Dina Marios afunguka bifu lake na Zamaradi Mketema

Dina Marios afunguka bifu lake na Zamaradi Mketema

Wafanyakaz wa cloudz wengi wanamaumivu moyoni ila ukiwasikiliza wakiwa kwenye vipind unaweza dhania ndio wanafanyakaz wanao-enjoy kuliko wafanyakaz wowote wa radio tz...
Boss wa efm hajamuona dina maana ncha kal yopo efm..
 
Wafanyakaz wa cloudz wengi wanamaumivu moyoni ila ukiwasikiliza wakiwa kwenye vipind unaweza dhania ndio wanafanyakaz wanao-enjoy kuliko wafanyakaz wowote wa radio tz...
Boss wa efm hajamuona dina maana ncha kal yopo efm..

Hata mimi nimekisema hapo awali......na yote hii inasababishwa na mapenzi kazini.Mkisha ruhusu mapenzi kazini basi lazima kuwe na matabaka
 
Cloudz kitu gani swala mezan ni uwezo dina ana uwezo na anaajirika kama vip awapige chin hata wik hamaliz atakuwa ana ajira mpya..
Aachane na wanaoleta mapenz kazin..
 
Back
Top Bottom