Dini ni kwa ajili ya "Low minded people", Genius can't be trapped!

Dini ni kwa ajili ya "Low minded people", Genius can't be trapped!

Sources zangu zinaonyesha hawa ni miongoni mwa great scientists and thinkers na believed in God. Sasa sijui kati yao na wewe ambaye hata hujagundua kitu nani ana akili zaidi: wao au wewe?
Dissertation Template in APA7
Arthur Compton (1892 – 1962)

Blaise Pascal (1623-1662)

Ernst Haeckel (1834 –1919)

Erwin Schrödinger (1887 –1961)

Francis Bacon (1561-1627)

Francis Collins (Born 1950)

Galileo Galilei (1564-1642)

Gottfried Leibniz (1646 –1716)

Gregor Mendel (1822-1884)

Guglielmo Marconi (1874 –1937)

Isaac Newton (1642-1727)

James Clerk Maxwell (1831 –1879)

Johannes Kepler (1571-1630)

John Eccles (1903 – 1997)

Louis Pasteur (1822-1895)

Max Planck (1858-1947)

Michael Faraday (1791-1867)

Nicholas Copernicus (1473-1543)

Rene Descartes (1596-1650)

Robert Boyle (1791-1867)

Robert A. Millikan (1868 – 1953)

Werner Heisenberg (1901 – 1976)

William Harvey (1578 –1657)

William Thomson Kelvin (1824-1907) appeal from false authority fallacy
 
Science ni nini kwanza? Tuanzie hapo.

Pia, kwa nini unafikiri sayansi inatakiwa kuweza kuelezea kila kitu leo?

Na sayansi umeisoma wapi iliposhindwa kuelezea kifo?
kwa rugha nyepesi, sayansi ni mfumo wa kufikiri.
 
kwa rugha nyepesi, sayansi ni mfumo wa kufikiri.
Jibu lako, kama mimi ni mwalimu, nasahihisha mtihani, nakupa kosa.

Kwa jibu hili, umejionesha hujui hata sayansi ni nini.

Jibu lako halijaweza kui define sayansi kwa namna ambayo itaeleweka kuwa tofauti na mfumo mwingine wowote wa kufikiri ambao haupo kisayansi.

Ni hivi, ukisema "sayansi ni mfumo wa kufikiri" hujaitenganisha sayansi na mfumo mwingine wa kufikiri unaosema kwamba kila kitu kinatokea kwa kudura za Mungu tu, yote hiyo ni mifumo ya kufikiri, lakini yote si sayansi.

Yani, nikikuuliza "Mbantu ni nani?". Ukanijibu "Mbantu ni mtu". Sawa, ni mtu. Lakini hata Muarabu ni mtu, Mzungu ni mtu, m Nilotic ni mtu, Mchina ni mtu, Muhindi ni mtu. Hivyo, jibu lako kuwa "Mbantu ni mtu" halijaweka the defining characteristic inayomfanya Mbantu kuwa Mbantu, kwa sababu unaweza kuwa mtu bila kuwa Mbantu.

Ni kama vile umeulizwa "muziki ni nini?" Ukajibu, "muziki ni sauti". Sawa, lakini jibu lako haliutofautishi muziki na kelele nyingine yoyote isiyo muziki ambayo ni sauti pia.

Kuna tatizo la kuelewa sayansi ni nini - au kujielezea vizuri, labda unaelewa ila unashindwa kujielezea.

Na kama kuna tatizo la kuelewa sayansi ni nini, au kuelezea sayansi ni nini, huko kwingine kwenye maswali yasiyo na hoja kama vile "Mbona sayansi imeshindwa kuelezea kifo" tutashindwa kuelewana.

Mtu asiyeelewa sayansi ni nini, ni vigumu sana kuelewa si tu kwamba sayansi imeshaelezea kifo, bali pia, hata sayansi ikishindwa kuelezea kifo leo, hilo si tatizo, kwa sababu sayansi haijawahi kudai kwamba ina majibu ya kila kitu leo.

Waamini wa Mungu wanafanya kosa moja la kutaka kuifanya sayansi kuwa mbadala wa Mungu. Kwamba, kuna Mungu huyu ana majibu ya kila kitu, na ukitaka kumuondoa Mungu huyu useme hayupo, ukatuletea dunia ambayo tunapata majibu kwenye sayansi, basi ni lazima sayansi nayo iwe na majibu ya kila kitu, leo.

