Dina Marios aacha rasmi kutangaza Leo tena

Dina Marios aacha rasmi kutangaza Leo tena

Hawajafunga hata kwanza Ruben ni player mno na hadi mwaka jana walikuwa wamegombana, naona walupopatana Dina akaamua kutegesha maana baada ya ujauzito na kujifungua Nchakali ndo akajirudi na kumuomba msamaha Dina na sasa wanaishi pamoja.

Wanapendezeeana, si nilisikia dina walikuwa wanasagana na shamim Mwasha?
 
Nilijua tu kuzaa na Reuben Ndege watu na visasi vyao watamtoa, kwanza wali mind sana Dinna na Gea kushika mimba pamoja ila Gea kwasababu Yuko ktk ndoa haikuwa issue, waliona kama kuhujumu kipindi.

Mmmhhh
 
Ok. Asante kwa kunielewesha queen of sheba. Maskni Dina alivyo decent huyo ncha kali ajirekebishe walee mtoto.
Hawajafunga hata kwanza Ruben ni player mno na hadi mwaka jana walikuwa wamegombana, naona walupopatana Dina akaamua kutegesha maana baada ya ujauzito na kujifungua Nchakali ndo akajirudi na kumuomba msamaha Dina na sasa wanaishi pamoja.
 
Warumi. Tupe mambo. Wanasagana na shamimu tena.
 
Ok. Asante kwa kunielewesha queen of sheba. Maskni Dina alivyo decent huyo ncha kali ajirekebishe walee mtoto.

Kasema amejirekebisha tusubiri tuone maana sasa wanaishi pamoja.
 
Yule mtangazaji wa kipindi cha Leo Tena cha Clouds Fm, Dina Marious leo ametangaza kuwa hataendelea kufanya kipindi hicho na badala yake anakuja na kipindi kipya cha TV.

Dina ambaye hajasikika kwenye kipindi hicho kwa miezi kadhaa baada ya kwenda likizo ya uzazi baada ya kujifungua mtoto wa kiume aitwaye Zion,
ametoa taarifa hiyo kupitia akaunti yake ya Instagram. Hiki ndicho alichokiandika: "Ni miaka 8 sasa imetimia toka nilipokabidhiwa mtoto huyo. Nilimlea kwa
taabu sana siku za mwanzo zilikiwa ngumu wakati mwingine sikulala kuhakikisha anakuwa salama. Nyakati hizo nilionekana nisingekuwa mama bora wa
mtoto huyo lakini nilipigana kike na kuwa mtoto bora aliyependwa na kusifika nchi nzima".

Mtoto huyo anaitwa leo tena na Dina Marios. Leo tena ikawa leo tena na kuwa kipindi bora kinachopendwa tanzania na Dina Marios nikawa mtangazaji bora wa kike na wapili bora Tz nzima kwa kupendwa hii ni kwa mujimu wa research. Kupitia leo tena nimetengeneza mashabiki, marafiki, wapenzi na hata ndugu. Sasa leo tena imekuwa na sina budi kuiacha iendelee kulelewa na mtu mwingine.

Kama nilivyokabidhiwa leo tena kuilea nimepewa tena jukumu lingine kubwa la kulea mtoto mpya atakaeonekana kwenye luninga inamaana ntakuwa nikiuza sura luningani. Niliwapenda sana wasikilizaji wangu japo mlikuwa mkiniuliza narejea lini kwenye leo tena ukweli ni kwamba sirudi tena kwenye leo tena.

Naomba sala na dua zenu katika safari yangu mpya ambayo najua haitakuwa rahisi kama mlivyokuwa nami kwenye leo tena basi muwe nami katika hili. Wiki ijayo nitakuja rasmi kuwaaga kupitia leo tena ya Clouds FM. Nawapenda mno machozi kede kede yananimwagika


akwende zake...
 
Yule akija humu kutupa umbeya binamu ntaachikaa bora asijer

Aaah aah kwani bado hujaachika tu ?? Maana ule msuto wa juzi na maturembeta had nyumban shem hajakuacha?? Dah kweli Shem anakupenda
 
Aaah aah kwani bado hujaachika tu ?? Maana ule msuto wa juzi na maturembeta had nyumban shem hajakuacha?? Dah kweli Shem anakupenda

Mmmhhh naona hakuuonaa uzii ningelimwa ban ya milele sijui ningekimbilia wapiiiii
 
Eeh ebu nipe uji kwanza , ilikuwaj kwan binam

Kulikua na umbea kule Mmu kuna chiz alisema anataka kufa heee sie tukajiandaa na msibaa tukaanza kupanga sare za kuvaa,kukodi watu wa kuliaa,msosi binamu mtu si akagairi kufa, tulinunaje mimi Evelyn Salt ICHANA TATIANA na Kim nana tukakosa tenda eeee alitukomajee,mim nikawa natumiwa sms watsapp na shemejio namjibu huku nachungulia huku weee si akaja jamii kuangalia nimo ilikua kesiii ila alinisameheee
 
Last edited by a moderator:
Kulikua na umbea kule Mmu kuna chiz alisema anataka kufa heee sie tukajiandaa na msibaa tukaanza kupanga sare za kuvaa,kukodi watu wa kuliaa,msosi binamu mtu si akagairi kufa, tulinunaje mimi Evelyn Salt ICHANA TATIANA na Kim nana tukakosa tenda eeee alitukomajee,mim nikawa natumiwa sms watsapp na shemejio namjibu huku nachungulia huku weee si akaja jamii kuangalia nimo ilikua kesiii ila alinisameheee

Kwi kwiiii kwiiii, dah ongea n shemej bna ajue kabisa hii ndo kaz uliyoichagua n kuipenda kwa moyo wote , so inabid atoe ushirikiano
 
Last edited by a moderator:
Kulikua na umbea kule Mmu kuna chiz alisema anataka kufa heee sie tukajiandaa na msibaa tukaanza kupanga sare za kuvaa,kukodi watu wa kuliaa,msosi binamu mtu si akagairi kufa, tulinunaje mimi Evelyn Salt ICHANA TATIANA na Kim nana tukakosa tenda eeee alitukomajee,mim nikawa natumiwa sms watsapp na shemejio namjibu huku nachungulia huku weee si akaja jamii kuangalia nimo ilikua kesiii ila alinisameheee

uuuuuupsi mbavu zangu nikikumbuka ule uzi nacheka sana jf jamani inanipa raha hta upweke hakuna...

mmi ndo nilikuwa na kkundi cha kuomboleza kulia hadi kuzimia na kuimba
pole sana kwa shemeji kukumaind kwa maana ule uzi ulikuwa so hot
 
Back
Top Bottom