huyo mkaka anavutia.. hongera Dina
Hivi siku hizi kuzaa nje ya ndoa ni fashion? au walishaowana hawa?
Huyo ncha kali ndo mume wa Dina?
Ni mzazi mwenzie hawajafunga ndoa bado.
Mbona nasikia huyu ncha kali ana familia yake kabisa, haogopi kujitangaza hivyo au ndoa yake ina ualakini?
Dua,
Nilivyoelewa mimi ikiwa kuna mkataba kati ya IPTL na Kenya, serikali ya tanzania inaweza kufanya uchunguzi kuhusu swala zima kwa sababu IPTL imejisajiri Tanzania. Huu ni upelelezi ndani ya Tanzania hauhusiani na mashtaka ya serikali ya Tanzania. Wale wote waliohusika na deal zima la IPTL wanaweza kuchukuliwa hatua ndani ya Tanzania lakini haihusiani kabisa na madai ya Kenya kuishtaki Tanzania.
Mwanao akiiba dukani na ikadhihirika utamweka chini na hata kumchara za bakora lakini haiwezi kuwa baba ukawa mshikatiwa ati wewe ndiye ulimtuma dukani kununua kitu!
Sidhani kama Ana familia ila ni mtu wa totoz! Hata clouds fm walimuondoa Ali share demu mmoja mwanamuziki wa Kenya na mkurugenzi, akatafutiwa sababu akaondolewa.
Yule dada alimng'ang'ania ile mbaya,sijui alimpa nini mtoto wa kikenya...
Mariya...ameimba na Avril,'Tumekuja Chokoza'.....
Mbona nasikia huyu ncha kali ana familia yake kabisa, haogopi kujitangaza hivyo au ndoa yake ina ualakini?
Yes,Somebody Mustapha....
Ncha kali ndio jina lake halisi,