Dinasours special thead: unajua lolote kuhusu wanyama kale? Tupeane ujuzi.

Dinasours special thead: unajua lolote kuhusu wanyama kale? Tupeane ujuzi.

Sema waliotutangulia kuijua dunia walikuwa wajanja wajanja sana. Vitu vingi walivyokuwa wakihisi, kwetu tumevipa green light
 
Sema waliotutangulia kuijua dunia walikuwa wajanja wajanja sana. Vitu vingi walivyokuwa wakihisi, kwetu tumevipa green light
Mkuu sema sisi tumesaidiwa sana na teknolojia.

Taarifa nyingi zilipotea kwakua hakukua na maandishi badala yake wengi walikua wanasimuliana kama unavyojua mambo ya kusimuliana hayana consistence.

Naona teknolojia ni zawadi kutoka kwa Mungu.

I magine hii coment itasomwa mwaka 2100 wakati sisi sote hatupo duniani the same kama tunavyosoma maandiko ya 2007 hapa JF.
 
Mkuu sema sisi tumesaidiwa sana na teknolojia.

Taarifa nyingi zilipotea kwakua hakukua na maandishi badala yake wengi walikua wanasimuliana kama unavyojua mambo ya kusimuliana hayana consistence.

Naona teknolojia ni zawadi kutoka kwa Mungu.

I magine hii coment itasomwa mwaka 2100 wakati sisi sote hatupo duniani the same kama tunavyosoma maandiko ya 2007 hapa JF.
Yaah, labda na sisi tutakuja kusomwa kama viumbe vya zamani vilivyopotea.
 
Inasemekana kwamba walichanganya changanya mbegu za wanyama ndio maana wakazaana wanyama wa ajabu ajabu...

Ila hawa hawakuwepo wakati wa uumbaji ambao Mwenyezi Mungu aliumba wanyama
 
Inasemekana kwamba walichanganya changanya mbegu za wanyama ndio maana wakazaana wanyama wa ajabu ajabu...

Ila hawa hawakuwepo wakati wa uumbaji ambao Mwenyezi Mungu aliumba wanyama
Nani aliyechanganya mbegu hizo kipindi hiko hata ustawi wa kisayansi haukuwepo?
 
Dinasour huenda walikuwepo kweli, tena wakati wa Nuhu siyo miaka mabilioni yaliopita kama wanasayansi wanavyodai. Gharika ilipokuja ikawaangamiza.

Enzi hizo za Nuhu duniani ili usurvive ilibidi uwe mbabe sana majitu yalikuwa makubwa yalikuwa yanaishi hadi miaka mia tisa. Wakati huo binadamu kufika miaka ya kubalehe ni miaka 250.

Mademu walikuwa wakali sana hadi malaika mbinguni wakawatamani na kushuka kuwagegeda na kuzaa mijitu ya ajabu. Mungu akamaindi akaamua kuleta garika kuwaangamiza.
 
Ila mimi mpaka leo bado najiuliza, binadamu wa enzi hizo waliwezaje kuwamudu wanyama wakubwa hata kuliko miili yao?; Na ukiangalia hata maendeleo ya ubunifu silaha zenye nguvu kama za sasa kuwazuia teknologia jia hiyo haikuwepo.
 
Humu ndani kuna watu mnachekesha
Screenshot_20210507_120343.jpg
 
Ila mimi mpaka leo bado najiuliza, binadamu wa enzi hizo waliwezaje kuwamudu wanyama wakubwa hata kuliko miili yao?; Na ukiangalia hata maendeleo ya ubunifu silaha zenye nguvu kama za sasa kuwazuia teknologia jia hiyo haikuwepo.
Waliweza kuwamudu mkuu tumepewa tuwatawale viumbe vyote
 
Back
Top Bottom