Dini ni kwa ajili ya "Low minded people", Genius can't be trapped!

Dini ni kwa ajili ya "Low minded people", Genius can't be trapped!

Unajua tatizo lako kubwa Hta kama una hoja ni nini?
Haina ulazima kutukana kila unapowasilisha hoja zako...
Kutukana hakukufanyi kuonekana una hoja sana bali kuna kudhalilisha.....
Kuna wengine Sio watoto wala vijana kama wewe...
Tunachopenda ni kujibu hoja ya mtu mwenye staha na anayrjua kutoa hoja bila kutukana ...

So nakufunza kitu ukiwa kwenye kuwasilisha hoja Zuia Hisia kukutawala na Hasira Kuwa na Uvumilivu wa hoja ya mwenzako kama una la kuipinga jitahid kutumia Lugha nzuri...
Asante it was nice talking to you...
Ukiona mtu anayejifanya ana dini anatukana jua kabisa ni useless huyo na yale yaliyomo kwa dini aaminiyo ni upuuzi! jamaa ajitafakari
 
Yes, dini ni kwa ajili ya watu wasio na ufikiri sahihi. Dini ina vitu ambavyo ni vya watu wa akili za chini sana.

Vitabu vyote vya dini vina michanganyo isiyohitaji hata kutumia nguvu kujua kuwa "hapa tumepigwa na tunaendelea kupigwa"

Sayansi imejibu maswali mengi sana ambayo dini ilishindwa kuyajibu na kuishia kuwaambia wafuasi waamini tu bila kuona!

Sayansi imetibu magonjwa complex ambayo dini haijawahi hata kuyagusa, inaishia kujipenyeza kitapeli tu.

Mf katika mgogoro wa leo wa Gaza, dunia imegawanyika. Watu wasio na uelewa wanaishia kuchagua upande wa dini A na dini B. Wale wanaoiunga mkono Israel kwa kisa cha dini ya ukristo wajue kuwa % kubwa ya waisrael hawaamini ktk dini na Marekani 86% hawana dini. Pale kinachogombewa ni Maslahi tu!

Dini zetu tungeachana nazo tungekuwa na maendeleo makubwa. Mf China na Nchi za Ulimwengu wa kwanza, nyingi zimeachana na mambo ya dini na zinaendelea sana.

Watu wanavumbua issues za drones, AI na mirobotic machines kibao we unakesha kanisani eti uwe millionea, sijui upate mtoto real?

Unalala na vichupa vya maji sijui chumvi na mafuta ya upako upate gari, are u serious?

Nilikua namsikiliza Shehe/Maalim mmoja anasema wale kunguni wa Ufaransa ni jeshi la Allah limekuja kuwaangamiza kisa wana madhambi...are we real serious?

Dini zina mfumo ambao Unatufanya "tuwe limited" kwenye ufikiri na uvumbuzi.

Live your live, Death is the Ending game! Dini ni ulaji wao!

Atheists make sense than who are not
Hizi elimu zenu za shule za kata zina wajaza ujinga sana kama mambo huyajui ni bora kuyaacha yalivyo ndugu.
 
Sawa wewe umechanganya ufalme aliouleta yesu kristo na ufalme wa siku ya kiama ...kumbuka yesu aliulizwa wewe ni mfalme yeye akajibu...alizaliwa kwa ajili hiyo ila ufalme wake siyo wa dunia hii ...ndipo pilato akamwambia basi wewe ni mfalme ? Kitu usicho kijua wewe ni kwamba kuna ufalme wa yesu kikristo kuja kukomboa dunia na kuna ufalme wa yesu kristo kuja kuhukumu dunia hapo ufalme ambao ana uzungumzia yesu ni ule wawa kuja kuikomboa dunia ndiyo huo ambao herode aliua mamia ya watoto ili kumuua yesu ...hivyo yesu anapo sema upo ndani yenu maana yake ni kumpokea yeye moyoni awe bwana na mwokozi ...ni kitu cha moyoni ...hata Yesu mwenyewe anasema nitakuja nikae ndani yenu ....ila kuhusu ufalme wa kuja yesu mara ya pili huo ndiyo ule wa kihama kila jicho litaona na kila goti litapigwa


TATIZO UMESHINDWA KUJUA TOFAUTI YA UFALME WA YESU KUJA MARA YA KWANZA NA UFALME WA YESU KUJA MARA YA PILI
Naomba unijibu, Kama Yesu alikuja kuukomboa ulimwengu na dhambi zake, kwa nini bado dhambi zipo kibao?

Kama Yesu ni muweza yote, na anajua kila kitu kwa nini asizifute dhambi kabisaaa as his mission was na dunia iondokane na vita, njaa, umasikini, ujinga na maradhi?

Kwa nini Muweza yote aumbe dunia yenye matabaka?

Kwa nini aumbe binadamu dhaifu halafu amhukumu kwenda motoni wkt anajua ni dhaifu?

Kwa nini amuumbe shetani anayemzidi nguvu binadamu halafu ampe ndo akawe kipimo cha kuingia mbinguni?
 
Basi kama unajibu hebu nijibu kwa hilo..

