Dini ni kwa ajili ya "Low minded people", Genius can't be trapped!

Dini ni kwa ajili ya "Low minded people", Genius can't be trapped!

Usiseme mungu sema energy ilitoka wapi maana pasipo energy hakuna mungu wala chochote kwa sababu hata mungu ni energy (roho)
Wewe si ulisema Energy imekuwepo milele halafu tena unasema Mungu kaumba Dunia?

Kivipi?

Kama dunia na yenyewe ni energy, pia ipo milele.
 
Wewe si ulisema Energy imekuwepo milele halafu tena unasema Mungu kaumba Dunia?

Kivipi?

Kama dunia na yenyewe ni energy, pia ipo milele.
Kila kitu kipo milele hata wewe ulikuwepo milele hakuna kinacho oza wala kuteketea ila vinabadilika tu hii ni kisanyansi pia ila nimesema art of energy ndiyo uumbaji wa mungu
 
Kila kitu kipo milele hata wewe ulikuwepo milele hakuna kinacho oza wala kuteketea ila vinabadilika tu hii ni kisanyansi pia ila nimesema art of energy ndiyo uumbaji wa mungu
Mungu huyo aliumbwa na nani?
 
Mungu huyo aliumbwa na nani?
Mungu siyo art of energy sisi ndiyo art of energy God is pure energy ajaumbwa yupo milele...mnanichosha endeleeni kujifunza wenyewe mtajua ninacho sema god is the pure energy (nuru halisi)
 
Yes, dini ni kwa ajili ya watu wasio na ufikiri sahihi. Dini ina vitu ambavyo ni vya watu wa akili za chini sana.

Vitabu vyote vya dini vina michanganyo isiyohitaji hata kutumia nguvu kujua kuwa "hapa tumepigwa na tunaendelea kupigwa"

Sayansi imejibu maswali mengi sana ambayo dini ilishindwa kuyajibu na kuishia kuwaambia wafuasi waamini tu bila kuona!

Sayansi imetibu magonjwa complex ambayo dini haijawahi hata kuyagusa, inaishia kujipenyeza kitapeli tu.

Mf katika mgogoro wa leo wa Gaza, dunia imegawanyika. Watu wasio na uelewa wanaishia kuchagua upande wa dini A na dini B. Wale wanaoiunga mkono Israel kwa kisa cha dini ya ukristo wajue kuwa % kubwa ya waisrael hawaamini ktk dini na Marekani 86% hawana dini. Pale kinachogombewa ni Maslahi tu!

Dini zetu tungeachana nazo tungekuwa na maendeleo makubwa. Mf China na Nchi za Ulimwengu wa kwanza, nyingi zimeachana na mambo ya dini na zinaendelea sana.

Watu wanavumbua issues za drones, AI na mirobotic machines kibao we unakesha kanisani eti uwe millionea, sijui upate mtoto real?

Unalala na vichupa vya maji sijui chumvi na mafuta ya upako upate gari, are u serious?

Nilikua namsikiliza Shehe/Maalim mmoja anasema wale kunguni wa Ufaransa ni jeshi la Allah limekuja kuwaangamiza kisa wana madhambi...are we real serious?

Dini zina mfumo ambao Unatufanya "tuwe limited" kwenye ufikiri na uvumbuzi.

Live your live, Death is the Ending game! Dini ni ulaji wao!

Atheists make sense than who are not

Basi wewe unataka kutuyumbisha kwa kusema Mungu hayupo kwa kuwapongeza Atheists. Na kama ni hivyo niambie saali hili tu na roho yangu itatulia: Mwanzo au asili ya viumbe wote na taratibu zao za maisha nani aliweka iwe hivyo. Ndege dune anamjua ndege jike, ndege jike anawajua watoto wake na hata kuwatebgebezea kiota na kuwaficha ili adui asiwaone hadi wanakuwa wakubwa na kuanza kuruka n.k.
 
Basi wewe unataka kutuyumbisha kwa kusema Mungu hayupo kwa kuwapongeza Atheists. Na kama ni hivyo niambie saali hili tu na roho yangu itatulia:

Mwanzo au asili ya viumbe wote na taratibu zao za maisha nani aliweka iwe hivyo.
Hakuna mwanzo wa viumbe wala hakuna aliyeweka viumbe duniani.

