Dini italeta utengano kwa wanafunzi tangu wakiwa wadogo, Tuwe makini

Dini italeta utengano kwa wanafunzi tangu wakiwa wadogo, Tuwe makini

Yesu Anakuja

JF-Expert Member
Joined
Apr 10, 2019
Posts
12,675
Reaction score
25,924
Ni kweli, kwa ajili ya kulinda maadili, wanafunzi/watoto wetu wanapaswa kufundishwa dini. hoja ni wafundishwe wapi? makanisani au shuleni? tukiweka shuleni si tutaleta hadi makazini? zamani nilipokuwa mdogo waalimu wakristo walikuwa wanakuja kutufundisha darasani siku ya jumatano na jumamosi, pia waislam pia walikuwa wanafundishwa, tunagengwa kwenye madarasa kila watu na dini yao. Sekondari nimeenda kila watu na dhehebu lao. lakini haya mambo yalikuja kupotea, nadhani waliona umoja wa kitaifa unakufa. why?

1. kama wakiruhusu dini kufundishwa, kila watu wafundishwe kwa madhehebu yao. mfano, mimi ni mkristo, Mlokole, nisingependa kabisa mtoto wangu afundishwe dini ya padre, aende mchungaji wa kilokole akafundishe wanafunzi walokole.

2. kwenye hizo shule, wagawe madarasa, na wanafunzi wagawanywe, walokole watakuwa na darasa lao, walutherani darasa lao, anglican wanaoruhusu ndoa za mashoga wawe na la kwao, catholics wawe na darasa lao, AIC wawe na darasa lao na kina mwamposa wawe na madarasa yao.

3. Hii ni hatari sana, imeanza kuwatenga watoto kidini tangu wakiwa wadogo kabisa shuleni, wataendelea hivyo hadi watakapokuwa wazee. Samia atakuwa amekuwa rais wa kwanza kuleta utengano kwa minajili ya dini nchini hapa.

4. wale wanafunzi wanaosali pamoja, ndio watakuwa marafiki, ndio watasaidiana makazini wakimaliza shule, na wataonana ndugu kwa minajili ya dhehebu.

5. tunachoogopa zaidi hapa ni "ushoga", dhambi hii ni mbaya sana, lakini tujiulize, eneo kama zanzibar ambako kuna dini sana, almost 99% ni waislam, hao hao wanaong'an'gania tutenge watoto kidini madarasani, mbona ushoga umeshamiri kuliko bara?

6. kwanini watoto wasiruhusiwe kwenda kuswali siku zile za ijumaa, jumamosi na jumapili respectively?

7. kuna seminari za kikristo na kiislam, kama shida ni dini, huko kwenye maseminari utawala ni wenu, si mfundishane izo dini huko?

SAMIA ANAFIKIRI HII NCHI ANAIPELEKA WAPI? KWASABABU WAISLAM WAMETAKA BASI HATA TUKITENGA WATOTO NI POA TU? AU ANAFIKIRI HAPA NI ZANZIBAR? Huku bara tuna dini mbalimbali, na tuna madhehebu mbalimbali, na tumekuwa tukisoma pamoja bila kunyoosheana vidole kwamba huyu ni mpentecoste, huyu mkatoliki, huyu muislam, huyu mlutheran, huyu mni nini na nin, hatuna hiyo.
 
Kwani huko manyumbani, watoto wakiislamu wanapelekwa kanisani? KKKT wanapelekwa RC?

Dini ni mitazamo lazima itofautiane
 
Shida Sio Samia, Ni mfumo tu...Na matatizo yote hapa duniani yameletwa Na siasa pamoja Na dini
sasa yeye akisema dini ifundishwe, mimi mlokole anafikiri nitakubali watoto wangu wafundishwe na kina mwamposa? au mapadre katoliki? au waanglicana wanaosapoti ushoga? nitataka mchungaji mlokole awe anaenda kufundisha watoto wangu huko mashuleni, jambo litakalofanya muda wa dini wanafunzi wanatengana kwenye makundi, kama unavyojua dini tu ya Ukristo ina madhehebu kibao yenye doctrine kibao. utaniambia msabato atapenda afundishwe na mprotestanti au mkatoliki?
 
