, unapenda sana kuquote hadi nyuzi ndefu kama hii..?Thanks for updates
Msukuma tolori mdogo mdogo jiandae mwenye mzigo amekaribia kuuchukua mzigo wake[emoji460] [emoji460]
Ndoo lazima iende kwa yanga hakuna ubishi hapoMtajifariji sana ila hii yanga ni timu ya Kawaida kwa aliyeanglia mpira anaelewa hili na wakichukua ndoo itakuwa safi kwan kuna nguvu ya mungu inaiongoza yanga
Simba hachezi mechi yoyote mpk atoke misri, mtibwa anacheza na prisons nafkiri kesho au jumapiliMsisahau kesho chama la wana simba vs mtibwa sukari, hapa hapa nyumbani kwetu yaan (UWANJA WA JAMHURI)
Ya kwel hayo ndugu, au majungu?Simba hachezi mechi yoyote mpk atoke misri, mtibwa anacheza na prisons nafkiri kesho au jumapili
View attachment 709076
01': Mechi ya Yanga vs Kagera Sugar imeanza hivi punde
04': Haji Mwinyi anarusha mpira kuelekea lango la Kagera baada ya kutolewa, anauchukua Ajib, Ajib anapasia langoni mwa wapinzani, wanaokoa
05': Kagera sasa, anao Atupele Green, pasia pembeni mwa Uwanja, hatariii, Kagera wanakosa nafasi ya wazi
07': Rostand anaanzisha goli kiki, ni baada ya mpira kutoka nje
08: Buswiiiita, namna gani hapa, krosi yake inakwenda nje, ilikuwa ni pasi nzuri ya auta kutoka kwa Ajib
12': Matokeo ni 0-0 mpaka sasa
13': Hatari katika lango la Kagera hapa, Buswiita, anababatizana na mlinda mlango, anaudaka
14': Mpira umesimama baada ya kipa wa Kagera kuumia, Cannavaro naye anapasha nje
15': tayari mpira umeshaanza, kwake Kamusoko, anapiga shuti lakini linatoka nje
16': Offside, Kagare wanaotea, mpira unapigwa kuelekea kwao
18': Kibaya anapata kadi ya njano, ni ya kwanza kwenye mchezo wa leo
19': Faulo, kadi ya pili ya njano inaenda kwa mchezaji wa Kagera, ni baada ya kucheza faulo eneo la hatari, inapigwa langoni mwao
20': Ajib yuko na mpira, anapigaaa, inapiga nyavu za juu
21': Ngonyani naye anapata kadi ya njano baada ya kucheza mazambi, ni ya tatu sasa katika mchezo huu
21': Matokeo ni 0-0
22': Mpira umesimama, Maxime anatoa maelekezo kwa wachezaji wake
23': Fhaki anapiga hapa, hatari langoni mwa Yanga, namna gani mshambuliaji huyu anashindwa kutumia nafasi
25': Kavila anamchezea rafu Chirwa hapa, inakuwa faulo kwenda Kagera
25': Ally Nasoro sasa anaondoka nao kupandisha mashambulizi, anapiga pasi mkaa, anaokoa Yondani
26': Wanaanza Yanga eneo la nyuma, Kessy anampasia Buswita, kwake Kamusoko, Kamusoko anapiga kwake Pato lakini beki wa Kagera anautoa na mpira unakuwa wa kona
28': Mpira anao Kamusoko, anapasia nyuma kwake Yondani, Yanga wanajaribu kutafuta bao hapa
29': Emmanuel Martin, anacheza faulo, mpira unapigwa kuelekea Yanga
30': matokeo ni 0-0, mpaka sasa hakuna timu iliyofanya shambulizi la kutisha kwa mwenzake
31': Goli Kiki upande wa Yanga, unapigwa kuelekea Kagera
32': Kagera waanzisha goli kiki, tayari ushapigwa, faulo, unapigwa kuelekea Kagera
33': Mabadiliko Yanga wanafanya mapema, anatoka Pato na nafasi yake inachukuliwa na Maka
35'; Kagera wanapata kona ya kwanza baada ya Mwinyi Haji kuutoa mpira, inapigwaaa, inapigwa kichwa na mshambuliaji wa Kagera lakini kipa Rostand anadaka
37': Unarushwa sasa kuelekea lango la Kagera, anao Ajib sasa, kwake Martin, unapigwa kwake Buswita, anautuliza kwa njia ya kifua lakini beki wa Kagera anaokoa
39': Anao sasa Ajib, unapigwa langoni, kipa anajitutumua anaupiga na mkono unakuwa wa kurushwa kuelekea langoni kwake, kidogo iwe kona