Kama ulazima wa kwamba viumbe vina mwanzo na kwamba vimewekwa hata Mungu huyo lazima awe na mwanzo.

Mungu huyo hawezi kutokea tu from nothing akawa mwanzo wa viumbe na dunia.

Je Mungu huyo kabla ya kuumba Dunia na viumbe alikuwa wapi?

Na huko alikokuwa kulitoka wapi?
Ndege dune anamjua ndege jike, ndege jike anawajua watoto wake na hata kuwatebgebezea kiota na kuwaficha ili adui asiwaone hadi wanakuwa wakubwa na kuanza kuruka n.k.
 
Hakuna mwanzo wa viumbe wala hakuna aliyeweka viumbe duniani.

Kama ulazima wa kwamba viumbe vina mwanzo na kwamba vimewekwa hata Mungu huyo lazima awe na mwanzo.

Mungu huyo hawezi kutokea tu from nothing akawa mwanzo wa viumbe na dunia.

Je Mungu huyo kabla ya kuumba Dunia na viumbe alikuwa wapi?

Na huko alikokuwa kulitoka wapi?

Kwa hiyo huyo mtoto wako ambaye unamvalisha hadi pampasi au ulivyovalishwa wewe hadi ukajakuwa mtu mzima unajitambua na kuandika haya, unataka kusema mtu au watu wawili wa kwanza duniani walitoka wapi? Walikikuza wenyewe from nowhere au ilikuwaje , maana mtoto hukuzwa mpaka aje awe mtu mzima. Je, yule mtu wa kwanza alijikuzaje na alitoka wapi? Jobu hapo tu!
 
Mtoa mada nafikiri unachanganya dini na Mungu, dini ni namna kikundi fulani cha watu kinavyotafsiri jinsi Mungu (au Miungu) alivyo na namna ya kuishi kuendana na maagizo ya Mungu huyo.
Dini hasa ya kikristo ni dini ambayo imekuwa ikitumika na watu wachache wanaoibuka huko wanakotoka na kudanganya watu kutokana na tafsiri ya biblia au mazingaombwe wanayofanya. Watu wengi huchukuliwa kiakili na chochote wanachoambiwa kwa sababu huaminishwa kuwa ndivyo Mungu atakavyo na kujaribu kufikiri au kuuliza kinyume na hapo ni makosa (au hata kufuru) hivyo watu huingiwa na woga na kujikuta wakienda kama kondoo wakifanya na kuamini chochote wanachoambiwa.

Mungu ni kitu kingine na amekuwa akitafsiriwa tofauti tofauti katika nyakati tofauti na watu tofauti kujaribu kupata kupata hasa ya sababu ya kwanini vitu vilivyo jinsi vilivyo?, sababu ya uhai na maisha, tabia na uhusiano wa vitu tofauti tofauti unaowezesha vitu vyote hivi viweze kutegemeana na kufanya kazi bila kuharibu kitu.

Nionavyo mimi, bado sisi kama binadamu hatujaweza kupata majibu ya haya maswali na hvyo kusema Mungu hayupo bila kuwa na majibu ya maswali ni uongo, ingawa nakubaliana kwamba kuendekeza sana dini na kupenda miujiza bila jitihada inatugharimu sana.
 
Kwa hiyo huyo mtoto wako ambaye unamvalisha hadi pampasi au ulivyovalishwa wewe hadi ukajakuwa mtu mzima unajitambua na kuandika haya, unataka kusema mtu au watu wawili wa kwanza duniani walitoka wapi? Walikikuza wenyewe from nowhere au ilikuwaje , maana mtoto hukuzwa mpaka aje awe mtu mzima. Je, yule mtu wa kwanza alijikuzaje na alitoka wapi? Jobu hapo tu!
Hakuna mtu wa kwanza.

Hakuna sehemu yeyote Binadamu alipotokea.

Binadamu amekuwepo milele hana mwanzo wala mwisho.

Hakuna wakati ambao Binadamu hakuwepo halafu ghafla akawepo.
 
Kuna jamaa hapo juu Lwiva anasema Mungu naye ni Energy.

Halafu anasema Mungu ndiye kaumba Dunia.

Na dunia ni energy pia.

Sasa kama "Mungu na Dunia" ni Energy, Na Energy cannot be created or destroyed but can be transformed from one form to another.

Iweje aseme Mungu(energy) ndiye Muumbaji wa Dunia ambayo pia ni Energy?