Kwani huko manyumbani, watoto wakiislamu wanapelekwa kanisani? KKKT wanapelekwa RC?

Dini ni mitazamo lazima itofautiane
hapa sio zanzibar, hayo yafanyeni huko mchambawima. sio Tanganyika. hapa tuna umoja na hatuhitaji kunyoosheana vidole au kutengwa kwa minajili ya dini.
 
Ni kweli, kwa ajili ya kulinda maadili, wanafunzi/watoto wetu wanapaswa kufundishwa dini. hoja ni wafundishwe wapi? makanisani au shuleni? tukiweka shuleni si tutaleta hadi makazini? zamani nilipokuwa mdogo waalimu wakristo walikuwa wanakuja kutufundisha darasani siku ya jumatano na jumamosi, pia waislam pia walikuwa wanafundishwa, tunagengwa kwenye madarasa kila watu na dini yao. Sekondari nimeenda kila watu na dhehebu lao. lakini haya mambo yalikuja kupotea, nadhani waliona umoja wa kitaifa unakufa. why?

1. kama wakiruhusu dini kufundishwa, kila watu wafundishwe kwa madhehebu yao. mfano, mimi ni mkristo, Mlokole, nisingependa kabisa mtoto wangu afundishwe dini ya padre, aende mchungaji wa kilokole akafundishe wanafunzi walokole.

2. kwenye hizo shule, wagawe madarasa, na wanafunzi wagawanywe, walokole watakuwa na darasa lao, walutherani darasa lao, anglican wanaoruhusu ndoa za mashoga wawe na la kwao, catholics wawe na darasa lao, AIC wawe na darasa lao na kina mwamposa wawe na madarasa yao.

3. Hii ni hatari sana, imeanza kuwatenga watoto kidini tangu wakiwa wadogo kabisa shuleni, wataendelea hivyo hadi watakapokuwa wazee. Samia atakuwa amekuwa rais wa kwanza kuleta utengano kwa minajili ya dini nchini hapa.

4. wale wanafunzi wanaosali pamoja, ndio watakuwa marafiki, ndio watasaidiana makazini wakimaliza shule, na wataonana ndugu kwa minajili ya dhehebu.

5. tunachoogopa zaidi hapa ni "ushoga", dhambi hii ni mbaya sana, lakini tujiulize, eneo kama zanzibar ambako kuna dini sana, almost 99% ni waislam, hao hao wanaong'an'gania tutenge watoto kidini madarasani, mbona ushoga umeshamiri kuliko bara?

6. kwanini watoto wasiruhusiwe kwenda kuswali siku zile za ijumaa, jumamosi na jumapili respectively?

7. kuna seminari za kikristo na kiislam, kama shida ni dini, huko kwenye maseminari utawala ni wenu, si mfundishane izo dini huko?

SAMIA ANAFIKIRI HII NCHI ANAIPELEKA WAPI? KWASABABU WAISLAM WAMETAKA BASI HATA TUKITENGA WATOTO NI POA TU? AU ANAFIKIRI HAPA NI ZANZIBAR? Huku bara tuna dini mbalimbali, na tuna madhehebu mbalimbali, na tumekuwa tukisoma pamoja bila kunyoosheana vidole kwamba huyu ni mpentecoste, huyu mkatoliki, huyu muislam, huyu mlutheran, huyu mni nini na nin, hatuna hiyo.
Ndo shida ya kuleta rais hajui tanganyika tunaishije yeye kwake zanzibar waislam 99% kukiwa na masomo ya dini hakuna shida

Sasa tanganyika tuna mchanganyiko mno hapa akianza kuleta haya mambo atachnganya sana

Huyu mama hafai kuwa rais wa tanzania labda zanzibar
 
Shida Sio Samia, Ni mfumo tu...Na matatizo yote hapa duniani yameletwa Na siasa pamoja Na dini
Kwahili samia hakwepi,kuingiza dini kwenye mitaala ya kielimu ni maelekezo aliyopewa uarabuni,lengo kuu ni kuleta utengamo wa kidini ili iwe rahisi waarabu kutawala tena,huoni sakata la dp world liikuaje.
 
Back
Top Bottom