Dini isiwe kikwazo cha mtu kukosa kazi. Kumbuka Mungu haangalii dini ya mtu

Dini isiwe kikwazo cha mtu kukosa kazi. Kumbuka Mungu haangalii dini ya mtu

nyambaterito

Member
Joined
Aug 11, 2022
Posts
51
Reaction score
46
Kuna Mungu kabla ya Dini. Tusibaguane. Moja ya changamoto ambayo ukiiangalia kama haina mashiko makubwa lakini ni moja ya vitu ambavyo watu wanakumbana navyo katika nyanja mbali mbali katika maisha ya kila siku.

Hasahasa pale linapokuja suala la ajira iwe binafsi au serikalini. Najua kwenye serikali mtashtuka kidogo kwa kuwa tunaamini serikali haina dini, Yes ni kwel but waliopo tunaamini wanazo,Sitaki gusia huko tuje hapa kwa sekta binafsi.

Utakuta mtu anakosa kazi kisa ni dini fulani tu na utakuta vigezo anavyo vya kufanya hiyo kazi ila kwa sababu ya dini yake anakosa kazi, hii haipo sawa. Dini isiwe kikwazo cha mtu kukosa kazi. Kumbuka Mungu haangalii dini ya mtu.

Tubadilike na tusaidiane ili tufike kwa pamoja mahala palipo sahihi.MUNGU ATUBALIKI SOTE 🙏🙏
 
Kuna Mungu kabla ya Dini. Tusibaguane. Moja ya changamoto ambayo ukiiangalia kama haina mashiko makubwa lakini ni moja ya vitu ambavyo watu wanakumbana navyo katika nyanja mbali mbali katika maisha ya kila siku.

Hasahasa pale linapokuja suala la ajira iwe binafsi au serikalini. Najua kwenye serikali mtashtuka kidogo kwa kuwa tunaamini serikali haina dini, Yes ni kwel but waliopo tunaamini wanazo,Sitaki gusia huko tuje hapa kwa sekta binafsi.

Utakuta mtu anakosa kazi kisa ni dini fulani tu na utakuta vigezo anavyo vya kufanya hiyo kazi ila kwa sababu ya dini yake anakosa kazi, hii haipo sawa. Dini isiwe kikwazo cha mtu kukosa kazi. Kumbuka Mungu haangalii dini ya mtu.

Tubadilike na tusaidiane ili tufike kwa pamoja mahala palipo sahihi.MUNGU ATUBALIKI SOTE [emoji120][emoji120]
Wanadamu wamejawa ubinafsi na upendeleo.

Vigezo hivyo huaribu ufanisi na utendaji katika kazi..vipingwe marufuku na kukemewa.

#MaendeleoHayanaChama

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Kazi au Ajira? Kazi? Mfano kujiuza nayo ni kazi Sawa je zisibaguliwe? Nafikiri ungechambua na mfano wa kazi
 
Bahati mbaya !! Matabaka hayo dini, ukabila, ukanda hayawezi kuisha ,mkubwa tambua hilo inauma sana .
 
Wabaguzi wakubwa ni serikali yenu ya kigalatia,
Mumejazana huko wagalatia wengiii na kuwanyima waislamu nafasi halafu munamsingizia mzee baharesa?
Nendeni kwa mengi si anauza soda na yeye
Wabaguzi wakubwa
 
Munataka muingie kwenye viwanda vya waislam mulete najisi zenu hukoo,
Nendeni kwa wagalatia wenzenu kwani hawana viwanda?
 
Back
Top Bottom