Dina Marios aacha rasmi kutangaza Leo tena

Hawajafunga hata kwanza Ruben ni player mno na hadi mwaka jana walikuwa wamegombana, naona walupopatana Dina akaamua kutegesha maana baada ya ujauzito na kujifungua Nchakali ndo akajirudi na kumuomba msamaha Dina na sasa wanaishi pamoja.

Wanapendezeeana, si nilisikia dina walikuwa wanasagana na shamim Mwasha?
 
Nilijua tu kuzaa na Reuben Ndege watu na visasi vyao watamtoa, kwanza wali mind sana Dinna na Gea kushika mimba pamoja ila Gea kwasababu Yuko ktk ndoa haikuwa issue, waliona kama kuhujumu kipindi.

Mmmhhh
 
Ok. Asante kwa kunielewesha queen of sheba. Maskni Dina alivyo decent huyo ncha kali ajirekebishe walee mtoto.
Hawajafunga hata kwanza Ruben ni player mno na hadi mwaka jana walikuwa wamegombana, naona walupopatana Dina akaamua kutegesha maana baada ya ujauzito na kujifungua Nchakali ndo akajirudi na kumuomba msamaha Dina na sasa wanaishi pamoja.
 
Warumi. Tupe mambo. Wanasagana na shamimu tena.
 
Ok. Asante kwa kunielewesha queen of sheba. Maskni Dina alivyo decent huyo ncha kali ajirekebishe walee mtoto.

Kasema amejirekebisha tusubiri tuone maana sasa wanaishi pamoja.
 


akwende zake...
 
Yule akija humu kutupa umbeya binamu ntaachikaa bora asijer

Aaah aah kwani bado hujaachika tu ?? Maana ule msuto wa juzi na maturembeta had nyumban shem hajakuacha?? Dah kweli Shem anakupenda
 
Aaah aah kwani bado hujaachika tu ?? Maana ule msuto wa juzi na maturembeta had nyumban shem hajakuacha?? Dah kweli Shem anakupenda

Mmmhhh naona hakuuonaa uzii ningelimwa ban ya milele sijui ningekimbilia wapiiiii
 
Eeh ebu nipe uji kwanza , ilikuwaj kwan binam

Kulikua na umbea kule Mmu kuna chiz alisema anataka kufa heee sie tukajiandaa na msibaa tukaanza kupanga sare za kuvaa,kukodi watu wa kuliaa,msosi binamu mtu si akagairi kufa, tulinunaje mimi Evelyn Salt ICHANA TATIANA na Kim nana tukakosa tenda eeee alitukomajee,mim nikawa natumiwa sms watsapp na shemejio namjibu huku nachungulia huku weee si akaja jamii kuangalia nimo ilikua kesiii ila alinisameheee
 
Last edited by a moderator:

Kwi kwiiii kwiiii, dah ongea n shemej bna ajue kabisa hii ndo kaz uliyoichagua n kuipenda kwa moyo wote , so inabid atoe ushirikiano
 
Last edited by a moderator:

uuuuuupsi mbavu zangu nikikumbuka ule uzi nacheka sana jf jamani inanipa raha hta upweke hakuna...

mmi ndo nilikuwa na kkundi cha kuomboleza kulia hadi kuzimia na kuimba
pole sana kwa shemeji kukumaind kwa maana ule uzi ulikuwa so hot
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…