Dina Marios afunguka bifu lake na Zamaradi Mketema

Okay,

Alisema lini, wapi, na katika muktadha upi?

Maana asije kuwa alimaanisha na wao ni watu wa kawaida wanaopitia mengi kama ilivyo kwa watu wengine lakini nyie mkatafsiri vibaya na kudhani kuwa alikuwa akizungumzia kuhusu sehemu afanyiayo kazi.

Ndivyo alivyoandika kwenye ukurasa wake wa instagram, nenda ukasome utaona
 
Mtu yupo kwenye fedha na still mwembamba kama mkaanga sumu lazima atakuwa na roho mbaya inayomtafuna mwili,ukiona mtu yupo vizuri kimaisha na mwembamba kama reli basi jua ana roho mbaya.

Cc: MCHUNGUZI HURU (Associate Professor)

Ahahahah ahah umetisha
 
Last edited by a moderator:
Ameamua kubadili mfumo wa maisha?
Kwani alikuwa na mfumo gani mpaka ameamua kubadilika?
Btw, naipenda sana sauti ya Dina Marios...
 
Hhheeeeeeeeee uwiiiii nichekee mieeeeee
 

Attachments

  • wp_ss_20150529_0003.png
    229.8 KB · Views: 1,137
Ameamua kubadili mfumo wa maisha?
Kwani alikuwa na mfumo gani mpaka ameamua kubadilika?
Btw, naipenda sana sauti ya Dina Marios...

Alikua single now ni mama,napia ukipita ktk page yake anasema zion(mwanaye) amembadili sana mfumo wake wa maisha na sasa anafurahi zaidi anapotengeneza mafuta ya nazi(dina marios baby coconut oil) kwa moyo wake wote kwa ajili ya watoto na watu wazima pia,so akili yake imekua focus na ubunifu wa biashara zaidi pia atakuja toa diapers zake so lets keep on supporting this brilliant lady.
 
Kwa hiyo amejitambua baada ya kufukuzwa kazi, si ndiyo?
 
Kwa hiyo amejitambua baada ya kufukuzwa kazi, si ndiyo?

Dina mi mchakarikaji toka zamani,yeye ni founder wa women kitchen party galla and lots of events alikua akifanya,ila pia kuchange taste of career ts nt a crime! pia kipindi cha ujauzito wake ndio hio idea ya kua na brand ya mafuta ya nazi aliipata so ts a way back before kupumzika kazi
 
Hizi figusu zinazoendelea bora Dina ahame kituo,maana kukaa bench muda mrefu nako sio kuzuri kunapoteza na kusahaulika haraka,ni sawa na timu imnunue mchezaji mzuri kwa gharama kubwa hafu hapangwi mechi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…