Macbook pro
JF-Expert Member
- Jul 15, 2020
- 722
- 1,030
- Thread starter
- #21
Kwahiyo ikitokea mmojabwapo akawa anafuata dini ila mmoja akawa yuko tofauti na akawa mtu wa kumnyanyasa huyu ambaye anafuata dini je anatakiwa abaki akiteswa nabkunyanyaswa na imani yake na kuata imani yakeDini inataka mwanamke amtii mmewe,mume ampende mkewe.mume ni kichwa Cha familia,aliye asisi ndoa aliweka misingi isipofatwa ni lazima migogoro itokee.
Hapo kosa Sio dini bali wanadini kutofata miongozo.