Sayansi haijawahi kusema kwamba ina majibu ya kila kitu leo. Inaenda kwa observation, experiments, peer review, na inakubali kwamba haina majibu ya kila kitu leo, watu wanachunguza wapate majibu.

Kwa nini watu wanalazimisha sayansi iwe na majibu ya kila kitu leo wakati huu ni mchakato wa watu, mchakato endelevu, na ambao haujawahi kudai kuwa una majibu ya kila kitu leo?

Hivi, haiwezekani Mungu akawa hayupo na sayansi ikawa pia haina majibu kamili leo?

Mimi naweza kusema kwamba, siyo tu inawezekana kuwa Mungu hayupo nabsayansi haina majibu kamili, naenda mbali zaidi na kusema, kwa sababu Mungu hayupo ndiyo maana sayansi haina majibu kamili kwenye kila kitu leo.

Mungu mwenye uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote, kwa sifa zake hizo, angekuwepo, angetufanya tuwe na sayansi yenye majibu yote leo, kwenye kila kitu.

Sasa basi, ukiikosoa sayansi, kwamba haina majibu ya kila kitu, unaweza kujiona unapandisha umuhimu wa Mungu, wakati kiukweli, kwa ntu anayefikiri kwa kina, ukiikosoa sayansi kwamba haina majibu ya kila kitu, unazidi kuthibitisha Mungu hayupo.

Huyo Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote nabupendo wote angekuwapo, angetupa sayansi yenye majibu ya kila kitu. Mungu huyo si mchoyo hivyo aachie mamilioni ya watu wafe kwa bacteria kwa maelfu ya miaka mpaka tuje kugundua kutengeneza antibiotics mwaka 1928 tu hapa.

Yani unakubalije Mungu mwenye uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote anaweza kuwapo halafu akawa na roho mbaya hivyo kwa kitu ambacho yeye hakimgharimu lolote na sisi kitatufaidisha sana?
 
Jibu lako, kama mimi ni mwalimu, nasahihisha mtihani, nakupa kosa.

Kwa jibu hili, umejionesha hujui hata sayansi ni nini.

Jibu lako halijaweza kui define sayansi kwa namna ambayo itaeleweka kuwa tofauti na mfumo mwingine wowote wa kufikiri ambao haupo kisayansi.

Ni hivi, ukisema "sayansi ni mfumo wa kufikiri" hujaitenganisha sayansi na mfumo mwingine wa kufikiri unaosema kwamba kila kitu kinatokea kwa kudura za Mungu tu, yote hiyo ni mifumo ya kufikiri, lakini yote si sayansi.

Yani, nikikuuliza "Mbantu ni nani?". Ukanijibu "Mbantu ni mtu". Sawa, ni mtu. Lakini hata Muarabu ni mtu, Mzungu ni mtu, m Nilotic ni mtu, Mchina ni mtu, Muhindi ni mtu. Hivyo, jibu lako kuwa "Mbantu ni mtu" halijaweka the defining characteristic inayomfanya Mbantu kuwa Mbantu, kwa sababu unaweza kuwa mtu bila kuwa Mbantu.

Ni kama vile umeulizwa "muziki ni nini?" Ukajibu, "muziki ni sauti". Sawa, lakini jibu lako haliutofautishi muziki na kelele nyingine yoyote isiyo muziki ambayo ni sauti pia.

Kuna tatizo la kuelewa sayansi ni nini - au kujielezea vizuri, labda unaelewa ila unashindwa kujielezea.

Na kama kuna tatizo la kuelewa sayansi ni nini, au kuelezea sayansi ni nini, huko kwingine kwenye maswali yasiyo na hoja kama vile "Mbona sayansi imeshindwa kuelezea kifo" tutashindwa kuelewana.

Mtu asiyeelewa sayansi ni nini, ni vigumu sana kuelewa si tu kwamba sayansi imeshaelezea kifo, bali pia, hata sayansi ikishindwa kuelezea kifo leo, hilo si tatizo, kwa sababu sayansi haijawahi kudai kwamba ina majibu ya kila kitu leo.

Waamini wa Mungu wanafanya kosa moja la kutaka kuifanya sayansi kuwa mbadala wa Mungu. Kwamba, kuna Mungu huyu ana majibu ya kila kitu, na ukitaka kumuondoa Mungu huyu useme hayupo, ukatuletea dunia ambayo tunapata majibu kwenye sayansi, basi ni lazima sayansi nayo iwe na majibu ya kila kitu, leo.

