Dini isiwe kikwazo cha mtu kukosa kazi. Kumbuka Mungu haangalii dini ya mtu

Munataka muingie kwenye viwanda vya waislam mulete najisi zenu hukoo,
Nendeni kwa wagalatia wenzenu kwani hawana viwanda?
Sawa na hizo juis muuziane huko kwenye misikiti na madrasa zenu..mnakubalije kupokea hela za unajisi..kutoka kwa wanajisi.

Nyie ndio mnao kataa kula nyama ya nguruwe ila mchuzi wake mnakunywa..hopeless kabisa.

#MaendeleoHayanaChama

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Wabaguzi wakubwa ni serikali yenu ya kigalatia,
Mumejazana huko wagalatia wengiii na kuwanyima waislamu nafasi halafu munamsingizia mzee baharesa?
Nendeni kwa mengi si anauza soda na yeye
Wabaguzi wakubwa
Hivyo chuki uliyoijaza moyoni mwako..soon utaenda talebani na hivi sasahivi wana kitengo cha wanaojitoa muhanga..hope utapewa ukuu wa kikosi...pole sana.

#MaendeleoHayanaChama

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Hivyo chuki uliyoijaza moyoni mwako..soon utaenda talebani na hivi sasahivi wana kitengo cha wanaojitoa muhanga..hope utapewa ukuu wa kikosi...pole sana.

#MaendeleoHayanaChama

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
Hiyo ni dhana na mbinu iliyofeli,
Endelea kuitumia ila wengi wameishtukia haifanyi kazi saa hii,
Utakavyodhihirisha chuki ndivyo nami nitadhihirisha,
Na ukianza nitamaliza
 
amina
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…