Dina Marios afunguka bifu lake na Zamaradi Mketema

Tutapata A TO Z kwa Mange, ngoja amalizane na Nacky.
 
Mpola muno Dina! Allah akwebembele...
 
Kwani huyo NchaKali aliwazingua nini?
 
ila kizama minjino kinajisikia sana looooh....kinanichosha mie
 
Hilo neno linatosha kuthibitisha kuna bifu kabisaaaaa yani anamdharau zama::what::what:

Kwi kwi kwi kweli kabisa Anamzarau mke wa boss alitakiwa amnyenyekee adi watoto wake anyenyekee Aya sasa amewekwa benchi Lakin maisha ni popote
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…