Sayansi haijawahi kusema kwamba ina majibu ya kila kitu leo. Inaenda kwa observation, experiments, peer review, na inakubali kwamba haina majibu ya kila kitu leo, watu wanachunguza wapate majibu.

Kwa nini watu wanalazimisha sayansi iwe na majibu ya kila kitu leo wakati huu ni mchakato wa watu, mchakato endelevu, na ambao haujawahi kudai kuwa una majibu ya kila kitu leo?

Hivi, haiwezekani Mungu akawa hayupo na sayansi ikawa pia haina majibu kamili leo?

Mimi naweza kusema kwamba, siyo tu inawezekana kuwa Mungu hayupo nabsayansi haina majibu kamili, naenda mbali zaidi na kusema, kwa sababu Mungu hayupo ndiyo maana sayansi haina majibu kamili kwenye kila kitu leo.

Mungu mwenye uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote, kwa sifa zake hizo, angekuwepo, angetufanya tuwe na sayansi yenye majibu yote leo, kwenye kila kitu.

Sasa basi, ukiikosoa sayansi, kwamba haina majibu ya kila kitu, unaweza kujiona unapandisha umuhimu wa Mungu, wakati kiukweli, kwa ntu anayefikiri kwa kina, ukiikosoa sayansi kwamba haina majibu ya kila kitu, unazidi kuthibitisha Mungu hayupo.

Huyo Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote nabupendo wote angekuwapo, angetupa sayansi yenye majibu ya kila kitu. Mungu huyo si mchoyo hivyo aachie mamilioni ya watu wafe kwa bacteria kwa maelfu ya miaka mpaka tuje kugundua kutengeneza antibiotics mwaka 1928 tu hapa.

Yani unakubalije Mungu mwenye uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote anaweza kuwapo halafu akawa na roho mbaya hivyo kwa kitu ambacho yeye hakimgharimu lolote na sisi kitatufaidisha sana?
Kwanza zamani dini ilikuwa inajua magonjwa yanasababishwa na mapepo na sio bacteria ndo maana mtu akiumwa anaombewa
 
Wewe unaamini yesu aliletwa na wakoloni kwaajili ya waafrikana wajinga au ulimwengu wote?

Kama ni ulimwengu wote kwanini kwingine asipelekwe kwa nguvu iwe Afrika tu?
Ni wewe tu na kutojua historia kwako aliekuambia nani lengo la waafrica kutawaliwa ni kupewa tu dini kinguvu nani?
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]so mbinguni Kuna vip business class na economy...naomba yaishe...una visingizio vingi bro
Ndivyo ilivyo ndiyo maana watakatifu bado wanajipinda kumcha mungu sababu ni kupata thawabu zaidi
 
Ndivyo ilivyo ndiyo maana watakatifu bado wanajipinda kumcha mungu sababu ni kupata thawabu zaidi

Mkuu upo kwenye lindi zito sana la ukombozi wa kifikra kwa upande wa kutafuta favor from nothing

Natamani kujua ilikuaje hadi wewe ukawa Muislam na sio dini zingine?
 
Mkuu upo kwenye lindi zito sana la ukombozi wa kifikra kwa upande wa kutafuta favor from nothing

Natamani kujua ilikuaje hadi wewe ukawa Muislam na sio dini zingine?
Kivipi mimi ni jinius haswa ninacho sema mungu yupo si kwasababu ya dini hata pasipo dini mungu yupo hata wanasayansi wakubwa na wenye akili wote wamesha jua mungu ni nani na ni nini ...no God no nothing
 
Jibu lako, kama mimi ni mwalimu, nasahihisha mtihani, nakupa kosa.

Kwa jibu hili, umejionesha hujui hata sayansi ni nini.

Jibu lako halijaweza kui define sayansi kwa namna ambayo itaeleweka kuwa tofauti na mfumo mwingine wowote wa kufikiri ambao haupo kisayansi.

Ni hivi, ukisema "sayansi ni mfumo wa kufikiri" hujaitenganisha sayansi na mfumo mwingine wa kufikiri unaosema kwamba kila kitu kinatokea kwa kudura za Mungu tu, yote hiyo ni mifumo ya kufikiri, lakini yote si sayansi.