Tayari ana ji Contradict mwenyewe.[emoji28]

Hoja zao za uwepo wa Mungu niza kuunga unga kwa vile Mungu huyo hayupo.
Nimemsoma bandiko lake, kimsingi anakosa hoja.

Endelea kumpa dozi labda atafuta ujinga
 
Mungu siyo art of energy sisi ndiyo art of energy God is pure energy ajaumbwa yupo milele...mnanichosha endeleeni kujifunza wenyewe mtajua ninacho sema god is the pure energy (nuru halisi)
Pure energy ndio nini?
 
Hakuna mwanzo wa viumbe wala hakuna aliyeweka viumbe duniani.

Kama ulazima wa kwamba viumbe vina mwanzo na kwamba vimewekwa hata Mungu huyo lazima awe na mwanzo.

Mungu huyo hawezi kutokea tu from nothing akawa mwanzo wa viumbe na dunia.

Je Mungu huyo kabla ya kuumba Dunia na viumbe alikuwa wapi?

Na huko alikokuwa kulitoka wapi?
Watu wanauliza maswali ya kitoto sana.
Ndio average IQ ya wafia dini au shule ni ndogo?
 
Dhambi umetenda mwenyewe kwa utashi wako ....mtoto mdogo ni mtakatifu ila hana thawabu ila mtu mzima unayo fulsa ya kuwa na yote mawili utakatifu na thawabu hivyo daraja ya mtoto mdogo ni ya chini peponi tofauti na mtakatifu mwenye thawabu ...kinacho mfanya mtu kuwa na daraja ya juu peponi siyo utakatifu ni thawabu ila utakatifu ni kibali cha kuwa peponi ila daraja za juu utegemea kiwango cha thawabu ulizo nazo hiyo kitu cha kwanza unachotakiwa kuwa nacho ni utakatifu kitu cha pili ni thawabu.....ndiyo maana mtoto mdogo anaweza kulogwa na wachawi ila mtakatifu mwenye thawabu usikiwa na mungu zaidi ....ndiyo maana mitume usikiwa na mungu zaidi ya watoto wadogo wakiomba jambo ...mtume akiomba mvua na mtoto wa miaka 3 akiomba mvua kwa mungu basi mtume anaweza kusikiwa na mungu wala siyo huyo mtoto ndiyo maana watoto wadogo ni watakatifu ila awawezi kutenda miujiza yoyote maana hawana thawabu ila mtume ni mtakatifu mwenye thawabu nyingi.
😂😂😂😂so mbinguni Kuna vip business class na economy...naomba yaishe...una visingizio vingi bro
 
Mimi sio muumini sana wa dini, Ila je Kipi hakikuja na meli Africa hii ?? Kila kitu kililetwa na hao...Mavazi, Elimu, teknolojia. Kipindi hiko babu yako anakula matunda porini na nyama pori wala hana anachokijua
Acha uwongo ... kulikuwa na civilization kibao tu Africa kabla ya wazungu...tofauti hatukuwa na viwanda vya kutengeneza sijui bunduki cjui Nini ila tulikuwa hatuishi maporini...nyumba tulijenga..biashara tulifanya kulima tulilima so acha kudharau...kingine issue sio kuja na boti ..elimu imetusaidia mpaka Leo tunaiapply na walitunyima elimu walitupa ya kuwatumikia tu...ila dini wamekuja nayo kulainisha mioyo ya waafrika kukubali kuonewa ili future waende mbinguni...mwafrika akalewa nayo mpaka Sasa...
 
Science inasema kuna chanzo cha binadamu, Watu wa imani pamoja na Dini zote wanasema binadamu ana chanzo

Wewe unasema hakuna chanzo.....Unasimamia nini kuleta hii hoja ya binadamu hana chanzo ( Science ? Dinii ? Au ? )

Na ukisema binadamu hana chanzo ina maana ilitokea tu gafla tukawa wengi ?

Jibu hayo maswali hayo mawili.
Niambie ..Sayansi ni Nini, unadhani Sayansi ni kitabu kimoja ambacho kinasema hivi na hivi na hakibadiliki Kama bible... ama..unavyosema Sayansi imesema binadamu ana chanzo unatoa wapi hii statement.. ni sawa niseme geography inasema mlima Kilimanjaro ni mrefu Africa... wat kind of statement is that...
 
Back
Top Bottom