41': Faulo, Ajib anapiga, anapiga ya chinichini lakini mabeki wanaokoa kwa kichwa
41': Mpira uko mbele sasa upande wa kulia mwa uwanja wanao Yanga, beki wa Kagera anauokoa hapa, unapigwa mbele lakini Maka anautoa nje
Mpira ni mapumziko sasa, Yanga 0-0 Kagera Sugar
45': Kipindi cha pili kimeanza, matokeo ni 0-0
46': Beki wa Kagera anachezewa faulo, mpira unapigwa kuelekea langoni mwa Yanga
47': Hatarii langoni mwa Yanga, Atupele Green anakosa kupiga shuti nje kidogo mwa eneo la hatari, ni faulo,
48': Inapigwaaa, inatoka nje sentimita kadhaa tu, bahati nyingine wanaikosa Kagera Sugar,
50': Yanga wanaanza nyuma taraatibu, beki wa Kagera anautoa nje
51': Penatiiii, Yanga wanapata tuta hapa
51': Ajib ndiyo anapiga tuta, anapigaaa, gooooooli, Yanga wanapata bao la kwanza, sasa ni 1-0
53': Kagera wanaanza upya kati, wanapasiana kuelekea langoni mwa Yanga, inapigwa moja juu, kipa Rostand anaruka kama nyani anaudaka
55': Kagera wamezidi kuamka licha ya kufungwa bao hilo moja, wanamiliki zaidi mpira eneo la kati
57': Ajib sasa na mpira, piga huku pembeni lakini Kagera wanaokoa, inapigwa mbele hukuu, offside
59': Namna gani Kagera wanakosa tena bao hapa, ni nafasi adhimu kabisa hii ndani ya eneo la hatari mwa Yanga, mpira unakwenda nje
61': Kagera wanaanza mashambulizi tena, wanapasiana eneo la nyuma
63': Faulo inapigwa kuelekea Kagera baada ya beki wake kucheza mazambi
64': Yanga wanao mpira hivi sasa, Ajib anajaribu kuzunguka lakini ananyang'anywa mpira, Kamusoko anauwahi
65': Mpira anao Fhaki sasa, pasia kati ya uwanja huku, unarejeshwa kwake Fakhi tena, Kagera bado wanaumiliki, pigwa huku langoni mwa Yanga, offside
68': Kagera wanashindwa kutumia vema nafasi ya kufunga baada ya kupasiana vizuri na kuingia eneo la hatari la Yanga
69': Kona wanapata Yanga, ni ya nne na tano katika mchezo wa leo, Ajib anapiga lakini inaokolewa
70': Chirwaa, anapiga krosi moja ya hewani lakini inatoka nje
71': Mpira umesimaa kidogo, mchezaji wa Kagera ameumia
72': Omary Daga anaingia kuchuka nafasi ya Atupele Green, matokeo bado ni 1-0
75': Yanga wanapata kona, inapigwa na Ajib, pigwa huku Chirwa anapiga kichwa lakini inaenda pembeni, Kagera wanaokoa
75': Emmanuel Martiiiin, anapigaaaa, kipa wa Kagera anakuwa mahiri anaokoa
76': Goooooooli, Martin anaifungia Yanga bao la pili kufuatia krosi nzuri ya Obrey Chirwa, Yanga wana mabao mawili sasa na Kagera 0
79': Yanga wameamka sasa, wanakwenda mbele na mpira, kona! Ajib yu tayari kupiga, anaanza fupi hukuuu, kona nyingine, ni ya 7 sasa, inapigwaaaa, Kagera wanaokoa
81': Kagera wanapata kona pia, inapigwaaa lakini inaokolewa
82': Kagera wanaumiliki mpira tena, wanajaribu kutafuta bao angalau la kufutia machozi
83': Hatari langoni mwa Kagera, kipa anadaka, anaanza taratibu na wenzake nyuma
85': Kagera wanapata kona hapa, inapigwa lakini inatolewa na kuwa kona ya pili, inapigwa tena hukuu, Rostand anadaka na kutulia vizuuri kabisa
87': Yanga wanao sasa, Buswita, kwake Kessy, anarudisha kwa kipa wake
88': Yusuph Mhilu anakwenda na mpira upande wa kulia wa uwanja, anapigaa, gooooooli, Kagera wanajifunga katika harakati za kuokoa, sasa ni 3-0
90': Zimeongezwa dakika tatu pekee mpira umalizike
Full Time, Mwamuzi anapuliza kipyenga kumaliza mpira, Yanga 3-0 Kagera Sugar.
Bi hindu fcAkina nani