Ukitoka hapo nenda kwenye uzao wa yesu unijibu kwanini kuna contradiction
Mkuu,
Kwa heshima yako naomba upumzike hapa hakuna wa level zako hata mmoja yaani Kama mtu anafatilia majibu yako na huyo jamaa unayemjibu hupaswi kuendelea kufanya hivyo.

Hata sisi tunaojifunza tumeliona hilo, mtu akiamua kuwa mpumbavu achana nae ila jua tu umetuelimisha wengi.

Huyo jamaa unaye argue naye kuna mtu mmoja anaitwa kiranga ashasemaga kapoteza privilege ya kuongea nae. Ni Ana kichwa kigumu japo ni mtu anaonekana anafahamu pia maswala ya dini ila hataki kukubali.

Upumzike mkuu.
 
Hizi elimu zenu za shule za kata zina wajaza ujinga sana kama mambo huyajui ni bora kuyaacha yalivyo ndugu.
Hizo hizo shule za kata ndo zinaijenga nchi...jibu hoja acha makasiriko!

Kuyaacha yalivyo ni kuukosea heshima ubongo!
 
-ndio maana nawakubali sana watu wanaopenda kukaa kimya, kama kichwani huna kitu kaa kimya,
-anajitokeza dogo mmoja nyuma ya button na kusema vizazi na vizazi huko miaka 3000 ilopita yaani wafuasi wa dini mbali mbali ni lowminded pipo,
-sababu tu huyo dogo ameingia google na kupata maandishi kutoka kwa wahuni wa dunia hii
-dogo dini ni kwa watu wenye akili timamu wanaojua kuna mwanzo na mwisho kuna mwanga na giza,
-dogo hata kizazi ulichotoka wewe wapo mababu zako wanaishi kwenye ulimwengu ambao wewe huwezi kuona sababu kwanza hata hujui kua dini kupitia imani ndio kuna milango ya kwenda huko.
-dogo dini ni kitu kipo na kwa watu wote chagua unayotaka,
-hata usipochagua dini matendo yako na mambo yako yatakuchagulia dini kwenye ulimwengu usioona wewe
-mwisho uwe unakaa kimya usiniambie mimi mababu zangu wa miaka 5000 ilopita walokua wafuasi wa dini zao ni lowminded.
Japo naweza kuwa baba ako wa kukuzaa haya nimekubali mie ni mdogo ako...

...jambo la uongo likikubaliwa na watu milion 100 bado haliondoi ukweli kuwa ni la uongo!

Pole, kajibu hoja!
 
Naomba unijibu, Kama Yesu alikuja kuukomboa ulimwengu na dhambi zake, kwa nini bado dhambi zipo kibao?

Kama Yesu ni muweza yote, na anajua kila kitu kwa nini asizifute dhambi kabisaaa as his mission was na dunia iondokane na vita, njaa, umasikini, ujinga na maradhi?

Kwa nini Muweza yote aumbe dunia yenye matabaka?

Kwa nini aumbe binadamu dhaifu halafu amhukumu kwenda motoni wkt anajua ni dhaifu?

Kwa nini amuumbe shetani anayemzidi nguvu binadamu halafu ampe ndo akawe kipimo cha kuingia mbinguni?
Maswali yako yote ni ya kitoto sana ila nitakujibu hivyo hivyo na utoto wako

1. Mshahara wa dhambi ni mauti, lakini ukimwamini Yesu hakuna mauti, utapata neema na rehema.

Dhambi zipo ili kulinda ustawi wa jamii

2. Ndiyo Yesu alifuta dhambi zote pale msalabani, ndiyo maana hatuna kafara tena za wanyama zaidi ya damu na Jina la Yesu

Vita, maradhi, umaskini, na ujinga ni mambo ya kibinadamu na Mungu amempa UWEZO binadamu wa kushughulika na haya yote.

3. MATABAKA yapo ili maisha yawezekane, bila MATABAKA hakuna maisha. Imagine kila mtu awe Tajiri nani atakubali kuajiriwa? Hakuna boss anaweza kufanya kazi zake mwenyewe. Hata vidole vya mikono yako mwenyewe havifanani ukubwa wake

4. Binadamu siyo dhaifu, udhaifu ni matokeo ya binadamu kutotumia akili yake sawa sawa.

5. Shetani hajamzidi nguvu binadamu, Shetani ni dhaifu sana mbele ya binadamu, tatizo binadamu hajuwi jinsi alivyo na nguvu nyingi
 
😂😂😂Hata ukifanya siku moja kuwa miaka buku bado bible imekosea so we jikoshe tu na upuuzi wako...maana naona Yesu alivyokufa na kufufuka zilikuwa siku elfu tatu zile au sio
We jamaa Una matatizo Gani Lakin
 
😂😂😂Hata ukifanya siku moja kuwa miaka buku bado bible imekosea so we jikoshe tu na upuuzi wako...maana naona Yesu alivyokufa na kufufuka zilikuwa siku elfu tatu zile au sio
Kwanini Bible ikosee, wakati ni kitabu kilochotoka Kwa mungu,?

