johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Siasa na Dini zinafanya kazi moja tu ya kuwaunganisha binadamu kwa njia ya kuwatawala ili kuwaletea maendeleo ya kimwili na ya kiroho.
Kiongozi wa dini siyo lazima awe anamuamini Mungu ndio maana kuna dini ya shetani.
Hivyo hakuna tatizo lolote endapo viongozi wa dini wataamua kuungana na mfumo fulani wa viongozi wa kisiasa ambao kupitia kwao wanaamini haki ya binadamu ya kuishi kwa salama na kujipatia maendeleo ya kimwili na ya kiroho itapatikana kwa pamoja
Kanisa ni Ufalme na mfalme ni Yesu Kristo, hivyo mahusiano ya mtu na Mungu ni ya moja kwa !moja kwa sababu njia ya kumfikia Mungu ni Yesu mwenyewe siyo dini.
Yesu alisema " mimi ndio iNjia Kweli na Uzima "
Hivyo viongozi wa dini kukutana na wanasiasa ni jambo jema tena la kawaida kabisa kwani nao ni binadamu wanaoishi.
Maendeleo hayana vyama!
Kiongozi wa dini siyo lazima awe anamuamini Mungu ndio maana kuna dini ya shetani.
Hivyo hakuna tatizo lolote endapo viongozi wa dini wataamua kuungana na mfumo fulani wa viongozi wa kisiasa ambao kupitia kwao wanaamini haki ya binadamu ya kuishi kwa salama na kujipatia maendeleo ya kimwili na ya kiroho itapatikana kwa pamoja
Kanisa ni Ufalme na mfalme ni Yesu Kristo, hivyo mahusiano ya mtu na Mungu ni ya moja kwa !moja kwa sababu njia ya kumfikia Mungu ni Yesu mwenyewe siyo dini.
Yesu alisema " mimi ndio iNjia Kweli na Uzima "
Hivyo viongozi wa dini kukutana na wanasiasa ni jambo jema tena la kawaida kabisa kwani nao ni binadamu wanaoishi.
Maendeleo hayana vyama!