Yani, nikikuuliza "Mbantu ni nani?". Ukanijibu "Mbantu ni mtu". Sawa, ni mtu. Lakini hata Muarabu ni mtu, Mzungu ni mtu, m Nilotic ni mtu, Mchina ni mtu, Muhindi ni mtu. Hivyo, jibu lako kuwa "Mbantu ni mtu" halijaweka the defining characteristic inayomfanya Mbantu kuwa Mbantu, kwa sababu unaweza kuwa mtu bila kuwa Mbantu.

Ni kama vile umeulizwa "muziki ni nini?" Ukajibu, "muziki ni sauti". Sawa, lakini jibu lako haliutofautishi muziki na kelele nyingine yoyote isiyo muziki ambayo ni sauti pia.

Kuna tatizo la kuelewa sayansi ni nini - au kujielezea vizuri, labda unaelewa ila unashindwa kujielezea.

Na kama kuna tatizo la kuelewa sayansi ni nini, au kuelezea sayansi ni nini, huko kwingine kwenye maswali yasiyo na hoja kama vile "Mbona sayansi imeshindwa kuelezea kifo" tutashindwa kuelewana.

Mtu asiyeelewa sayansi ni nini, ni vigumu sana kuelewa si tu kwamba sayansi imeshaelezea kifo, bali pia, hata sayansi ikishindwa kuelezea kifo leo, hilo si tatizo, kwa sababu sayansi haijawahi kudai kwamba ina majibu ya kila kitu leo.

Waamini wa Mungu wanafanya kosa moja la kutaka kuifanya sayansi kuwa mbadala wa Mungu. Kwamba, kuna Mungu huyu ana majibu ya kila kitu, na ukitaka kumuondoa Mungu huyu useme hayupo, ukatuletea dunia ambayo tunapata majibu kwenye sayansi, basi ni lazima sayansi nayo iwe na majibu ya kila kitu, leo.

Sayansi haijawahi kusema kwamba ina majibu ya kila kitu leo. Inaenda kwa observation, experiments, peer review, na inakubali kwamba haina majibu ya kila kitu leo, watu wanachunguza wapate majibu.

Kwa nini watu wanalazimisha sayansi iwe na majibu ya kila kitu leo wakati huu ni mchakato wa watu, mchakato endelevu, na ambao haujawahi kudai kuwa una majibu ya kila kitu leo?

Hivi, haiwezekani Mungu akawa hayupo na sayansi ikawa pia haina majibu kamili leo?

Mimi naweza kusema kwamba, siyo tu inawezekana kuwa Mungu hayupo nabsayansi haina majibu kamili, naenda mbali zaidi na kusema, kwa sababu Mungu hayupo ndiyo maana sayansi haina majibu kamili kwenye kila kitu leo.

Mungu mwenye uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote, kwa sifa zake hizo, angekuwepo, angetufanya tuwe na sayansi yenye majibu yote leo, kwenye kila kitu.

Sasa basi, ukiikosoa sayansi, kwamba haina majibu ya kila kitu, unaweza kujiona unapandisha umuhimu wa Mungu, wakati kiukweli, kwa ntu anayefikiri kwa kina, ukiikosoa sayansi kwamba haina majibu ya kila kitu, unazidi kuthibitisha Mungu hayupo.

Huyo Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote nabupendo wote angekuwapo, angetupa sayansi yenye majibu ya kila kitu. Mungu huyo si mchoyo hivyo aachie mamilioni ya watu wafe kwa bacteria kwa maelfu ya miaka mpaka tuje kugundua kutengeneza antibiotics mwaka 1928 tu hapa.

Yani unakubalije Mungu mwenye uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote anaweza kuwapo halafu akawa na roho mbaya hivyo kwa kitu ambacho yeye hakimgharimu lolote na sisi kitatufaidisha sana?
Sikiliza jibu la genius......sayansi ni energy na art of energy ...hii definition kama ulisha wahi kuisikia popote zaidi ya kwangu basi jua huyo uliye msikia ni genius haswa...
 
Sikiliza jibu la genius......sayansi ni energy na art of energy ...hii definition kama ulisha wahi kuisikia popote zaidi ya kwangu basi jua huyo uliye msikia ni genius haswa...
Jibu lina utapiamlo wa kimantiki.
 