Je mungu anakosea,? Je ni mitume wake ndio wanao kosea? ,na ni kwanini mitume wa mungu wakosee maagizo walio pewa na mungu.?

Je mungu anajua Haya makosa ,yaliotokea ?, Je mungu amechukua HATUA Gani kuthibiti Haya makosa.?

Je mungu anatambua Athari zitokanazo na makosa yaliyopo kwenye kitabu chake cha Bible?

Au tusema mungu kaacha Bora liende,je nani atakaye laumiwa baadae?
 
Naomba unijibu, Kama Yesu alikuja kuukomboa ulimwengu na dhambi zake, kwa nini bado dhambi zipo kibao?

Kama Yesu ni muweza yote, na anajua kila kitu kwa nini asizifute dhambi kabisaaa as his mission was na dunia iondokane na vita, njaa, umasikini, ujinga na maradhi?

Kwa nini Muweza yote aumbe dunia yenye matabaka?

Kwa nini aumbe binadamu dhaifu halafu amhukumu kwenda motoni wkt anajua ni dhaifu?

Kwa nini amuumbe shetani anayemzidi nguvu binadamu halafu ampe ndo akawe kipimo cha kuingia mbinguni?
Majibu yake ni mepesi sana sema kwa sasa kunakazi nafanya nitakujibu baadae
 
Wanasayansi wote wanakubali uumbaji????

Haya, huyu unayemjibu ni mwanasayansi, huoni ka unajichanganya?

Mwanasayansi A akiamini uumbaji haimaanini na B anaamini.

Mwanasayansi anayeamini uumbaji naye kapotoka...ameacha vile alivyosoma na kupractise na kuukabidhi ubongo kwa matapeli
Uumbaji awajawai kuupinga wao wanasema big bang ndiyo iliyoumba kila kitu
 
Mkuu unajua scientists wengi walikuwa Christians na walimwamini Mungu?
mf.Galileo Galilei, Johaness Kepler, Gregor Mendel, Robert Boyle,James Maxwel,Braise Pascal, John Fleming, George Washington Craver, nk
Tafuta historia ya hawa jama then utakuja kuleta mrejesho hapa.
Changamoto iliyopo ni kuwa nchi zilizoendelea baada ya mapinduzi ya viwanda zilitumia dini kutu colonize kwa maslahi yao!
 
Maswali yako yote ni ya kitoto sana ila nitakujibu hivyo hivyo na utoto wako

1. Mshahara wa dhambi ni mauti, lakini ukimwamini Yesu hakuna mauti, utapata neema na rehema.

Dhambi zipo ili kulinda ustawi wa jamii

2. Ndiyo Yesu alifuta dhambi zote pale msalabani, ndiyo maana hatuna kafara tena za wanyama zaidi ya damu na Jina la Yesu

Vita, maradhi, umaskini, na ujinga ni mambo ya kibinadamu na Mungu amempa UWEZO binadamu wa kushughulika na haya yote.

3. MATABAKA yapo ili maisha yawezekane, bila MATABAKA hakuna maisha. Imagine kila mtu awe Tajiri nani atakubali kuajiriwa? Hakuna boss anaweza kufanya kazi zake mwenyewe. Hata vidole vya mikono yako mwenyewe havifanani ukubwa wake

4. Binadamu siyo dhaifu, udhaifu ni matokeo ya binadamu kutotumia akili yake sawa sawa.

5. Shetani hajamzidi nguvu binadamu, Shetani ni dhaifu sana mbele ya binadamu, tatizo binadamu hajuwi jinsi alivyo na nguvu nyingi
Umejibu sawa na kile ulicholishwa na viongozi wako wa dini....

Nothing tangible, nothing involved brain cracking!

Namba 4, Yes! ina-hold water!

Majibu mengine ulotoa yanaonesha namna ambavyo imani inakinzana na nguvu za huyo Supernatural unayemuamini!
 
Mkuu unajua scientists wengi walikuwa Christians na walimwamini Mungu?
mf.Galileo Galilei, Johaness Kepler, Gregor Mendel, Robert Boyle,James Maxwel,Braise Pascal, John Fleming, George Washington Craver, nk
Tafuta historia ya hawa jama then utakuja kuleta mrejesho hapa.
Changamoto iliyopo ni kuwa nchi zilizoendelea baada ya mapinduzi ya viwanda zilitumia dini kutu colonize kwa maslahi yao!
Asee nimewasoma sana hawa jamaa, wengi baada ya kuona dini inawa-pollute hasa baada ya tafiti zao nyingi kuja na majawabu sahihi na ambayo yanatofautiana na explanations za vitabu vya dini waliachana na imani zisizo na maana.

Utakaowakuta kwenye dini wapo na projects zao na mambo ya imani hawana habari nazo!
 
Mkuu unajua hata ukoo wake yesu pia ni contradictory ...watu waliotajwa kama babu wa yesu Wengine hawakuwahi kuwepo kabisa duniani 😅😅
😓Mara heli Mara Jacob..😂kwanza uzao wa Yesu unatakiwa uende kwa Mariam coz mbegu ya Joseph haihusiki Kama Mariam ni bikra .😅Ila sijui walisahau hilo
 
Back
Top Bottom