Dini ni kwa ajili ya "Low minded people", Genius can't be trapped!

Ukiona mtu anayejifanya ana dini anatukana jua kabisa ni useless huyo na yale yaliyomo kwa dini aaminiyo ni upuuzi! jamaa ajitafakari
 
Hizi elimu zenu za shule za kata zina wajaza ujinga sana kama mambo huyajui ni bora kuyaacha yalivyo ndugu.
 
Naomba unijibu, Kama Yesu alikuja kuukomboa ulimwengu na dhambi zake, kwa nini bado dhambi zipo kibao?

Kama Yesu ni muweza yote, na anajua kila kitu kwa nini asizifute dhambi kabisaaa as his mission was na dunia iondokane na vita, njaa, umasikini, ujinga na maradhi?

Kwa nini Muweza yote aumbe dunia yenye matabaka?

Kwa nini aumbe binadamu dhaifu halafu amhukumu kwenda motoni wkt anajua ni dhaifu?

Kwa nini amuumbe shetani anayemzidi nguvu binadamu halafu ampe ndo akawe kipimo cha kuingia mbinguni?
 
Basi kama unajibu hebu nijibu kwa hilo..

Ukitoka hapo nenda kwenye uzao wa yesu unijibu kwanini kuna contradiction
Mkuu,
Kwa heshima yako naomba upumzike hapa hakuna wa level zako hata mmoja yaani Kama mtu anafatilia majibu yako na huyo jamaa unayemjibu hupaswi kuendelea kufanya hivyo.

Hata sisi tunaojifunza tumeliona hilo, mtu akiamua kuwa mpumbavu achana nae ila jua tu umetuelimisha wengi.

Huyo jamaa unaye argue naye kuna mtu mmoja anaitwa kiranga ashasemaga kapoteza privilege ya kuongea nae. Ni Ana kichwa kigumu japo ni mtu anaonekana anafahamu pia maswala ya dini ila hataki kukubali.

Upumzike mkuu.
 
Hizi elimu zenu za shule za kata zina wajaza ujinga sana kama mambo huyajui ni bora kuyaacha yalivyo ndugu.
Hizo hizo shule za kata ndo zinaijenga nchi...jibu hoja acha makasiriko!

Kuyaacha yalivyo ni kuukosea heshima ubongo!
 
Japo naweza kuwa baba ako wa kukuzaa haya nimekubali mie ni mdogo ako...

...jambo la uongo likikubaliwa na watu milion 100 bado haliondoi ukweli kuwa ni la uongo!

Pole, kajibu hoja!
 
Maswali yako yote ni ya kitoto sana ila nitakujibu hivyo hivyo na utoto wako

1. Mshahara wa dhambi ni mauti, lakini ukimwamini Yesu hakuna mauti, utapata neema na rehema.

Dhambi zipo ili kulinda ustawi wa jamii

2. Ndiyo Yesu alifuta dhambi zote pale msalabani, ndiyo maana hatuna kafara tena za wanyama zaidi ya damu na Jina la Yesu

Vita, maradhi, umaskini, na ujinga ni mambo ya kibinadamu na Mungu amempa UWEZO binadamu wa kushughulika na haya yote.

3. MATABAKA yapo ili maisha yawezekane, bila MATABAKA hakuna maisha. Imagine kila mtu awe Tajiri nani atakubali kuajiriwa? Hakuna boss anaweza kufanya kazi zake mwenyewe. Hata vidole vya mikono yako mwenyewe havifanani ukubwa wake

4. Binadamu siyo dhaifu, udhaifu ni matokeo ya binadamu kutotumia akili yake sawa sawa.

5. Shetani hajamzidi nguvu binadamu, Shetani ni dhaifu sana mbele ya binadamu, tatizo binadamu hajuwi jinsi alivyo na nguvu nyingi
 
😂😂😂Hata ukifanya siku moja kuwa miaka buku bado bible imekosea so we jikoshe tu na upuuzi wako...maana naona Yesu alivyokufa na kufufuka zilikuwa siku elfu tatu zile au sio
We jamaa Una matatizo Gani Lakin
 
😂😂😂Hata ukifanya siku moja kuwa miaka buku bado bible imekosea so we jikoshe tu na upuuzi wako...maana naona Yesu alivyokufa na kufufuka zilikuwa siku elfu tatu zile au sio
Kwanini Bible ikosee, wakati ni kitabu kilochotoka Kwa mungu,?

Je mungu anakosea,? Je ni mitume wake ndio wanao kosea? ,na ni kwanini mitume wa mungu wakosee maagizo walio pewa na mungu.?

Je mungu anajua Haya makosa ,yaliotokea ?, Je mungu amechukua HATUA Gani kuthibiti Haya makosa.?

Je mungu anatambua Athari zitokanazo na makosa yaliyopo kwenye kitabu chake cha Bible?

Au tusema mungu kaacha Bora liende,je nani atakaye laumiwa baadae?
 
Majibu yake ni mepesi sana sema kwa sasa kunakazi nafanya nitakujibu baadae
 
Uumbaji awajawai kuupinga wao wanasema big bang ndiyo iliyoumba kila kitu
 
Mkuu unajua scientists wengi walikuwa Christians na walimwamini Mungu?
mf.Galileo Galilei, Johaness Kepler, Gregor Mendel, Robert Boyle,James Maxwel,Braise Pascal, John Fleming, George Washington Craver, nk
Tafuta historia ya hawa jama then utakuja kuleta mrejesho hapa.
Changamoto iliyopo ni kuwa nchi zilizoendelea baada ya mapinduzi ya viwanda zilitumia dini kutu colonize kwa maslahi yao!
 
Umejibu sawa na kile ulicholishwa na viongozi wako wa dini....

Nothing tangible, nothing involved brain cracking!

Namba 4, Yes! ina-hold water!

Majibu mengine ulotoa yanaonesha namna ambavyo imani inakinzana na nguvu za huyo Supernatural unayemuamini!
 
Asee nimewasoma sana hawa jamaa, wengi baada ya kuona dini inawa-pollute hasa baada ya tafiti zao nyingi kuja na majawabu sahihi na ambayo yanatofautiana na explanations za vitabu vya dini waliachana na imani zisizo na maana.

Utakaowakuta kwenye dini wapo na projects zao na mambo ya imani hawana habari nazo!
 
Mkuu unajua hata ukoo wake yesu pia ni contradictory ...watu waliotajwa kama babu wa yesu Wengine hawakuwahi kuwepo kabisa duniani 😅😅
😓Mara heli Mara Jacob..😂kwanza uzao wa Yesu unatakiwa uende kwa Mariam coz mbegu ya Joseph haihusiki Kama Mariam ni bikra .😅Ila sijui walisahau hilo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…