Jibu lina utapiamlo wa kimantiki.
Hii ndiyo definition kuu kuliko zote ...tatizo la watz wengi wanao jihita wasomi ni kukalili mambo ....hii definition ungeitoa chuo chochote kikubwa chenye wanasayanyi wa kweli wangekupongeza ....ukitaka kujua kuwa definition ni sahihi au laa kunakitu unatakiwa kukifanya kuipima hiyo definition.
 
Hii ndiyo definition kuu kuliko zote ...tatizo la watz wengi wanao jihita wasomi ni kukalili mambo ....hii definition ungeitoa chuo chochote kikubwa chenye wanasayanyi wa kweli wangekupongeza ....ukitaka kujua kuwa definition ni sahihi au laa kunakitu unatakiwa kukifanya kuipima hiyo definition.
Science is a process, energy is not a process. Mpaka hapo ushafeli.
 
We kibwengo nimeenda kwenye ile robot yenu inaitwa chagpt nikaweka hiyo definition niliyo leta hapa nenda kasome ilicho jibu
Thibitisha mimi ni kibwengo, halafu thibitisha GhatGPT ni robot yetu, mimi na nani.

UKishindwa wewe ni bonge la mzembe ambaye mpaka leo hujui bado kuwa ChatGPT inachemsha mambo mengi tu.
 
Thibitisha mimi ni kibwengo, halafu thibitisha GhatGPT ni robot yetu, mimi na nani.

UKishindwa wewe ni bonge la mzembe ambaye mpaka leo hujui bado kuwa ChatGPT inachemsha mambo mengi tu.
Swala la kuchemsha mambo mengi ndiyo ikubaliane na mimi ...maana mimi sikuitoa hiyo definition Chatgpt ila niliona niweke nione itajibu nini na jibu lake ujalisoma unasema inakosea onyesha kosa kwenye jibu lake lilipo. ndiyo maana nikasema wewe ni kibwengo ....unasemaje chagpt imekosea jibu bila ya kuonyesha kosa lake
 
Swala la kuchemsha mambo mengi ndiyo ikubaliane na mimi ...maana mimi sikuitoa hiyo definition Chatgpt ila niliona niweke nione itajibu nini na jibu lake ujalisoma unasema inakosea onyesha kosa kwenye jibu lake lipo lilipo. ndiyo maana nikasema wewe ni kibwengo ....unasemaje chagpt imekosea jibu bila ya kuonyesha kosa lake
Nakupeleka ignore list.

Umepoteza privileges za kuwasiliana nami moja kwa moja hapa JF.

Kuanzia hapa sitaona posts zako zinazofuatia, frankly you are just boring me.

To me, you are allowed to be loud. You are allowed to be ignorant.

But you are not allowed to be both loud and ignorant at the same time.

You are loud and ignorant.

Uwezo wako wa kuharisha majibu kwa haraka sana umeupita kwa kasi kubwa sana uwezo wako wa kujifunza na kufikiri kimantiki.

Na mimi sijisikii kuanza kufundisha kila trifling troll, oompa loompa mlugaluga jinsi ya kufikiri.

Wewe ni kati ya wale watu mnapoenda kuongea sana, halafu hamna lolote la maana la kuongea.

Nakupeleka ignore list. Kuanzia hapa sitaona unachoandika.
 
Nakupeleka ignore list.

Umepoteza privileges za kuwasiliana nami moja kwa moja hapa JF.

Kuanzia hapa sitaona posts zako zinazofuatia, frankly you are just boring me.

To me, you are allowed to be loud. You are allowed to be ignorant.

But you are not allowed to be both loud and ignorant.

You are loud and ignorant.

Uwezo wako wa kuharisha majibu kwa haraka sana umeupita kwa kiasi kubwa sana uwezo wako wa kujifunza na kufikiri kimantiki.

Na mimi sijisikii kuanza kufundisha kila oompa loompa mlugaluga jinsi ya kufikiri.

Wewe ni kati ya wale watu mnapoenda kuongea sana, halafu hamna lolote la maana la kuongea.

Nakupeleka ignore list. Kuanzia hapa sitaona unachoandika.
Baba yako kauza king'ombe chake kukusomesha kumbe kauza ng'ombe kusomesha ng'ombe...stupidiii[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
So you dont believe in Spiritual power ? Kwamba tangu akina nabii Mussa (Moses) wote ni usanii ?
 
Back
Top Bottom